Taarifa za ndani zinasema kuwa kiungo wa Simba, Rally Bwalya ameshamwaga wino wa kujiunga na klabu ya Amazulu ya Ligi Kuu ya Afrika Kusini, lakini uongozi wa Wekundu wa Msimbazi umesema umepokea ofa ya mchezaji huyo na utakaa na klabu hiyo ya Sauzi kuona kama dili ni zuri imuuze kwa sababu bado...