Ukiangalia Tanzania kwa macho ya wazi bila ujinga, bila woga, bila kuogopa nani atasema nini, utajua huu ni mojawapo ya nchi tajiri sana duniani, sio Afrika tu, hata baadhi ya nchi za Ulaya tumewazidi big time.
Tuna nini?
Madini: Dhahabu, almasi, nickel, lithium, uranium, tanzanite (ambayo ni...