Ni kipi chama pendwa zaidi Tanganyika

Ni kipi chama pendwa zaidi Tanganyika

Nice chama kipi pendwa Tanganyika

  • A. CHADEMA

    Votes: 25 92.6%
  • B. CCM

    Votes: 2 7.4%

  • Total voters
    27

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,548
Reaction score
860,651
FB_IMG_1769180705371.jpg
 
🤣

Huu uzi lazima aje kulopoka lopoka yule jamaa zamani watu walikuwa wanajua ni demu ila kumbe ni kidume maini, jina lake la mwisho ni bird na anawapenda sana hamas.

Ana shobo sana.
 
Majibu wanayo Polisi wa Mbeya
Chama Cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA leo kinatimiza miaka 33 tangu kilipoanzishwa na kusajiliwa Rasmi kama Chama Cha Siasa.

Kwa Wivu mkubwa Sana ukiona post hii usiache kuweka alama ya Kopa kama Alama ya upendo kwa Chama Cha CHADEMA kwa kutambua Mchango wake katika mapambano ya haki na Utawala Bora.

FB_IMG_1769181625475.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom