Vunjeni benchi zima la ufundi Taifa Stars

Sawa tutalifikisha kwa mama
IMG-20241007-WA0000.jpg
pppp
 
Kweli uongeaji aa Morocco hata mke wangu huwa anasema hamna Kocha hapa, ila haya maneno yako ingekuwa poa sana ungezungumza kabla ya mechi. Nina uhakika stars wangeshinda usingeongea hivi.
haya maneno nimeongea sana tu kabla ya mechi
 
CV kubwa ya kocha wa timu ya Taifa eti ni kufundisha Namungo Fc, Coastal Union, Mlandege, nk. Halafu tutegemee maajabu!

Badala ya kujenga timu imara ya vijana kwa kuwapeleka kwenye academy za nje! na pia kuajiri makocha wenye CV kubwa, miaka nenda TFF na serikali ya CCM wanaokoteza tu makocha wa bei nafuu! Na nwisho wa siku timu inaendelea kubakia kuwa kichwa cha mwendawazimu!

Hovyo kabisa.
 
CV kubwa ya kocha wa timu ya Taifa eti ni kufundisha Namungo Fc, Coastal Union, Mlandege, nk. Halafu tutegemee maajabu!

Badala ya kujenga timu imara ya vijana na kuwapeleka kwenye academy za nje! na pia kuajiri makocha wenye CV kubwa, miaka nenda TFF na serikali ya CCM wanaokoteza tu makocha wa bei nafuu! Na nwisho wa siku tinu inaendelea kubakia kuwa kichwa cha mwendawazimu!

Hovyo kabisa.
na utacheka utasikia mshahara wa kocha wa taifa ni 30m ioa wanagawana na maofisa wa tff
 
CV kubwa ya kocha wa timu ya Taifa eti ni kufundisha Namungo Fc, Coastal Union, Mlandege, nk. Halafu tutegemee maajabu!

Badala ya kujenga timu imara ya vijana kwa kuwapeleka kwenye academy za nje! na pia kuajiri makocha wenye CV kubwa, miaka nenda TFF na serikali ya CCM wanaokoteza tu makocha wa bei nafuu! Na nwisho wa siku tinu inaendelea kubakia kuwa kichwa cha mwendawazimu!

Hovyo kabisa.
hovyo
 
Benchi zima la ufundi la taifa stars halifai, huyo Hemedi Morroco kuongea kwenyewe shida atawafundisha nini wachezaji?

Ana uzoefu upi wa kufundisha timu ya taifa, huyo ni kocha wa level ya geita gold, fukuzeni wote na muajiri makocha wenye uwezo
Tatizo la watanzania hata ma soccer pundits wote ni useless. Utakuta mtu hajuwi lolote kuhusu mpira na hata kucheza maishani mwake hajacheza lakini ni mchambuzi wa mpira na anaaminiwa na wananchi wasiojitambua.
 
Benchi zima la ufundi la taifa stars halifai, huyo Hemedi Morroco kuongea kwenyewe shida atawafundisha nini wachezaji?

Ana uzoefu upi wa kufundisha timu ya taifa, huyo ni kocha wa level ya geita gold, fukuzeni wote na muajiri makocha wenye uwezo
Na siasa zipungue kwenye mpira wetu. Wanasiasa hasa wakubwa wanapenda sana sifa za kijinga kupitia soka!

We angalia hata mzee wa msoga alikuwa anafanya nini cha maana kiwanjani kama siyo kutaka sifa tu endapo timu itashinda!
 
Benchi zima la ufundi la taifa stars halifai, huyo Hemedi Morroco kuongea kwenyewe shida atawafundisha nini wachezaji?

Ana uzoefu upi wa kufundisha timu ya taifa, huyo ni kocha wa level ya geita gold, fukuzeni wote na muajiri makocha wenye uwezo
Geita Gold yenyewe, yeye ndio aliishusha daraja..HAFAI
 
Kwani wale wachezaji wazungu wanaocheza ulaya walioku wanakuja zaman kucheza mechi za Taifa Stars siku hz wapo wapi?
 
Benchi zima la ufundi la taifa stars halifai, huyo Hemedi Morroco kuongea kwenyewe shida atawafundisha nini wachezaji?

Ana uzoefu upi wa kufundisha timu ya taifa, huyo ni kocha wa level ya geita gold, fukuzeni wote na muajiri makocha wenye uwezo
Timu ilikuwa na rhythm nzuri akafanya sub za kiwak za kumtoq Mwaikenda na kumuingiza Mwamnyeto🚮🚮
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom