sehemu za siri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Bridger

    SI KWELI Tohara hupunguza ukubwa wa sehemu za siri za mwanamme

    Wataalamu wa afya huelezea umuhimu na faida za kufanyika kwa tendo hili kwa wanaume. Baadhi ya sehemu wanaume huwa hawatahiriwi kabisa, na wengine wanaotahiri husubiri hadi mtoto afikishe walau miaka 12 ndipo afanyiwe tendo hilo kwa uoga wa kupunguza ukubwa wa viungo hivyo. Madai haya...
  2. JanguKamaJangu

    Wanawake watano wauawa, wanyofolewa sehemu za siri

    Wanawake watano Wilayani hapa wameuawa kikatili na watu wasiojulikana huku watatu kati yao wakikutwa sehemu zao za siri zimenyofolewa. Mauaji hayo yamefanyika katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita, hatua ambayo imesababisha wananchi kuingiwa na hofu juu ya usalama wao. Akizungumza na...
  3. S

    Madaktari wanaziona Sana sehemu za Siri , haiwaathiri kweli hii?

    Madaktari wanaziona Sana sehemu za Siri. Hii aiathiri kweli nguvu zao zakiume?
  4. Analogia Malenga

    Tabora: Mwanafunzi auawa na kunyofolewa sehemu za siri

    Watu wasiojulikana wamemuua kikatili mwanafunzi wa darasa la nne katika Shule ya Msingi Tutuo, Sikonge mkoani Tabora, Maria Kazungu (13) na kisha kunyofoa viungo vyake vya siri wakati akienda kisimani kuchota maji. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi (ACP) Richard Abwao...
  5. my name is my name

    Hivi wanaume wenye maumbile madogo ya sehemu za siri, yanawafanya mkose kujiamini katika mapenzi?

    Huyu kaka nipo nae ktk mahusiano huu mwaka tutatimiza miaka 3 Mungu akipenda. Yeye ni mkubwa kwa miaka 13. Anasifa zote za mwanaume anaejitambua. Anajua kucare, ana huruma, mpole, haongei sana labda akiwa amekasirika, sio mbahili kutoa pesa, ana heshima ila tatizo lake moja tu ana sehem za siri...
  6. Chimunguru

    Tatizo la kuwashwa mwili mara kwa mara- Fahamu chanzo, pata ushauri na tiba ya tatizo hili

    Habari JF Doctor na wana jamii wote. Mdogo wangu wa kiume (23yrs) ana tatizo la kuwashwa mwili mzima tokea mwaka 2002. Nimezunguka naye takribani hospitali zote kubwa hapa Dar lakini hatujafanikiwa kupata ufumbuzi wa tatizo lake. Kwa ufupi ni kwamba alianza tu kuwashwa jichoni, macho...
  7. Frumence M Kyauke

    Kilimanjaro: Ashikiliwa kwa tuhuma za kumuunguza mtoto sehemu za siri kwa moto wa sigara

    Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia Apolikarp Mushi kwa tuhuma za kumuunguza sehemu za siri kwa moto wa sigara, mjukuu wake wa kiume pamoja na kumtegua nyonga kwa kutumia kitu kizito. Mushi anayeishi kijiji cha Uru Kyaseni wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro, anadaiwa kumfanyia...
  8. Frumence M Kyauke

    Maambukizi ya Fangasi katika Sehemu za Siri (Vaginal Candidiasis)

    Kati ya maambukizi yanayowasumbua wanawake wengi duniani ni maambukizi ya fangasi. Inakisiwa asilimia 75 ya wanawake wote duniani hupata maambukizi haya katika kipindi cha uhai wao. Maambukizi ya fangasi katika sehemu za siri za mwanamke husababishwa na uwepo wa fangasi wanaojulikana kitaalamu...
  9. mshale21

    Jeshi la Polisi lamshikilia mwanaume kwa tuhuma za kumchezea sehemu za Siri mtoto

    Polisi Pwani wanamshikilia Anthony Lugendo (34) Mkulima wa Mlandizi kwa kumdhalilisha Mtoto wa kike mwenye miaka mitatu kwa kumchezeachezea sehemu za siri Alikamatwa akiwa chumbani kwake amemvua nguo na akiwa anamchezea Mwanafunzi huyo wa Chekechea ==== Polisi Mkoa wa Pwani wanamshikilia...
  10. Frank Lyova

    Nahitaji kufahamu nini chanzo cha majipu na tiba zake sehemu za siri

    Habari zenu wana JF, Kuna magonjwa mengine kama yanadharirisha hivi jinsi ya kuyatamka kwa watu.. lakin ndo hvyo waswahli walishatwambia mficha malazi kifo umuumbua.. Mimi ndugu zangu nina tatizo la jipu limenitokea kwenye makalio pemben kidogo mwa njia ya haja kubwa.. Ni kama uvimbe ulio...
  11. Zero IQ

    Je, kwanini baadhi ya wasichana wamekua wavivu sana kunyoa nywele za sehemu za siri?

    Je, kwa nini wasichana wa siku hizi wamekuwa wavivu sana kunyoa nywele za sehemu zao za siri? Tatizo liko wapi wakuu? Au nyembe bei ghari? Kwa sababu Kati ya wanawake 10 niliowala tangu mwezi wa 6 mpaka sasa ni 2 tu kati yao ndio walikuwa wamenyoa nywele zao za sehemu za siri (papuchini) ila...
  12. JamiiForums

    Ugonjwa wa Masundosundo mwilini na sehemu za siri (Genital & Skin Warts)

    Wengi wamekuwa wakiuliza juu ya ugonjwa huu; mjadala huu tunajadili kwa undani juu ya maradhi haya: ========= UFAFANUZI WA KINA WA UGONJWA HUU Ugonjwa kwa kitaalamu vinaitwa human papillom virus HPV, Vinaambukizwa kwa mgusano wa damu au wa majimaji kutoka kwa mtu mwenye navyo hadi mwingine...
Back
Top Bottom