tamisemi

  1. Mstahiki Mea

    Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

    Serikali imatengaxa ajira za ualimu 2024 zaidi ya nafasi 11,000 fungua PDF kuona --- TAMISEMI wametangaza Ajira za walimu 11,015. TANGAZO LINASEMA HIVI: Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa anakaribisha...
  2. OR TAMISEMI

    Mpimbwe-Katavi wanufaika na miradi ya afya na elimu

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema maboresho ya Elimu yaliyofanywa na Serikali ya Awamu ya Sita yamechangia kuongeza ufaulu kwa wanafunzi wa Halmashauri hiyo hususan ni kwa Shule ya Sekondari ya Mizengo Pinda ambayo imeshika...
  3. M

    Walioanza kazi mwaka 2009 kuwa daraja sawa na wa 2003 si sawa, hamtakuwa mmewatendea haki

    Dalili zinaonesha kwamba, watumishi wa Umma walioanza kazi mwaka 2009 mwezi wanapanda daraja, hivyo watakuwa daraja moja na walioanza kazi miaka ya 2003. Hawa wote wana sifa moja. Kama ni kweli ikatokea hivyo, mtakuwa mmewatendea nini hawa walioanza kazi miaka ya 2003? Hatuoni kuwa...
  4. OR TAMISEMI

    Waziri Mchengerwa akemea utendaji usioridhisha wa Watumishi wa Afya

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa amekemea utendaji usioridhisha wa watumishi wa afya katika maeneo ya kutolea huduma nchini kwa kuwa unaenda kinyume na maadili ya utumishi. Maelekezo ya Mhe. Mchengerwa yametolewa kwa niaba na Mkurugenzi wa Afya, Ustawi wa Jamii...
  5. R

    Waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano awamu ya pili kuna makosa mengi sana

    Mnamo tarehe 7 Julai, 2024 OR TAMISEMI waliweka taarifa kwenye tovuti yao kuhusiana na wanafunzi waliochanguliwa kujiunga na kidato cha tano kwa awamu ya pili. Ndani ya taarifa yao kwenye tovuti kuna attachment ya excel iliyoandikwa kichwa cha habari "WANAFUNZI WALIOBADILISHIWA SHULE"...
  6. K

    KERO TAMISEMI Dodoma Kuna nini, naomba kujuzwa wadau

    OR TAMISEMI, Dodoma kuna nini, naomba kujuzwa wadau. Mimi ni mmojawapo wa watumishi niliopata uhamisho toka kwa Katibu Mkuu TAMISEMI, nikihamia HALMASHAURI nyingine. Cha kushangaza, tangu kuripoti kituo kipya mwezi Oktoba 2023, bado CHEKI namba kwenye MFUMO wa UTUMISHI (ESS) inasoma kwa Mwajiri...
  7. OR TAMISEMI

    Mafunzo ya uratibu mikopo asilimia 10 kutatua changamoto za uelewa juu ya mikopo hiyo

    Akiwa katika ufunguzi wa mafunzo ya mikopo ya asilimia 10 kwa vijana, wanawake na watu wenye ulemavu leo Julai 9, 2024 Katibu Mkuu Adolf Ndunguru amesema, Serikali inatarajia kuona mafunzo hayo yanakwenda kutatua changamoto za utofauti wa uelewa na tafsiri ya baadhi ya vifungu vya kanuni kati ya...
  8. OR TAMISEMI

    Nafasi za kazi 9,483 za Kada za Afya

    Kumb.Na.JA.9/259/01/B/ 11 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka ya Serikali za Mitaa inakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 9,483 kama ilivyoainishwa katika tangazo hili. Maeneo ya...
  9. Kamanda Asiyechoka

    Hii haifai, Waziri wa OR Tamisemi anamkusanyia fedha Rais Samia ili agombee 2025 akiwa anafanya shughuli za kiserikali sio za kichama

    BODABODA WAMCHANGIA RAIS SAMIA 3,170,000/= ZA KUCHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS MWAKA 2025 Na. James K. Mwanamyoto OR-TAMISEMI Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa amepokea mchango wa shilingi 3,170,000/= wa madereva bodaboda nchini...
  10. T

    Jamani tamisemi toeni ajira basi

    Jamani tangazeni basi ajira ili watakaobarikiwa kupata wapate kama Kuna watu wasemaji humu mtusaidie kupaza sauti
  11. Cute Wife

    PreGE2025 Sare za bodaboda kuwekwa picha ya Rais Samia na Mchengerwa kuagiza madereva bodaboda waache kusumbuliwa halitaongeza uvunjifu wa sheria?

    Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa jana alikuwepo katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijiji Dar es Salam wakati akizindua sare maalum (uniform) na mfumo wa kidijitali (kanzidata) wa Madereva bodaboda na Bajaji wa Jiji la Dar es salaam. Sare hizi zina picha ya Rais Samia kama zinavyooneka...
  12. Blasio Kachuchu

    TAMISEMI: Tuige mfano wa CRDB Bank Foundation kutoa fursa kwa vijana na wanawake

    Dar es Salaam. Tarehe 29 Juni 2024: Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Adolf Ndunguru ameipongeza Taasisi ya CRDB Foundation kwa jitihada zake za kuwafungulia fursa vijana na wanawake na kuzitaka taasisi nyingine kuiga mfano huo ili kuongeza ujumuishi...
  13. JanguKamaJangu

    TAMISEMI: Mfumo wa kusoma madeni ya parking ulipata hitilafu ukashindwa kutuma ujumbe kwa wenye magari

    Baada ya Mwanachama wa JamiiForums.com kulalamika kuwa kuna utaratibu mbovu unaendeshwa na watu wanaohusika kukusanya madeni ya maegesho ya magari, mamlaka zimetolea ufafanuzi malalamiko hayo. Mdau huyo alidai wahusika wanatega njiani, wanasimamisha gari na kumfuata Dereva wakiwa wengi katika...
  14. Sharbel

    TAMISEMI acheni tabia hii. Ni Kama uhuni

    Hivi karibuni TAMISEMI wametoa chaguzi za kidato cha tano, na za Vyuo vya Elimu ya Ufundi. Kwa upande wa kidato cha tano, tarehe wametoa mapema, sijajua upande wa joining instruction, ila upande wa walio pangiwa Vyuo vya Elimu ya Ufundi, ni mtihani. Waziri wa TAMISEMI aliyasema haya wakati...
  15. Stephano Mgendanyi

    Waziri Mchengerwa: Hatutasita Kuchukua Hatua kwa Kiongozi Anayewanyanyasa Wananchi

    WAZIRI MCHENGERWA: HATUTASITA KUCHUKUA HATUA KWA KIONGOZI ANAYEWANYANYASA WANANCHI Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema Ofisi ya Rais TAMISEMI haitasita kuchukua hatua kwa kiongozi yeyote anayewanyanyasa wananchi kupitia ukusanyaji wa ushuru wa mazao kwani...
  16. S

    ahadi za uwongo kuhusu ajira za kada ya afya na elimu zinazotolewa na TAMISEMI kila mwaka

    TAMISEMI imekua na mtindo wa fake promise kuhusu ajira kila uchwao na hakuna kutekeleza yani hakuna ajira. au wakiajiri basi wataajiri idadi ndogo kuliko waliosema. mwaka huu walisema wataajiri lakini hola wanacheza na akili za wasomi kirahisi tu haLafu watu wasomi wamelala. kwa sababu ya...
  17. N

    Mh jamani tamisemi lini watatangaza ajira?

    Jamani nauliza tu Kwa mwenye fununu kuhusu ajira *note Kwa motivation speakers na wenye akili nyingi jibuni swali msianze mambo ya mara ujiajiri mara acha uvivu
  18. M

    SoC04 Kuwe na mageuzi ya TAKUKURU na CAG ili kukomesha rushwa, ufisadi, ubadhirifu na matumizi mabaya ya fedha za umma yanayoibuliwa kila mwaka na CAG

    Mabadiriko yanatakiwa kufanyika katika utendaji wa Takukuru na CAG ili kuzuia ubadhirifu na ufisadi katika miradi na fedha za uma zinazotolewa na serikali. Kama sheria ya 2007 inayoipa takukuru mamlaka ya kuzuia rushwa, ufisadi, ubadhirifu na matumizi mabaya ya fedha ya serikali. Awali ni...
  19. Erythrocyte

    PreGE2025 LGE2024 CHADEMA yapinga uchaguzi wa serikali za mitaa kusimamiwa na Tamisemi

    Wanataka uchaguzi huo usimamiwe na Tume ya Uchaguzi. Taarifa ya Katibu Mkuu wa Chama hicho John Mnyika hii hapa . ====== Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimependekeza kuwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa usogezwe mbele ili upatikane muda wa kutosha wa kufanya maandalizi ya kuwezesha...
  20. Suley2019

    PreGE2025 Dkt. Festo Dugange: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utazingatia 4R's za Rais Samia

    Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Dkt. Festo Dugange amesema uchaguzi wa serikali za mitaa utazingatia ‘R-4’ za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ili kila chama kipate nafasi sawa. “Uchaguzi wa serikali za mitaa...
Back
Top Bottom