FT: DR Congo 1 - 0 Tanzania | Qualification AFCON 2025 | Marty's Stadium | 10 Oktoba, 2024

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Aug 29, 2022
585
1,370
Snapinsta.app_462187301_1104951948297344_3846156956165262490_n_1080.jpg

Alhamis ya leo Oktoba 10, Taifa Stars itakuwa dimba la ugenini ikicheza na DRC, mchezo wa kuwania kufuzu fainali za AFCON 2025 nchini Morocco. Mchezo huu utachezwa kuanzia saa 1:00 usiku
Snapinsta.app_462430544_18468356035047601_6853440356382506207_n_1080.jpg

Pia soma ~ Samatta arejeshwa katika kikosi cha Taifa Stars kitakachocheza mechi ya kufuzu AFCON 2025 vs DR Congo


Updates.....

Kipindi cha kwanza cha mchezo kimeanza

Dakika, 9 Mpira upo kasi sana na bado milango ni migumu kwa pande zote mbili

Dakika, 17 Ngoma bado ngumu si Mwenyeji DRC wala si Tanzania

Dakika, 30 Si Stars wa DRC ambaye amepata goli mchezo upo on fire

Dakika 45 za kipindi cha kwanza kimetamatika DRC 0-0

Kipindi cha pili kimeanza

Dakika, 53 Gooooli DRC wanapata goli la kuongoza

Dakika, 58 Taifa Stars wanafanya mabadiliko anatoka Kibu anaingia Saduni

Dakika, 70 Taifa Stars wanatengeneza nafasi na kumiliki mpira

Dakika, 81 DRC wanashambulia sana dakika hizi
 
Ila Kuzaliwa Nchi nyingine wakati mwingine sio fair Hiv Max ni wakukosa namba timu ya Congo? Yao Kwasi na Pacome ni wakukosa namba Ivory Cost? nina wakika wangekuwa watanzania wasingekosa first eleven yetu.
Congo unakuta wachezaji wao wametapakaa ulaya, wa ndani ni wachache sana
 
Ila Kuzaliwa Nchi nyingine wakati mwingine sio fair Hiv Max ni wakukosa namba timu ya Congo? Yao Kwasi na Pacome ni wakukosa namba Ivory Cost? nina wakika wangekuwa watanzania wasingekosa first eleven yetu.
Max atamtoa meshak elia? Atacheza wapi pale congo hebu kwa kikosi hicho nambia max anamtoa nani hapo
 

Attachments

  • 6BC8C083-786F-435F-B6D0-D8E3CDDE8506.png
    6BC8C083-786F-435F-B6D0-D8E3CDDE8506.png
    472.1 KB · Views: 3
Back
Top Bottom