tamisemi

  1. Rightman

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Mhe. Waziri wa nchi ofisi ya raisi (TAMISEMI), Mhe. Mohamed Mchengerwa

    YAH: MADAI MBALIMBALI YAKIWEMO POSHO YA KUJIKIMU WATUMISHI AJIRA MPYA, MALIPO YA LIKIZO NA MALIPO YA SAFARI ZA KIKAZI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGARA Mhe Waziri wa TAMISEMI, kumekuwa na changamoto na usumbufu mkubwa sana juu ya stahiki mbalimbali za watumishi katika Halmashauri ya Ngara...
  2. ninjajr

    JamiiForums Tanzania Ni changamoto gani unaweza kutana nayo iwapo hutaripoti kwenye kituo cha kazi ulichopangiwa na TAMISEMI?

    Nimekuj kwenu wana jf nisaidieni kunielewesha iwapo huta ripoti kazini(tamisemi) incase ukiwa umepata nafasi kuna changamoto yoyote utaipata mbeleni ukitaka kuomba ajira tena( Tamisemi). Na kama ni ndio kuna taratibu za kufuata kuepekan na hizo changamoto?
  3. nditolo

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Afya na TAMISEMI mmetukosea sana Idara ya Afya Halmashauri ya Wilaya Kibiti

    Katika hali ya kushangaza wizara na TAMISEMI imetuletea DMO kutoka Mtama DC. DMO huyu alikuwa na tuhuma lukuki huko alikotoka na ikafikia madiwani kuazimia kumtoa madarakani lakini cha kushangaza mnatuletea huku. Ilishindikana kuteua Daktari yoyote ndani ya halmashauri yetu mpaka mkaamua...
  4. OR TAMISEMI

    JamiiForums Tanzania LGE2024 TAMISEMI: Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Mwaka 2024 zitaanza tarehe 20 hadi 26, Novemba

    https://www.youtube.com/watch?v=-XzJJFDbKNc ======== Kipenga cha uchaguzi wa Serikali za mitaa wa mwaka 2024, kitapulizwa leo Alhamisi, Agosti 15, 2024 wakati Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohammed Mchengerwa atapotoa tangazo la uchaguzi huo...
  5. Blender

    JamiiForums Tanzania Serikali Toeni Elimu Visiwani waache Tabia ya kuzuia watoto wachanga Wasipate VISOGO!

    Kitendo cha kuvibonyeza, kuvikandamiza vichwa vya watoto wachanga ili kuzuia kichogo, bila kutumia wataalamu wa afya, hii inaweza kusababisha hitilafu ya ubongo Kwa Mtoto. Na Kwanza kitabibu hairuhusiwi kufanya kitendo kama hicho. Serikali kupitia wizara ya AFYA, toeni elimu ya kutosha, hasa...
  6. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO TAMISEMI, chunguzeni shule mnazoziwekea Hela ya uendeshaji wa EBM ili kuzingatia matumizi sahihi ya Kodi ya wananchi

    Habari za kazi ndugu watanzania wenzangu, Binafsi niwapongeze woote katika juhudi zilizo tukuka kulijenga taifa letu safi la Tanzania, Nimpongeze Mh. Dr. Samia suluhu Hasan kwa juhudi za kuijenga Tanzania yetu katika nyanja zote za maisha, Lakini pia kwenye sekta ya elimu hakika unaupiga...
  7. Nyanda Banka

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli Tamisemi hawatahusika tena na ajira za Ualimu?

    Hiki ni kitu ambacho kinaniumiza kichwa kufahamu kwakuwa hakuna taarifa maalumu ya kwamba Tamisemi hawatahusika na hizi ajira za Ualimu Hili linatia mashaka baada ya siku za nyuma kutangazwa ajira za Ualimu kupitia sekretarieti ya ajira na utumishi wa umma na ikahitajika waalimu kujisajili...
  8. S

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI na Sarakasi za Mtaala Mpya

    Kama kumbukumbu zangu hazijakosea ni mwaka 2004/2005 waziri mwenye mamlaka alibadilisha mtaala ambapo moja ya vitu vya hovyo vitakavyobaki kama simulizi za muda mrefu ni kuunganisha somo la fizikiz na kemia na kupata somo la physics with chemistry pia kufuta somo la agricultre na mengine...
  9. Mturutumbi255

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Hatma ya Demokrasia Tanzania: Madhara ya Tamisemi Kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Hatua Muhimu kwa Serikali na Upinzani

    Katika mfumo wa kidemokrasia, uchaguzi huru na wa haki ni kiini cha utawala bora na uwajibikaji. Katika muktadha wa Tanzania, uchaguzi wa serikali za mitaa una nafasi muhimu katika kuwezesha ushiriki wa wananchi katika mchakato wa maamuzi na kusimamia maendeleo katika ngazi za chini. Hata hivyo...
  10. Pfizer

    JamiiForums Tanzania Shaibu ametoa Wito kwa Waziri wa TAMISEMI kumuwajibisha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya

    ACT WAZALENDO YACHARUKA HUJUMA UJENZI WA KITUO CHA AFYA KYANG'OMBE, RORYA Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu ametoa Wito kwa Waziri wa TAMISEMI kumuwajibisha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya kwa kuruhusu Mradi wa Kituo cha Afya Kata ya Kyang'ombe kujengwa chini ya...
  11. Damaso

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI na Wizara ya Elimu Mmetuchoma.

    Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) ilitoa fursa kwa wahitimu wa kidato cha nne wa mwaka 2023 kubadilisha machaguo yao ya masomo wanayotarajia kusoma wanapoendelea na elimu ya juu baada ya kuongeza tahasusi 49. Mabadiliko hayo yatagusa tahasusi 'kombinesheni' za...
  12. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Serikali yaahirisha Utekelezaji wa Mtaala Ulioboreshwa wa Kidato cha Tano Mwaka wa Masomo 2024/2025

    Yah: KUAHIRISHA UTEKELEZAJI WA MTAALA ULIOBORESHWA WA KIDATO CHA TANO MWAKA WA MASOMO 2024/2025 Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu. Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia (WyEST) ilipokea barua yenye Kumb. Na DC.297/507/01/370 ya tarehe 09/7/2024 kutoka OR-TAMISEMI kuhusu changamoto...
  13. Naju23

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI imulikeni Halmashauri ya Bagamoyo ni wasanii

    Idara ya elimu sekondari ni wasani. Dseo ni Afisa Elimu Sekondari wa Wilaya huyu ni msanii na mzandiki, asiyejali alijaa upendeleo. Fuatilia utaniambia. Hamisho za wakuu wa shulni za hivi karibuni ni za upendeleo na nafasi za wakuu wa shule ni upendeleo wa wazi. Huyu mbwiga anaona walimu...
  14. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI mfumo wenu wa Tausi unainyima mapato Serikali

    Nnakubali mfumo wenu umekuwa mkombozi sana kwetu wafanyabiashara imepunguza msongamano kwenye halmashauri ila kuna mapungufu myafanyie kazi maana mimi nna miezi 2 nnafanya kazi bila leseni. Sio kwa kupenda ila mfumo wenu hautaki maana mimi nna biashara ya hardware, nna godowns 4 nimetolea Moja...
  15. Mstahiki Mea

    JamiiForums Tanzania Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

    Serikali imatengaxa ajira za ualimu 2024 zaidi ya nafasi 11,000 fungua PDF kuona --- TAMISEMI wametangaza Ajira za walimu 11,015. TANGAZO LINASEMA HIVI: Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa anakaribisha...
  16. OR TAMISEMI

    JamiiForums Tanzania Mpimbwe-Katavi wanufaika na miradi ya afya na elimu

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema maboresho ya Elimu yaliyofanywa na Serikali ya Awamu ya Sita yamechangia kuongeza ufaulu kwa wanafunzi wa Halmashauri hiyo hususan ni kwa Shule ya Sekondari ya Mizengo Pinda ambayo imeshika...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Walioanza kazi mwaka 2009 kuwa daraja sawa na wa 2003 si sawa, hamtakuwa mmewatendea haki

    Dalili zinaonesha kwamba, watumishi wa Umma walioanza kazi mwaka 2009 mwezi wanapanda daraja, hivyo watakuwa daraja moja na walioanza kazi miaka ya 2003. Hawa wote wana sifa moja. Kama ni kweli ikatokea hivyo, mtakuwa mmewatendea nini hawa walioanza kazi miaka ya 2003? Hatuoni kuwa...
  18. OR TAMISEMI

    JamiiForums Tanzania Waziri Mchengerwa akemea utendaji usioridhisha wa Watumishi wa Afya

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa amekemea utendaji usioridhisha wa watumishi wa afya katika maeneo ya kutolea huduma nchini kwa kuwa unaenda kinyume na maadili ya utumishi. Maelekezo ya Mhe. Mchengerwa yametolewa kwa niaba na Mkurugenzi wa Afya, Ustawi wa Jamii...
  19. R

    JamiiForums Tanzania Waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano awamu ya pili kuna makosa mengi sana

    Mnamo tarehe 7 Julai, 2024 OR TAMISEMI waliweka taarifa kwenye tovuti yao kuhusiana na wanafunzi waliochanguliwa kujiunga na kidato cha tano kwa awamu ya pili. Ndani ya taarifa yao kwenye tovuti kuna attachment ya excel iliyoandikwa kichwa cha habari "WANAFUNZI WALIOBADILISHIWA SHULE"...
  20. K

    JamiiForums Tanzania KERO TAMISEMI Dodoma Kuna nini, naomba kujuzwa wadau

    OR TAMISEMI, Dodoma kuna nini, naomba kujuzwa wadau. Mimi ni mmojawapo wa watumishi niliopata uhamisho toka kwa Katibu Mkuu TAMISEMI, nikihamia HALMASHAURI nyingine. Cha kushangaza, tangu kuripoti kituo kipya mwezi Oktoba 2023, bado CHEKI namba kwenye MFUMO wa UTUMISHI (ESS) inasoma kwa Mwajiri...
Back
Top Bottom