Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,641
- 22,240
Ni wazi Tamasha la Utamaduni Kilimanjro limeandaliwa na viongozi wa CCM, khanga zilizotumika hazioneshi hata chembe utamaduni wa Kilimanjaro zaidi ya kumuonesha Rais Samia!
Kwa kifupi khanga hizo zingeweza kutumika mkoa wowote nchini, pia tamasha limetawaliwa na wafuasi wa Chama cha Mapinduzi, hata hivyo wanakilimanjaro hawakuwa wana-CCM walikuwa wana-Kilimanjaro bila kujali vyama ingawaje Tamasha limetumika kuwabagua baadhi wanakilimanjaro wasio wana-CCM, kampeni hii haina tija kwa taifa.
Inaelekea CCM imekuja na staili ya kuwatumia watu wanaojiita machifu ili ijipatie umaarufu, ukweli utabaki ukweli hatuna machifu Tanzania kulingana na katiba ya nchi.
Kwa kifupi khanga hizo zingeweza kutumika mkoa wowote nchini, pia tamasha limetawaliwa na wafuasi wa Chama cha Mapinduzi, hata hivyo wanakilimanjaro hawakuwa wana-CCM walikuwa wana-Kilimanjaro bila kujali vyama ingawaje Tamasha limetumika kuwabagua baadhi wanakilimanjaro wasio wana-CCM, kampeni hii haina tija kwa taifa.
Inaelekea CCM imekuja na staili ya kuwatumia watu wanaojiita machifu ili ijipatie umaarufu, ukweli utabaki ukweli hatuna machifu Tanzania kulingana na katiba ya nchi.