min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 58,066
- 166,562
Kwa hicho kikosi na ujinga ujinga wenu , na ufisadi, hatuwezi kuwashinda Yanga kamwe 🤔
Yapo mababu majinga majinga kwenye uongozi ,ambayo hayana maono ya mpira wa sasa.
Kwa Simba day hii tu na utambulisho wa wachezaji , mtapigwa nyingi sana takataka nyie .
Kipigo cha hawa wajinga na kutochukua makombe kitadumu kwa miaka mingi .
Simba yangu nguvu moja toka 1995 nipo nanyi , nyakati zote , tujiandae kwa tabu.
Yapo mababu majinga majinga kwenye uongozi ,ambayo hayana maono ya mpira wa sasa.
Kwa Simba day hii tu na utambulisho wa wachezaji , mtapigwa nyingi sana takataka nyie .
Kipigo cha hawa wajinga na kutochukua makombe kitadumu kwa miaka mingi .
Simba yangu nguvu moja toka 1995 nipo nanyi , nyakati zote , tujiandae kwa tabu.