1. Haigharamii elimu ya waandishi wengi wa habari, lakini inawatoza Tsh.50000 kila mmoja.
2. Haijali wana ajira au hawana,lakini inawatoza Tsh. 50000 kila mmoja.
3. Haijui wanalipwa kiasi gani, wana mikataba au wanayo, inawatoza Tsh. 50000 kila mmoja.
4. Una tuma maombi online na kulipa ada...