Je ww ni software Engineer ( Developer ) / IT lakin una kaz na wala ujapata ajiri . Ni text dm tuyajenge .
I need:
1. Web developer ( full stack developer with good design skills )
2 . App Developer ( React , Flutter and Java)
3. PHP ( frameworks Any )
4. Graphic Designer And Video Editor (...
Kwema Wakuu? Mafundi simu upande wa software na wadau wote mnaofahamu matatizo ya software za simu,nisaidieni utatuzi.
1:Vida k242(voda kitochi) APP ya contact inafunguka lakini haiwezekani kuchagua majina(bar ya kijani inayozunguka eneo la search pichani inagoma ku move kushuka chini).
2:APP ya...
Wakuu ninatamani kuongeza ujuzi kwenye eneo la statistical software za kufanyia data analysis. Natamani kupata professional short-course Ili kujinoa zaidi kwenye Excel, SPSS, AMOS (Advanced Level) na pia natamani kujifunza R na Python n.k kwa ajili ya shughuli zangu za kitafiti.
Wapi naweza...
Wakuu mimi ni moja ya watu ninaopenda kuwa Software developing ninampango wa kusoma ICT je nitaweza kutimiza ndoto zangu?
Nakama mtu anaconnection ya chuo cha hapa Dar itakuwa poa
Nina MACBOOK PRO
Nahitaji kuiwekea
1. HIGH SIERRA
2. FINAL CUT PRO X
3. LOGIC PRO X
4. REASON
5. GARAGE B
6. EXCELL-WORD-PWPOINT
7. PREMIER PRO
8. PHOTOSHOP
9. ILLUSTRATOR
10. DREAMWEAVE
11. IN DESIGN
12. SOFTWARE NZURI YA KU RIP DVDs / CDs
13. SOFTWARE NZURI YA KUHAMISHA DATA...
Habari za wakati huu,
Tujo katika karne ya 21 tukiwa tunaelekea kumaliza robo ya kwanza ya karne hii.Wakati karne hii inaanza kwa waliokuwepo tunakumbuka kamsemo maarufu kaliitwa Y2K najua kuna ambao mnakumbuka stori za mwisho wa dunia, kibwetere na kirusi cha Y2K na vinginevyo. Anyway Y2K sasa...
Kama title inavyojieleza, nina uzoefu wa kutosha usiopungua miaka mitatu (work experience), kwa sasa natafuta kazi party time au contract
Skills
PHP (Laravel, Wordpress theme &plugin development, OOP)
Javascript ( Vue.js, React.js, Jquery)
Docker, Git, Jira, Bash scripting, comfortable with...
habari ,nahitaji software ya gharama ndogo,web version kwaajili ya kusimamia operation zote za appartment 8 sehemu tofauti na inventory kwenye garage na godown
Pia ya transport na logistic low cost web version na Clearing and forwarding Erp
Nawasilisha
Nb: ikiwa imedesigniwa hapa hapa...
Habari,
Nahitaji software ya gharama ndogo, web version kwa ajili ya kusimamia operation zote za appartment 8 sehemu tofauti na inventory kwenye garage na godown.
Pia ya transport na logistic low cost web version.
Nawasilisha
NB: ikiwa imedesigniwa hapa hapa Tanzania itapendeza pia
Samahani wakuu
Naomba msaada wa kupata software inayofanya kazi ya kulock account ya mtu ya whatsapp ili asiweze kutumia na kuirudisha ktk hali yake ya mwanzo bila ya kuwa na simu hiyo karibu.
Asante.
Kweli ndege wa rangi moja huruka pamoja. Hivyo mama kwa kauli yake kuwa lazima aunde baraza la mawaziri ambalo anahisi litamuunga mkono kuchapa kazi mpaka 2025 lazima liwe la vijana kama huyu aliyemteua kuwa waziri wa nishati.
Waziri ambae alipoingia tu madarakani Tanesco ikapata mkandarasi wa...
Chini ya dr Menard Kalemani tuliambiwa tanesco tayari ilikua inajiendesha yenyewe na taarifa ya mwisho ya hesabu shirika lilianza kupata faida.
Asili ya tanesco kua mzigo ni kugeuzwa shamba la bibi na wapigaji. Mikataba ya uzalishaji ya kinyonyaji na makampuni binafsi na ubadhilifu wa vigogo...
Nawaza hapa kwa nia njema, wadau tunakesha tukiachia software za kishua tu huko nje zinatumika, ina maana hatujafikia kiwango cha kushawishi hizi serikali za ukanda huu, mpka ERP inafuatwa India kwa gharama ya milioni 30 dola za Kimarekani. Hela ndefu sana hiyooo.
=========
A statement...
Watanzania naona tulisahau kabisa ajenda ya ufisadi wakati wa Magufuli, mpaka sasa kuna ufisadi umefanyika fasta fasta bila ya watu hata kushtuka.
Mkataba uliosainiwa baina ya Serikali ya Tanzania (kupitia TANESCO) na kampuni ya Tech Mahindra ya India wenye thamani ya dola milioni 30 ni wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.