saudi

Saudi Arabia, officially the Kingdom of Saudi Arabia (KSA), is a country in West Asia. Located in the centre of the Middle East, it covers the bulk of the Arabian Peninsula and has a land area of about 2,150,000 km2 (830,000 sq mi), making it the fifth-largest country in Asia, the largest in the Middle East, and the 12th-largest in the world. It is bordered by the Red Sea to the west; Jordan, Iraq, and Kuwait to the north; the Persian Gulf, Bahrain, Qatar and the United Arab Emirates to the east; Oman to the southeast; and Yemen to the south. The Gulf of Aqaba in the northwest separates Saudi Arabia from Egypt and Israel. Saudi Arabia is the only country with a coastline along both the Red Sea and the Persian Gulf, and most of its terrain consists of arid desert, lowland, steppe, and mountains. The capital and largest city is Riyadh; other major cities include Jeddah and the two holiest cities in Islam, Mecca and Medina. With a population of almost 32.2 million, Saudi Arabia is the fourth most populous country in the Arab world.
Pre-Islamic Arabia, the territory that constitutes modern-day Saudi Arabia, was the site of several ancient cultures and civilizations; the prehistory of Saudi Arabia shows some of the earliest traces of human activity outside Africa. Islam, the world's second-largest religion, emerged in what is now Saudi Arabia in the early seventh century. Islamic prophet Muhammad united the population of the Arabian Peninsula and created a single Islamic religious polity. Following his death in 632, his followers expanded Muslim rule beyond Arabia, conquering territories in North Africa, Central, South Asia and Iberia within decades. Arab dynasties originating from modern-day Saudi Arabia founded the Rashidun (632–661), Umayyad (661–750), Abbasid (750–1517), and Fatimid (909–1171) caliphates, as well as numerous other dynasties in Asia, Africa, and Europe.
Saudi Arabia was founded in 1932 by King Abdulaziz (also known as Ibn Saud), who united the regions of Hejaz, Najd, parts of Eastern Arabia (Al-Ahsa) and South Arabia (Aseer) into a single state through a series of conquests, beginning in 1902 with the capture of Riyadh. Saudi Arabia has since been an absolute monarchy governed by an authoritarian regime without public input. In its Basic Law, Saudi Arabia defines itself as a sovereign Arab Islamic state with Islam as its official religion and Arabic as its official language. The ultraconservative Wahhabi religious movement within Sunni Islam was the prevailing political and cultural force in the country until the 2000s. The Saudi government has attracted criticism for various policies such as its intervention in the Yemeni Civil War, alleged sponsorship of terrorism, and widespread human rights abuses.
Saudi Arabia is considered both a regional and middle power. Since petroleum was discovered in the country in 1938, the kingdom has become the world's third-largest oil producer and leading oil exporter, controlling the world's second-largest oil reserves and the sixth-largest gas reserves. Saudi Arabia is categorized as a World Bank high-income economy and is the only Arab country among the G20 major economies. The Saudi economy is the largest in the Middle East and the world's nineteenth largest by nominal GDP and seventeenth largest by PPP. Ranking very high in the Human Development Index, Saudi Arabia offers free university tuition, no personal income tax, and free universal health care. With its dependency on foreign labour, Saudi Arabia has the world's third-largest immigrant population. Saudi Arabians are among the world's youngest people, with approximately half being under 25 years old. Saudi Arabia is a member of the Gulf Cooperation Council, United Nations, Organisation of Islamic Cooperation, Arab League, and OPEC, as well as a dialogue partner of the Shanghai Cooperation Organisation.

View More On Wikipedia.org
  1. I

    Saudi Arabia imepata njia mbadala ya Hormuz kupitishia mafuta yake kwenda sokoni

    Saudi Arabia imeongeza mauzo yake ya mafuta hadi zaidi ya nusu ya viwango vya kawaida licha ya usumbufu kutoka kwa vita vya Iran. Ufalme huo unasafirisha mafuta kupitia bomba hadi bandari ya magharibi ya Yanbu, huku usafirishaji kutoka Yanbu ukiwa na wastani wa mapipa milioni 4.19 kwa siku...
  2. O

    Heavy fines for agencies and employers in Saudi Arabia in regards to Kenyans working there. Will this help reduce the numbers of deaths?

