taifa stars

The Tanzania national football team (Swahili: Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu ya Tanzania) represents Tanzania in men's international football and is controlled by the Tanzania Football Federation, the governing body for football in Tanzania, Tanzania's home ground is Benjamin Mkapa National Stadium in Dar-es-Salaam and theirhead coach is Kim Poulsen from Denmark. They are colloquially known as the Taifa Stars. Tanzania has never qualified for the FIFA World Cup. Before uniting with Zanzibar, the team played as the Tanganyika national football team, The team represents both FIFA and Confederation of African Football (CAF).
The island of Zanzibar, part of Tanzania (and once an independent nation), is also an associate member of CAF and has played matches with other nations, but is not eligible to enter the World Cup or Africa Cup of Nations. See Zanzibar national football team.

View More On Wikipedia.org
  1. D

    Wazo la nani, Taifa stars kuwa na kocha hana International or local games experience kabisa??

    I will be short 1. Taifa stars inahujumiwa na watu wa TFF. Kuna watu waondoke stars tuwe modern?? What was that?? Kocha wa stars kama a dummy asiye na akili. What was that substitution?? AFCON he did the same. 2. Who hired a manager who has 0 achievements in the local league? not a single...
  2. Best Daddy

    Takwimu: Thamani Ya Taifa Stars Mioyoni mwa Watanzania, Ila Kwa Wa-Africa Bado Ni Safari Ndefu

    Hii sio taarifa kuhusu kiwango au performance ya timu. Hii ni taarifa inayoonesha timu ya taifa inaundwa na wachezaji wenye thamani(value) gani. Kwa mujibu wa tovuti ya ya Transfermarket na Score, imetoa tafsiri kwamba thamani ya timu ya taifa ‘ Total Market Value” napatikana kwa kupima mambo...
  3. S

    Wizara ya Michezo na Taifa Stars chukueni ushauri huu kama mnataka matokeo makubwa siku zijazo

    Nimeangalia mechi zote za taifa star! Nikaona upo umhimu wa kubadilisha mbinu za kuchagua wachezaji wa taifa! Samatta ni mchezaji mzuri lakini hafai kuitwa timu ya taifa kwasababu yupo katika expiring date! Hatukatai ubora wake wa zaman lakini haiondoi ukweli kwamba hata sumu ikiwa kali namna...
  4. Suley2019

    Msigwa: Tutafanya kila kitu kinachohitajika kufuzu AFCON. Watanzania wasiikatie tamaa Taifa Stars

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo, Gerson Msigwa amesema Serikali iko tayari kufanya kila linalohitajika ili kuwezesha Taifa Stars kufuzu michuano ya AFCON 2025. Katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo, Gerson Msigwa ameomba Watanzania kutoikatia tamaa timu ya Taifa (Taifa Stars) kwenye michezo...
  5. M

    Kocha wa Taifa Stars jitafakari

    Leo timu ya taifa ( taifa stars) imenyolewa kwa chupa mbele ya watanzania pamoja na hamasa iliyokua uwanjani na mitandaoni Binafsi siamini katika hamasa kuliko kujishuhulisha. Imewezekanaje mpira uliopigwa leo na Taifa stars ichabangwe goli mbili kwa buyu? Tena mbele ya waziri mkuu Majaliwa na...
  6. Erythrocyte

    Akili za Wachezaji wa Tanzania ziliwaza Game ya Simba na Yanga Tarehe 19

    Wachezaji wa Tanzania hawana Uzalendo na Timu yao ya Taifa, wanapenda vilabu vyao zaidi na kimsingi wanapenda pale wanapolipwa zaidi. Sijui wakiwa timu ya Taifa huwa wanalipwa sh ngapi, lakini ni dhahiri akili zao kwenye game ya leo dhidi ya DRC iliegemea kwenye mechi dhidi ya Simba na Yanga...
  7. fimboyaukwaju

    Vunjeni benchi zima la ufundi Taifa Stars

    Benchi zima la ufundi la taifa stars halifai, huyo Hemedi Morroco kuongea kwenyewe shida atawafundisha nini wachezaji? Ana uzoefu upi wa kufundisha timu ya taifa, huyo ni kocha wa level ya geita gold, fukuzeni wote na muajiri makocha wenye uwezo
  8. Mende mdudu

    Barua ya wazi kwa wachezaji wa Taifa Stars watakaocheza na Congo kufuzu AFCON

    Napenda kuandika ujumbe uu wa wazi kwa wanchezaji watakao ingia uwanjani leo dhidi ya DRC congo, Ni ukweli usiopingika kama kongo hatuwawezi sio kwa mchezaji mmoja mmoja au kwa team play. Ila naandika ujumbe ukaguse mioyo na wakavae damu ya kizalendo zidi ya taifa leo. Kwenye mpila kuna muda...
  9. dr namugari

    Ndugu zangu Watanzania, Uzalendo haununuliwi na tutatengeneza taifa la watu mamluki

    Nimelazimika kukatisha usingizi Bada tu ya kuamka usingizi ukakata ghafla toka saa tano usk had mida hii niko macho kodo Basi nikajipitisha katika mitandao hasa huu na x mitandao yangu pendwa kwa sasa, nimekutana na vitangazo vingi vina sema Rais Samia amelipia ticket elfu 20 kwenda uwanjani...
  10. Wakipekee

