software

  1. NetMaster

    Inachosha kutengeneza mafolder mengi kwa file moja, software gani nzuri ya kubandika tags kwenye mafaili ili kuondoa usumbufu wa kutengeneza folders

    Naweza kuwa na faili muziki, video au pdf ya mashairi mfano wimbo wa zali la mentali wa professor jay, hapa inabidi niuweke kwenye mafolder kama: Bongo flava, Tanzania 2000s Bongo Records Professor Jay Juma Nature Kuna software ambayo naweza kupachika tags kirahisi, yani nikilikuta faili...
  2. Wilhelm Johnny

    Mafundi simu upande wa software

    Wakuu mimi natumia Boksi ya UFI kwa kweli pamoja na sifa mbovu za hili boksi nimefanikiwa kufufua simu kadhaa na kuua simu 2 nikijaribu kutoa MDM nikiwa najifunza na kuamsha simu zilizokufa animefanikiwa chache tena zile brand kubwa kwa kuwa sina wateja wengi tatizo ni kwa hizi simu zetu tecno...
  3. Step_Rocker

    Coding, programming, software development na software engineering nini maana yake na utofauti

    CODING Coding inahusisha uandishi wa maelekezo fulani kwa lugha ambayo inaeleweka na kompyuta. Lugha hizo ni kama python, C, C++ n.k. Lakini pia coder anaweza kua na uzoefu na scripting kama vile bash scripting n.k. Kwa ujumla coder anatakiwa kua na skills zifuatazo ama zaidi ya hizi baadhi...
  4. Programu za PC

    Je, unahitaji software ya kukusaidia kazi / biashara yako?

    Habari, Je unahitaji software yoyote katika kazi / biashara zako. Nipo hapa kukusadia kupata software yoyote unayotaka katika kukusaidia kazi / biashara yako. Software au program katika kifaa chako cha kazi kama kompyuta au simu. Nitajie sofware au kazi yako inayohitaji software maalum...
  5. Lafacha

    Msaada: Ni software gani au program ambayo inaweza kufanya haya?

    Wakuu heshima yenu, nimekuja mbele yenu nikiwa na swali moja tu ni software gani ambayo inaweza ikanisaidia kuhifadhi taarifa za namna hii. Mfano: Taarifa za watoto waliozaliwa nchi nzima mwaka 2022, nakihitaji nizihifadhi ambapo mtu mwingine akija kwenye hiyo software baada ya kuhifadhi...
  6. Step_Rocker

    Alx software engineering programme

    Siku hizi kumekua na ongezeko kubwa la programming bootcamps ambazo hutoa mafunzo ya programming, lakini nyingi kama sio zote hutoa mafunzo kwa bei kubwa huku wakihakikisha uhakika wa ajira baada ya mafunzo yao. Zingine zinatoa mafunzo bure na kukutafutia connection za ajira na malipo ni baada...
  7. Princ

    Kama kuna anayejua streaming software anitajie nikaitafute

    Habari wakuu kama kuna yule mwenye anajua streaming software anitajia nikaitafute maana nimehangaika sana mpka nimechoka. Mwisho wa siku nikakumbuka huku jamiiforums. Msaada wenu please kama kichwa cha habari kinavyo jieleza Mixlr/radioking/mixx/visualdj zinaleta magumashi
  8. WIMICKY

    The software does not match the phone (oppo A57)

    Habari wana jamvi, Nina simu aina ya oppo 57 imetoa changamoto haimalizi kuwaka yaani inafika eneo la logo, nikamuulizia jamaa yangu ambaye kidogo hivi vitu anavifahamu yupo eneo tofauti na ninaloishi akanishauri niweke faili lingine nakapakua mtandaoni. Changamoto ikaja wenye kuliweka kila...
  9. Wilhelm Johnny

    Window gani nzuri kwa ajili ya fundi simu upande wa software?

