5imba ni kama ACT, mara oo Linda Kura, wakati kanuni walizosaini ni kuufyata nyumbani baada ya kupiga kuraHawa Simba Sc hua siwaamini yaani hawana msimamo kama Yanga
WATAKUWA WANAFANYA WARM UP SAA HIZINauliza tu, wadau Simba SC walisema leo ndio wanancheza Dabi tofauti na tarehe nyingine yoyote.
Je! Tayari Simba SC washapeleka timu uwanjani km walivyosema? Au ndio kutishiana Nyau?
View attachment 3369684
5imba ni kama ACT, mara oo Linda Kura, wakati kanuni walizosaini ni kuufyata nyumbani baada ya kupiga kura
Yanga ni kama CDM wana msimamo balaa, NoReforms No ELection, Bila Mabadiliko Bodi ya Ligi, Hakuna Debi
Simba hawachezi wanacheza makuma kama weweNauliza tu, wadau Simba SC walisema leo ndio wanancheza Dabi tofauti na tarehe nyingine yoyote.
Je! Tayari Simba SC washapeleka timu uwanjani km walivyosema? Au ndio kutishiana Nyau?
View attachment 3369684
Kwa hio mmerudi wapi sasa hivi na hao waamuzi wenu wa Mchongo wakina Tatu Malogo na Amina Kyando?Mama samia ametunyima hivi hivi pointi zetu 3 za mezani, na magoli 3!! 😭😭
Yaani mpaka muda huu, mwamuzi wa kati Kepha Kayombo pamoja na wasaidizi wake Tatu Malogo, Amina Kyando, na Japhet Smart wangekuwa wameshaingia uwanjani na kusubiri dakika 15; kabla ya kupuliza kipyenga cha kumaliza mchezo! Na timu yetu kuondoka uwanjani na pointi 3 muhimu.
Mawazo mabaya yalinitembelea, nikawaza Yanga iwe Chama Cha siasa hapa nchini.5imba ni kama ACT, mara oo Linda Kura, wakati kanuni walizosaini ni kuufyata nyumbani baada ya kupiga kura
Yanga ni kama CDM wana msimamo balaa, NoReforms No ELection, Bila Mabadiliko Bodi ya Ligi, Hakuna Debi
Epuka matapeli.Nauliza tu, wadau Simba SC walisema leo ndio wanancheza Dabi tofauti na tarehe nyingine yoyote.
Je! Tayari Simba SC washapeleka timu uwanjani km walivyosema? Au ndio kutishiana Nyau?
View attachment 3369684
Hakuna msimamo wowote Mkuu. Angalia Simba App wameweka mechi Juni 25. Mwendo wamateka tu.Soon tunatoa msimamo wetu dunia itatikisika
Hatari kaka naziona saba safari hii.Ishanyesha tayari wamelowaaa tarehe 25 ni mwendo wa maji tu wataloa jinsi moto utakavyokua unapelekwa