    Wakati Wakenya wengi wamekuwa wakilalamika kuhusu mateso, passport kushikiliwa na contracts fake, Saudi Arabia sasa imeweka fines kali kwa employers wanaokiuka sheria. Sheria mpya iliyotolewa na Ahmed Al-Rajhi amesema kuwa SR10,000 (KSh 340K) fine for hiring bila valid permit SR200,000 (KSh...
  3. Boss la DP World

    Iran yatishia kuilipua Al Kaaba Endapo Saudi Arabia Itaendelea na Msimamo wake

    Kumekucha naona Iran wametishia kulipua makazi ya Allah endapo Saudi Arabia itafanya shambulizi lolote dhidi yake. Sijui Allah atapona na kama akipona sijui atahamia wapi, au iran watajenga Al Kaaba nyingine kwao?
  4. O

    Saudi Arabia imeitoa onyo kwa Iran kufuatia mashambulizi ya makombora dhidi ya mataifa ya Ghuba ya Uarabuni.

    Saudi Arabia imeitoa onyo kwa Iran kufuatia mashambulizi ya makombora dhidi ya mataifa ya Ghuba ya Uarabuni ikiwa ni pamoja na UAE na Qatar, ikiwa inasema mashambulizi hayo ni ukiukaji mkubwa wa usalama na wa sheria za kimataifa na ikionyesha ushirikiano kamili na nchi zilizoathirika.
  5. comrade_kipepe

    Unapotaka kuishi kama upo Saudi Arabia hakikisha una pesa ya kutosha

    Kuna bodaboda leo nmemtuma akaniletee futari yangu pendwa "kitimoto" ili niiandae mapema kabla ya mda wa kufuturu, sasa namuagiza anasema eti yeye hawezi kubeba nyama ya Nguruwe kwani amefunga nadini yake hairuhusu. Sikilizeni nyie, hao mnaowaiga wana pesa na visima vya mafuta, wewe upo huku...
  6. Le Padrino

    Chanzo cha Uhasama baina ya Saudi Arabia na UAE

    Katika siku za hivi karibuni, wachambuzi na waandishi wa habari wengi wa Magharibi wamekuwa wakihangaika kueleza ufa unaokua kati ya Saudi Arabia na UAE. Maoni mengi yanayochapishwa yanakinzana au ni ya juu juu. Makala hii inalenga kueleza kwa ufupi na kwa mtazamo wa kimaudhui hatua kuu...
  7. MK254

    Saudi Arabia na UAE zatunishiana misuli kisa Yemen

    Mbwa kala mbwa, yetu macho, hawa wote ni wale wale, hapa wanalumbana kisa Yemen. Hii ni habari njema maana mapesa yote yanayofadhili uzombi wa muarabu duniani hutoka kwa haya mataifa mawili. ------++- DUBAI, Jan 1 (Reuters) - Flights at Yemen’s Aden international airport were halted on...
  8. Mhaya

    Show ya CARD B huko Saudi Arabia lilipo chimbuko la Uislamu yazua Gumzo

    Hivi Karibuni Rapper kutoka Marekani Card B ameonekana akipiga show jijini Riyadh katika nchi ya Saudi Arabia ambapo ndipo chimbuko la Uislamu. Watu wamehoji kuwa misingi ya Uislamu katika nchi yenye chimbuko la Uislamu imeenda wapi, wengine wakisema Waislamu wanapambana kupeleka Uislamu...
  9. Richard

    Balozi za China, Saudi Arabia, Russia, Korea Kaskazini na UAE bado twangojea tamko lenu juu ya mauaji na madhila yanofanywa na serikali ya Tanzania.

    Balozi hizi zimekuwa kimya mno na juu ya kinoendelea nchini. Twangojea balozi hizi zitoe matamko au tamko moja kama tamko lilotolewa na balozi 17 zilizopo hapa nchini. Balozi hizi 17 zina makazi yake hapa nchini na bila shaka wala chembechembe za ushahidi wowote ule maofisa wake wameona...
  10. ChekoFagia

    PostGE2025 Tanganyika yageuka Saudi Arabia, uongozi wa kifalme

    Mwananchi anasema Tanganyika Kumbuka Mtanganyika haruhusiwi hata kumili ardhi Zanzibar:confused:😕
  11. Mhaya

    Mawaziri wa Saudi na UAE wasema Imamu Akieneza Chuki anakula BAN, Magaidi wengi watatoka Ulaya siku zijazo

    Hapo Mkutanoni wapo Mawaziri wa Saudi Arabia na UAE (Umoja wa Falme za Kiarabu) Waziri Wa UAE: Na niruhusu niseme hili kwa Kiingereza ili uweze kuelewa ninachosema. Siku itakuja ambapo tutaona wanamgambo na magaidi wenye misimamo mikali zaidi wakitoka Ulaya, kwa sababu ya ukosefu wa kufanya...
  12. Abuu Ibraahiym Sibomana

