Simba SC walishajihakikishia nafasi ya pili msimu huu NBC

Simba SC walishajihakikishia nafasi ya pili msimu huu NBC

Prakatatumba abaabaabaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2022
Posts
2,251
Reaction score
7,576
Yeah nawapongeza sana Simba sc, kwasababu naona nafasi ya pili msimu wa 2026/2027 nafasi yao iko very secured.

Naona mabeki wao wazuri Kameta Duchu, Kibabage wakipambana angalau wafikie nafasi ya pili , napongeza Kwa usajili wao mzuri wa kumleta Victor Osimeh Doumbia mfumania nyavu wa kutisha, hongera Simba Kwa kulinda nafasi ya pili ya ligi kuu.
 
Back
Top Bottom