Maneno huumba!
Matokeo yanaweza yasitokee leo, lakini hayataacha kutimia.
Ibariki Tanganyika kwa maslahi ya vizazi vya sasa na vijavyo.
Ibariki nchi ya Tanganyika na watu wake.
Na abarikiwe kila aibarikiye nchi nzuri ya Tanganyika, na kila mwenye hila juu ya Tanganyika, hila hizo zimrudie...