Mtetezi wa Wanyonye adaiwa kupewa sumu

Mtetezi wa Wanyonye adaiwa kupewa sumu

Harold Finch

New Member
Joined
Jul 13, 2026
Posts
1
Reaction score
9
Nimepokea taarifa kuwa kuna njama za kumdhuru kwa kumuwekea sumu kwenye chakula Mtetezi wa Wanyonge, Mwenyezi Mungu ni mwemba amnusuru.

Kwa sasa siwezi kuthibitisha kwa undani kilichotokea, lakini naamini ukweli utajulikana.

Kasi yake ya kukubalika kila Kona ya nchi imewatisha, wananchi wote wenye shida imani yao iko kwa mtetezi wa wanyonge.
 
4MASHARTI NA MUDA MAALUMU (The Ultimatum)

Kutokana na mapendekezo ya Mjumbe Maalum, CMAG imetoa maelekezo yenye ukomo wa muda (Time-bound actions) kwa Tanzania:
Ndani ya Siku 30: Kutatua suala la kushikiliwa kwa Tundu Lissu kupitia njia za kisiasa au kisheria, na kuwaachia wengine wote wanaoshikiliwa kwa kutumia haki zao kwa amani.

Ndani ya Siku 60: Kurejesha upatikanaji kamili wa mitandao ya kijamii na kuacha vitisho dhidi ya vyombo vya habari na watetezi wa uhuru wa kujieleza.

Ndani ya Siku 90: Kuitisha jukwaa shirikishi na la kuaminika la vyama vya siasa (likiongozwa na mwezeshaji huru) kujadili mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi, ushindani wa kisiasa, wafungwa, na uwajibikaji.

Bila Kuchelewa: Kuanza uchunguzi huru wa makosa ya jinai uliopendekezwa na Tume ya Uchunguzi, pamoja na fidia kwa wahanga.

MWISHO WA UBAYA NI AIBU
 
Mimi tu ambaye ni mtu wa kawaida nimepona kuuwawa ndio awe huyo?
Hivi wewe Stroke na funaku a.k.a jingalao hamna shughuli nyingine ya kufanya zaidi ya hii ya kulamba makalio ya watawala? Nakumbuka mpo toka enzi za Kikwete, akaja Magufuli na sasa Samia ila kuna walamba makalio wenzenu mliokuwa nao enzi hizo hatuwaoni. Walikuwepo wakina YEHODAYA, Lizaboni Simiyu Yetu, FaizaFoxy, Bia yetu na wengine wengi. Wote hao hawapo nahisi walishapata kazi za kuwaingizia kipato wakaachana na hii kazi ya kulamba matako ya watawala, ila ninyi bado mpo tu. Nauliza mmeshindwa kabisa kupata kazi hadi miongo zaidi ya mitatu bado mnalamba makalio tu?
 
Hivi wewe Stroke na funaku a.k.a jingalao hamna mnashughuli nyingine ya kufanya zaidi ya hii ya kulamba makalio ya watawala? Nakumbuka mpo toka enzi za Kikwete, akaja Magufuli na sasa Samia ila kuna walamba makalio wenzenu mliokuwa nao enzi hizo hatuwaoni. Walikuwepo wakina YEHODAYA, Lizaboni Simiyu Yetu, FaizaFoxy, Bia yetu na wengine wengi. Wote hao hawapo nahisi walishapata kazi za kuwaingizia kipato wakaachana na hii kazi ya kulamba matako ya watawala, ila ninyi bado mpo tu. Nauliza mmeshindwa kabisa kupata kazi hadi miongo zaidi ya mitatu bado mnalamba makalio tu?
Umepatia sana.
 
Back
Top Bottom