my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,017
- 2,384
Huyu kaka nipo nae ktk mahusiano huu mwaka tutatimiza miaka 3 Mungu akipenda. Yeye ni mkubwa kwa miaka 13. Anasifa zote za mwanaume anaejitambua. Anajua kucare, ana huruma, mpole, haongei sana labda akiwa amekasirika, sio mbahili kutoa pesa, ana heshima ila tatizo lake moja tu ana sehem za siri ndogo.
Kua na sehem za siri ndogo ata hainisumbui kwa sababu mimi nakua satisfied hakuna tatizo ndo mana npo nae miaka yote hyo.
Mimi binafsi nampenda tena sna japo nilimcheat mara moja ila hakuwai kufaham kama nilimcheat. Na yenyewe ata sijadumu sana na uyo niliekuwa namcheat nae tukaachana. Ila toka tumekua engaged sijawai kumcheat tena. Nmetulia sana mpk mwenyewe najishangaa.
Ila yeye hajimini kabisa. Haamini kama nampenda kwa dhati kutoka moyoni, anahisi nipo nae kwasababu ya pesa zake. Tukikorofishana ata kidogo tu ndo neno lake hilo kua npo nae kwasababu ya pesa zake tu. Haya maneno yake yananiumiza sana kwasababu sio kweli kama nampendea pesa. Akitulia anaomba msamaha.
Tukikorofishana tena anarudia maneno haya haya. Yamekua kama wimbo. Tena wimbo unazoeleka lakini haya maneno yake sijawai kuyazoea. Mi nampenda kweli kweli kutoka moyoni mpk akipatwa na kitu kibaya roho inaniuma nakua naumia kama kimenipata mimi. Na mimi sijawai kua na huruma kwa mwanaume yoyote niliekuwa nae kwenye uhusiano,, yeye ndo wa kwanza.
Mpk sasa naanza kuhisi labda kua na sehem ndogo za siri ndo kunamfnya afikirie hawezi kupendwa yeye kama yeye. Anakosa kujiamini katika mahusano. Hivi na nyie wanaume wa umu wenye sehem ndogo mnakua pia hamjiamini kama huyu. Mnahisi kama hamuezi kupendwa nyie kama nyie?
Kua na sehem za siri ndogo ata hainisumbui kwa sababu mimi nakua satisfied hakuna tatizo ndo mana npo nae miaka yote hyo.
Mimi binafsi nampenda tena sna japo nilimcheat mara moja ila hakuwai kufaham kama nilimcheat. Na yenyewe ata sijadumu sana na uyo niliekuwa namcheat nae tukaachana. Ila toka tumekua engaged sijawai kumcheat tena. Nmetulia sana mpk mwenyewe najishangaa.
Ila yeye hajimini kabisa. Haamini kama nampenda kwa dhati kutoka moyoni, anahisi nipo nae kwasababu ya pesa zake. Tukikorofishana ata kidogo tu ndo neno lake hilo kua npo nae kwasababu ya pesa zake tu. Haya maneno yake yananiumiza sana kwasababu sio kweli kama nampendea pesa. Akitulia anaomba msamaha.
Tukikorofishana tena anarudia maneno haya haya. Yamekua kama wimbo. Tena wimbo unazoeleka lakini haya maneno yake sijawai kuyazoea. Mi nampenda kweli kweli kutoka moyoni mpk akipatwa na kitu kibaya roho inaniuma nakua naumia kama kimenipata mimi. Na mimi sijawai kua na huruma kwa mwanaume yoyote niliekuwa nae kwenye uhusiano,, yeye ndo wa kwanza.
Mpk sasa naanza kuhisi labda kua na sehem ndogo za siri ndo kunamfnya afikirie hawezi kupendwa yeye kama yeye. Anakosa kujiamini katika mahusano. Hivi na nyie wanaume wa umu wenye sehem ndogo mnakua pia hamjiamini kama huyu. Mnahisi kama hamuezi kupendwa nyie kama nyie?