Kuna Game la Drafti linaitwa Backrow Rush ni zuri sana.
Linapatikana Play store kwa jina Backrow Rush
Naomba msaada wa kulijaribu na mnipatie maoni yenu kipi cha kuboresha na kuongeza. Kwa sasa inafanya yafuatayo.
Wachezaji Wengi Mtandaoni (Online Arena) – Cheza na wachezaji kutoka sehemu...
Kwa usahihi na usalama: Fuatilia stock, mauzo, matumizi na faida. Simamia biashara yako popote ulipo! Hakuna kuumiza kichwa. Pata kila kitu unachohitaji kwa urahisi kuendesha Biashara yako.
Mfumo wetu huu unauwezo wa kufuatilia na kurecord Mauzo, Faida Hasara, Kodi, Mfumo wa Mauzo yani POS...
Kwa usahihi na usalama: Fuatilia stock, mauzo, matumizi na faida. Simamia biashara yako popote ulipo! Hakuna kuumiza kichwa. Pata kila kitu unachohitaji kwa ujasiri kuendesha Biashara yako.
Mfumo wetu huu unauwezo wa kufuatilia na kurecord Mauzo, Faida Hasara, Kodi, Mfumo wa Mauzo yani POS...
Hey Wana JF
Nina uhitaji wa mtu mwenye ujuzi wa computer science na software engineering.
Awe na weledi katika masuala haya.
Blogs,
Apps,
Logos designs,
Wallpapers,
Photography,
Broadcasting Network.
Muhusika mwenye sifa tajwa na mwenye utayari, naomba aje PM. kwa mawasiliano zaidi.
.....
Hata leo mkifungia Chadema sera zao tayari zimesha eleweka na ndizo zipo kwa Watanzania wengi.!Pesa , uchawa, rushwa haitaweza kubadilisha imani ya watanzania ni kupoteza muda. Ukiwa na genius kama walina Lissu hata ukiwafunga haisaidii maana sera zao ni za kitaifa. Haki ni kitu cha kibinadamu...
https://github.com/mhogomchungu/media-downloader
Siku ya jana nilikuwa natafuta software nzuri ya kushusha videos
Baada ya kutafuta hapa na pale nikakuta kwenye majukwaa ya eknolojia ya kimataifa watu wanaishauri Media Downloader
Niliishusha na kuitumia, ni software nzuri ambayo inaweza...
karibu kwa huduma ya repair , service kwa machine zote ya photocopy na printer ,
pia huduma ya kureset inkpad error inapatikana mahali popote ulipo huduma inafanyika .
+255621205202 karibu sana
Wakuu bila salamu ningependa kuuliza/kuomba msaada wa maelekezo najua kwatanzania paypal inazingua kutoa hela ila sina uhakika ikiwa kama inazingua kwenye kuweka.
swali langu ni kwamba je nawezaje kulipia program ya gavana kwa kutumia paypal na je inawezekana kuweka voda visa bila shida kwenye...
Wakuu habari! Naomba maelekezo, nahitaji kupata turnitin software ya plagiarism checking tafadhali. Naona nyingi zipo vyuoni. Ivi hakuna namna ya mtu binafsi kuwa nayo? Natanguliza shukrani.
Baada ya kukutana na mjadala wenye kichwa cha "Mnatumia program gani ku-manage biashara" niliona jibu la mtu aliyesema anatumia programu ya Gavana. Baada ya kusoma maelezo yote kwenye hiyo thread, niligundua kuwa ni matamanio yangu kuendesha biashara kupitia programu maalum itakayoniwezesha...
Huna haja ya kuinstall software kila PC
Ama kama kila mara ku-install software ukibadilisha computer, Hata nikiazima PC ya mtu huwa natumia software zangu kama zilivyo
Kuna life hack ya techies wengi ni
PORTABLE APPS
Portable Apps ni nini?shuka na hii article
PORTABLE APPS Ni version za...
Mimi nimwajiriwa Nina stashahada ya Ualimu (physics & mathematics) nataka kwenda kusoma mwaka huu course ya TEHAMA, Wakuu naomba kujua utofauti wa course ya bachelor in computer science Na Bachelor of science in computer science in software engineering
Kazi gani unayo (Software issues) unahitaji msaada? Nikusaidie.
blog issues
website issues
softwares issues (Windows 10,11)
social media management
Mawasiliano: 0756704145
Eneo: Dar es salaam, Mbezi
Format factory Software (image, audio, video) - 20,000 Tsh
*Sifa zake
Video converter
video downloader
Picture converter
Audio converter
Document manipulation
Mawasiliano: 0756704145
Eneo: Dar es salaam, Mbezi
Unahitaji nini usaidiwe kwenye IT industry? Software, website,blog, ads, email na n.k
Karibu usaidiwe unachotaka kwenye IT kama maswali utajibiwa
Mawasiliano:0756704145
Eneo: Dar es salaam, Mbezi
Kama unatumia vocha kuongeza salio, basi hii app inakufaa sana! Inaitwa Voucher Master inapatikana Play Store – unatumia kamera ya simu tu kuskani vocha na salio linaingia moja kwa moja bila kuandika namba yoyote.
App pia ina sehemu ya Huduma ambapo unaweza
Kuangalia namba yako ya simu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.