Wakazi wa kata ya Zuzu Dodoma kuandamaba wabadilishiwe jina la kata yao

mdukuzi

JF-Expert Member
Jan 4, 2014
20,222
49,824
Duniani kuna mamboz,wakazi wa kata ya Zuzu iliyopo Manispaa ya Dodoma wanakusudia kuandamana kumshinimiza waziri wa TAMISEMI abadiil jina la kata yao.

Hii si mara ya kwanza kuomba kubadilishiwa jina,waliwahi kufanya hivyo wakagonga mwamba,waziri TAMISEMI kipindi hicho aliwaambia Rais hajaridhia ombi lao.

Diwani wa kata ya Zuzu amekuwa akitaniwa na Madiwani wenzake kumuita Zuzu.

Wasichokijua huko Zanzibar kuna majina yenye ukakasi kuliko hilo na hakuna anayelalamika.
 
Duniani kuna mamboz,wakazi wa kata ya Zuzu iliyopo Manispaa ya Dodoma wanakusudia kuandamana kumshinimiza waziri wa TAMISEMI abadiil jina la kata yao.

Hii si mara ya kwanza kuomba kubadilishiwa jina,waliwahi kufanya hivyo wakagonga mwamba,waziri TAMISEMI kipindi hicho aliwaambia Rais hajaridhia ombi lao.

Diwani wa kata ya Zuzu amekuwa akitaniwa na Madiwani wenzake kumuita Zuzu.

Wasichokijua huko Zanzibar kuna majina yenye ukakasi kuliko hilo na hakuna anayelalamika.
Kwani uwongo kwamba Watu wa huko ni ma-Zuzu?
 
Duniani kuna mamboz,wakazi wa kata ya Zuzu iliyopo Manispaa ya Dodoma wanakusudia kuandamana kumshinimiza waziri wa TAMISEMI abadiil jina la kata yao.

Hii si mara ya kwanza kuomba kubadilishiwa jina,waliwahi kufanya hivyo wakagonga mwamba,waziri TAMISEMI kipindi hicho aliwaambia Rais hajaridhia ombi lao.

Diwani wa kata ya Zuzu amekuwa akitaniwa na Madiwani wenzake kumuita Zuzu.

Wasichokijua huko Zanzibar kuna majina yenye ukakasi kuliko hilo na hakuna anayelalamika.
Hicho Kijiji kitakuwa chanzo cha hospital ya Milembe bila shaka
 
Duniani kuna mamboz,wakazi wa kata ya Zuzu iliyopo Manispaa ya Dodoma wanakusudia kuandamana kumshinimiza waziri wa TAMISEMI abadiil jina la kata yao.

Hii si mara ya kwanza kuomba kubadilishiwa jina,waliwahi kufanya hivyo wakagonga mwamba,waziri TAMISEMI kipindi hicho aliwaambia Rais hajaridhia ombi lao.

Diwani wa kata ya Zuzu amekuwa akitaniwa na Madiwani wenzake kumuita Zuzu.

Wasichokijua huko Zanzibar kuna majina yenye ukakasi kuliko hilo na hakuna anayelalamika.
Na "kata" wataikubali? Hata hivyo jina huwa halina tafsiri popote pale duniani na wakikubaliwa Tanga nao watataka jina libadilishwe tutabski na wale wenye kigoma cha walozi.
 
Hao mazuzu kweli 😀 ila haya majina yana asili yake na maama yale kutoka kwa mababu zetu, wenyewe wanajua kwaninj walipaita hivyo kujaribu kubadilisha ni kujitafutia majanga
 
Back
Top Bottom