Dear sasa wanaume, mnachosha!
Nilifanya mahojiano mahali ila ilikuwa ni ya binafsi, sema wanahusika na serikali kamshahara kalikuwa kanono kweli.
Swali la kwanza umeolewa hapana, kwa hiyo unaweza pelekwa popote? Naomba mnukuu hili, nikajibu ndiyo. Una miaka mingapi? Mh yakawaida, wakaandika...