    Nchi ya Saudi Arabia yapata Mufti

    Jana siku ya jumatano ya tarehe 30 rabiy-l - Akhiyr 1447 (H) sawa na 22 September 2025 (AD) ufalme wa Saudi Arabia umemteua na kumtangaza Sheikh Dr Swaaleh bin Fauzaan bin Abdillaah Al fauzaan kuwa Mufti mkuu wa nchi hiyo akimrithi mufti aliyetangulia Sheikh Abdul Aziyz bin Abdillaah Aal - Al...
  13. M

    Saudi Arabia yazuia kombora la Yemen kuelekea Israel, likipita juu ya Madīnah karibu na msikiti Masjid an-Nabawī

    Huu ndio ujirani Mwema, Saudi Arabia wamezuia makombora ya magaidi wa Yamen yaliyokuwa yakielekea Israel, Makombora hayo yalionekana yakipita juu ya mji wa Madinah karibu na msikiti Masjid an-Nabawī
  14. Meneja Wa Makampuni

    Ufadhili wa Masomo Saudi Arabia 2025/2026

    SCHOLARSHIP ZA SAUDI ARABIA 2025/2026 Serikali ya Saudi Arabia imetoa nafasi 127 za ufadhili wa masomo kwa Watanzania kwa mwaka wa masomo 2025/2026. Hii ni nafasi ya kipekee kwa wale wanaotamani kusoma nje ya nchi, hususani katika fani zinazohusiana na Data Science, Artificial Intelligence na...
  15. DuaZaMama

    Kifaa cha burudani katika mbuga ya starehe Saudi Arabia chagonga chini, watu zaidi ya 20 wajeruhiwa

    RIYADH, Saudi Arabia (AP) — Ajali ya kifaa cha burudani katika mbuga ya starehe ya Green Mountain iliyopo magharibi mwa Saudi Arabia imesababisha majeruhi zaidi ya watu 20 na kulazimu mamlaka kufunga mbuga hiyo pamoja na kuamuru uchunguzi, kwa mujibu wa vyombo vya habari vya serikali. Ajali...
  16. Yoda

    Mfanyakazi Mkenya aliyepotea Saudi Arabia kwa miaka 12 apatikana amefungwa gerezani kwa makosa ya uchawi.

    Esther Maria Njeri aliyepotea mwaka 2012 akiwa mfanyakazi wa ndani Saudi Arabia amegundulika kuwa mfungwa katika gereza la Almaz baada ya Mkenya mwenzake aliyeachiliwa kutoka gereza hilo kuwaambia ndugu zake waliokuwa wakimtafuta kwa miaka 12 kwamba walikuwa wote gerezani huku Esther akiwa...
  17. Bubu Msemaovyo

    Mfalme wa Saudi Arabia aingia msikitini kavaa viatu

    Hela ni kitu cha ajabu sana Mfalme wa Saudi Arabia kaingia msikitini katinga viatu kama kawaida. Vijana tafuteni hela ona hiyo.
  18. Yoda

    Mamlaka za Saudia zimekanusha taarifa za Pombe kuruhusiwa kuanzia 2026 nchini humo

    === Afisa mmoja wa Saudi Arabia alikanusha Jumatatu taarifa za vyombo vya habari zilizodai kuwa ufalme huo, ambao ni mahali palipozaliwa Uislamu, ungeondoa marufuku ya miaka 73 dhidi ya pombe, ambayo imekatazwa kwa Waislamu. Taarifa hiyo, ambayo iliripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari vya...
  19. Echolima1

    Trump ahitimisha ziara yake Saudi na kuelekea Qatar 🇶🇦

    Rais Trump anahitimisha ziara yake nchini Saudi Arabia na kuelekea Doha, mji mkuu wa Qatar, ambako pamoja na mambo mengine, mazungumzo yanaendelea kuhusu makubaliano kati ya Hamas na Israel.
  20. Komeo Lachuma

    Ibrahim hakuwahi fika Saudi Arabia/ Makka hata siku moja. Hili nalo tulitafakari

    1. Ushahidi wa Kiakiolojia (Archaeological Evidence) Hakuna ushahidi wa moja kwa moja wa kiakiolojia (mabaki ya majengo, maandishi ya kale, nk) unaothibitisha kwamba mtu anayeitwa Ibrahim alifika au kuishi katika Makka au sehemu yoyote ya leo ya Saudi Arabia. Sababu kuu: Makka haikuwa kituo...
Back
Top Bottom