tamasha la kilimanjaro

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Stephano Mgendanyi

    Waziri Kairuki: Tamasha la Kilimanjaro Cultural Festival Kukuza Utalii Mkoani Kilimanjaro

    WAZIRI KAIRUKI: TAMASHA LA KILIMANJARO CULTURAL FESTIVAL KUKUZA UTALII MKOANI KILIMANJARO Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amesema Tamasha la Kilimanjaro Cultural Festival linalohusisha utamaduni wa vyakula ,ngoma na lugha za asili za jamii ya Wachaga, Wapare na...
  2. Freyzem

    Ufafanuzi tafadhali: Je, hii ni ngozi halisi ya chui?

    Wajuzi wa mambo tafadhali, hebu kwa wanaoelewa na kujua watufafanulie na kutujuza hili jambo! Katika ufunguzi wa tamasha la utamaduni Rais Samia Suluhu alivishwa vazi la kabila la wachaga lenye rangi za chui na Chief(Mangi) Marealle ambaye nae pia alikuwa amevaa vazi la aina hiyo! Sasa je yale...
  3. Hismastersvoice

    Tamasha la Utamaduni Kilimanjaro halikuandaliwa Kichagga

    Ni wazi Tamasha la Utamaduni Kilimanjro limeandaliwa na viongozi wa CCM, khanga zilizotumika hazioneshi hata chembe utamaduni wa Kilimanjaro zaidi ya kumuonesha Rais Samia! Kwa kifupi khanga hizo zingeweza kutumika mkoa wowote nchini, pia tamasha limetawaliwa na wafuasi wa Chama cha Mapinduzi...
  4. W

    Tamasha la Kilimanjaro kufanyika Januari 22, 2022 katika Viwanja vya Chuo cha Ushirika, Moshi

    Vikundi zaidi ya 11 kutoka wilaya zote za mkoa wa Kilimanjaro vinatarajiwa kuonesha sanaa za maonesho katika Tamasha la Kilimanjaro linalotajiwa kufanyika jumamosi ya Januari 22, 2022 katika Viwanja vya Chuo cha Ushirika Moshi. Hayo yamesemwa na Afisa Sanaa wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na...
Back
Top Bottom