    Ukweli Mchungu; Taifa Stars haitofuzu AFCON 2025

    Najua tunapenda sana kudanganyana lakini leo inanibidi niseme tu ukweli nafasi ya Stars kufuzu kwenda Morocco AFCON hapo mwakani ni finyu kwa kifupi haipo maana game zilizobaki yenye nafuu kwetu ni Ile ya Ethiopia ugenini. Lakini hao wahabeshi walitutoa kamasi hapa nyumbani. Msimamo ulivo D.R...
  11. mdukuzi

    Taifa Stars wapewe milioni 5 yao ya goli la kujifunga kule DRC,italeta hamasa kwa mechi ijayo

    Kipindi niko shule headmaster wetu alukuwa anatoa xawadi kwa wanafunzi watatu bora na watatu wa mwisho. Hii ilipelekea wale watatu wa mwisho kupambana sana jukwepa zawado ya nchongo kwa muhula unaofata. Stars wanechoma kule DRC wapewe hela yao ya goli la mama,huyohuyo aliyechpna atachomoa nechi...
  12. OMOYOGWANE

    Taifa Stars ya sasa ndio timu bora kuwahi kutokea wachambuzi wa mchongo wapuuzwe

    Just imagine squad yote kuanzia kipa, beki winga viungo mpaka washambuliaji wote ni wa hapa hapa ligi kuu ya NBCPL, Mnataka wacheze soka safi la kufunguka bila mipango ili iweje? Hivi mnajua mpira kweli ninyi wachambuzi wa mitandaoni? Timu ipo nafasi ya pili kwenye kundi, na kama sio makosa ya...
  13. Boss la DP World

    Nafurahi sana Taifa Stars ikifungwa.

    Jana siku imeenda vyema sana baada ya Mzize kufanya kweli. Kwakifupi timu ya taifa inazingua, rais Samia anadangwanywa na ameingia kwenye mfumo. Mh. Rais, huna timu ya taifa. Na bado.
  14. Yoda

    Kupunguza wachezaji wa kigeni Simba na Yanga kutaifanya Taifa Stars ifanye vizuri

    Kwa jinsi mpira wa Tanzania ulivyo Simba na Yanga ndio zinategemwa kuwa kuwa mhimili wa timu ya taifa, bahati mbaya sana ni kwamba vilabu hivi viwili vimetawaliwa zaidi na wachezaji wa kigeni wakifanya vizuri kuliko wazawa. Kinachatakiwa sasa ni kurekebisha hali hii na kutia nafasi tatu tu kwa...
  15. Jaji Mfawidhi

    AZAM: Pongezi Kwa kutuletea mechi Mubashara Taifa Stars vs Kongo,Wengine waige!

    Jana 10-10-2024 Majira saa tatu usiku hapa DRC Kinshasa, na huko Tanganyika majira ya sa moja usiku sawa na Zanzibar saa moja usiku kulikuwa na mtanange wa kukata na shoka kati ya Tanganyika Stars na DRC. Inonga, Mayele na Kalulu walifana sana na walionyesha ni namna gani wachezaji wa...
  16. USSR

    Rais Samia unaona sahihi mechi za soka za timu za taifa kuoneshwa kwenye channels za kulipia, uzalendo uko wapi?

    Kenya match zote za timu za taifa honeshwa bure, Uganda match zote za timu za taifa kuoneshwa kwenye channels za bure. Rwanda , Burundi na nk match zote za timu za taifa kuoneshwa kwenye channels za bure Tanzania hakuna kitu ni utapeli wa kizalendo Soma Pia: DR Congo VS Tanzania |...
  17. FK21

    Kikosi kikipangwa hivi Taifa Stars anashinda leo dhidi ya DR Congo

    kutokana na kuangalia wachezaji waliotwa KIKOSI kikianza ivi kitamshangaza mkongo 1. YONA AMOS - anajiamini japo Kuna goal mechi na Yanga kama aliamua tu kujishushia heshima 2. LUSAJO MWAIKENDA- No comments✓ 3. MOHAMED HUSEIN - 4. IBRAHIM BACCA -japo h uyu jamaa simkubali I bet Leo...
  18. Mkalukungone Mwamba

    FT: DR Congo 1 - 0 Tanzania | Qualification AFCON 2025 | Marty's Stadium | 10 Oktoba, 2024

    Alhamis ya leo Oktoba 10, Taifa Stars itakuwa dimba la ugenini ikicheza na DRC, mchezo wa kuwania kufuzu fainali za AFCON 2025 nchini Morocco. Mchezo huu utachezwa kuanzia saa 1:00 usiku Pia soma ~ Samatta arejeshwa katika kikosi cha Taifa Stars kitakachocheza mechi ya kufuzu AFCON 2025 vs DR...
  19. kavulata

    Wachambuzi na wanahabari isemeeni Taifa Stars zaidi kuliko Simba na Yanga

    Taifa Stars ndiko waliko watanzania wetu kuliko vilabu ambavyo vimejaa wageni wengi. Taifa Stars ni moja kati ya tunu zetu za taifa, mnasubiri nini kuongelea na kuhamasisha watu kuijua na kuipenda timu yao? mnasubiri kulipwa ili kuichambua na kuhamisha watu kuipenda na kujaza viwanja wakati wa...
  20. Moshi25

    Taifa Stars hiyoo AFCON, hakuna timu ya kutuzuia!

    Kwanza kabisa niseme wazi timu yetu ya taifa ni nzuri na inaupiga mwingi sana sio kibonde tena huko tushatoka. Ukiangalia mechi za Taifa Stars na Congo DR huwa hazina mnyonge. Lolote humkuta yoyote, hapo rank za FIFA huwa hazina kazi , bampa to bampa, piga nami nikupige, Congo DR mabishoo ...
Back
Top Bottom