    Wakuu naomba kujuzwa kati ya window 7 na 10 ipi ni nzuri kwa ufundi simu upande wa software ninazo box na sio crack
  10. TallWater

    Software Developer, Anayetaka

    Mimi ni mtaalamu wa kutengeneza mifumo lain ya Computer (Software Developer), Kwa yeyote anaye hitaji website, blog na mifumo ya ofisi nicheki tufanye kazi. 0621012703
  11. Next Elon Musk

    Jinsi ya kuwa software developer (self-taught)

    Wanajamii Tech ningependa kujua jinsi ya kuwa software developer kwa kujifunza mwenyewe I mean language (s) course, resources n.k Pia kwa hapa nchini naona community iko ndogo Sana sijui ndo kuwa kwenye Giza au la madeveloper Sion hata community hakuna sijui imekaaje hapa. Okay turudi kwenye...
  12. V

    Natafuta investment patner/co-founder, aina ya biashara - Software as service business model (Saas)

    Wakuu habari Mimi ni software engineer by profession, nimetengeza software na Application za simu kwa ajili ya hospitali, clinics na medical center) ni aina ya software ambayo inatumika mahospitalini kuingiza data za wagonjwa (treatments record pamoja payment records) ****Im looking for...
  13. kali linux

    Hizi Software 3 hazitokuja kupata mshindani wa kuzipindua kizazi hiki

    Hello bosses.... Kwa mizunguko mizunguko nlopitia baada ya kufanya kazi na watu kadhaa kwenye field ya software dev nmekuja gundua (in my opinion) kuna software hizi 3 hata itokee alternative gani kizazi hiki hazitokuja kuwa replaced. Kiufupi hizo ni:- 1) BLOOMBERG TERMINAL 2)MICROSOFT EXCEL...
  14. Equation x

    Bingwa wa 'software' anahitajika

    Habari wakuu? Nahitaji mtu anayeweza kutengeneza software ya 'animation', yaani ya kutengeneza 'video' za katuni. Hiyo 'programme' iwe na angalau sifa hizi:- Iwe ni rahisi kutumia Iweze kutumia lugha mbili kiingereza/kiswahili Iweze kutengeneza 'character' wa aina yoyote 'Back ground' iwe...
  15. shetani aka shetty baby

    Software ipi kwenye PC inaweza ikatumika kuhifadhi apps mbalimbali?

    Naomba kujua ni application ipi ni install kwenye PC yangu ili niweze k-run application mbalimbali kama vile whatspp, telegram nk
  16. Kiranja Mkuu

    Natafuta mtaalam wa kutengeneza Apps/ Software

    Je wewe ni mtaalam wa kutengeneza apps/ software? Karibu tuwasiliane. 0687969981 0764255769
  17. matunduizi

    Wakuu hii ni software gani (logo designing)

    nashindwa kuelewa hii interfere Ni ya software gani
  18. Kagoma360

    Software za kufrashia simu

    Niko na simu hapa nataka kui remove screen lock mbaya zaidi button zake za volume up na down zmeharbika ningeweza kuiformat. Katika pitapita zangu huko YouTube nikaona wahindi wanatumia MTK CLIENT TOOL na MTK UNIVERSAL TOOL kwa mwenye hizo software wakuu naomba ili niweze kutatua changamoto hii
  19. Kibirizi

    DATA RECOVERY SOFTWARE FROM FORMATTED PARTITION OF HDD/SSD

    Habari Wakuu Naomba mwenye software ya kurudisha data ambazo zilikuwa kwenye partition ya HDD lakini kwa bahati mbaya ikawa formatted
  20. P

    SoC02 How software technology should be leveraged in order to facilitate financial inclusion amongst small-scale farmers

    NAME: PATRICK CHRISTOPHER SAROTA AGE: 23 NATIONALITY: TANZANIA EDUCATION LEVEL: BSc. INTERNATIONAL ECONOMICS AND TRADE CITY: DAR ES SALAAM, TANZANIA MOBILE NUMBER: 0685678650 EMAIL: PATRICK.SAROTA@GMAIL.COM HOW SOFTWARE TECHNOLOGY SHOULD BE LEVERAGED IN ORDER TO FACILITATE FINANCIAL INCLUSION...
Back
Top Bottom