Serikali ya Tanzania ipo Vitani? Internet ni shida, na Askari kila kila kona
Nini kinaendelea? Wananchi tuambiwe kama TFF wameshaingia Mjini ili tusaidie kuwatafuta.
Hakuna huduma za Kijamii, zote zinayumba.. Watoa huduma kama NIDA, UHAMIAJI, TRA, RITA, Mifumo inasumbua na haisomani. Baadhi ya...