samia suluhu hassan

Samia Suluhu Hassan (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and current president of Tanzania. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party. Suluhu is the third female head of government of an East African Community (EAC) country, after Sylvie Kinigi in Burundi and Agathe Uwilingiyimana in Rwanda, and is also the first female president of Tanzania. She took office on 19 March 2021 after the death of President John Magufuli on 17 March 2021.
A native of Zanzibar, Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the Vice-Chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.
Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    PreGE2025 Kala Jeremiah: Kelele zinazoendelea zimepata mwanya wa kumuonea Rais huyu kwa kuwa ni mama

    Wakuu Kwa hiyo huyu Kala Jeremiah anaamini kuwa hizi No Reforms No Election zimekuwa nyingi kwa sababu Rais Samia ni mwanamke na ni mama? Angalieni jinsi ya kumtetea Rais. Kauli kama hizi sio za kumsaidia Rais bali zinamuharibia yeye na taasisi yake ============= Anaandika Kala Jeremiah...
  2. PreGE2025 Wananchi wacharuka na comment za 'No Reforms, No Election' kwenye page za Viongozi na Taasisi za Umma ikiwemo post ya Eid ya Rais Samia

    Wakuu! Bila uoga, Wananchi wengi wamejitokeza kuandika comments zenye ujumbe wa 'No Reforms, No Election' chini ya post ya salamu za kheri ya Sikukuu ya Eid al-Adha zilizotolewa na Rais Samia kupitia mitandao ya kijamii. Badala ya kusherehekea ujumbe huo wa sikukuu kwa kawaida, baadhi ya...
  3. PreGE2025 Ujumbe mfupi na wa wazi kwa Rais Samia

    Nimeona Jana Barua ya Kufungwa kwa kanisa la Ufufuo na Uzima la Askofu Gwajima. Nimeona Pia Clip ya Video inayosambaa ya Kuzingirwa kwa kanisa la Ufufuo na Uzima. Miaka 2000 iliyopita kule JUDEA jambo kama hili lilitendwa.Ndio Lilifanyika kwa YESU,likafanyika kwa mitume na wengi wakauwawa na...
  4. PreGE2025 Rais Samia: CCM tayari imeshinda, tuingie kwenye Uchaguzi bila makundi

    Rais na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amehitimisha Mkutano Mkuu wa chama hicho kwa kutoa wito wa mshikamano na umoja miongoni mwa wanachama kuelekea kipindi cha uchaguzi. Akizungumza mbele ya wajumbe wa Mkutano Mkuu, Rais Samia amesema kuwa tayari hali inaonyesha...
  5. M

    Baraza langu la Mawaziri Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan baada ya uchaguzi 2025

    Nitafurahi sana Baraza la Mawaziri likiwa hivi, watu wa kazi kabisa hawa 1. Pro Kitila Mkumbo - Waziri Mkuu 2. Jumaa Aweso - Waziri wa Maji 3. Hussein Bashe - Waziri wa Kilimo 4. David Kafullila - Waziri wa Mipango na Uwekezaji 5 Waziri wa Viwanda na Biashara - Kadogosa 6 Michezo na Utamaduni -...
  6. SI KWELI Donald Trump amtaka Rais Samia kuiomba msamaha Kenya

    Trump katoa masaa 24 kwa rais wa TZ mama Samia kuomba msamaha kwa kenya na kasema hapendi mtu anaechezea kenya na asipo fanya ivyo ata sitisha misaada yote marekani anayo saidia TZ.
  7. PreGE2025 Dkt. Nchimbi: Ujenzi Jengo jipya la Makao Makuu ya CCM kugharimu Bilioni 34

    Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Mwenyekiti wa chama hicho Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko makubwa katika chama hicho. Akizungumza leo Mei, 28 katika tukio la uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi jengo jipya la Makao Makuu ya CCM...
  8. PreGE2025 Rais Samia: CCM tunauwezo wa kuamua, kupanga na kutenda

    Rais Samia Suluhu Hassan, akiweka Jiwe la Msingi Makao makuu ya Chama Cha Mapinduzi leo Mei 28, 2025 Jijini Dodoma amesema; "Tukio hili la kuweka jiwe la msingi la jengo la Ofisi ya Chama Cha Mapinduzi lina umuhimu wa pekee kwa upande mmoja linaakisi ndoto ya waasisi wa Chama chetu wakiongozwa...
  9. PreGE2025 Amka! Pesa za walipa Kodi zinatolewa kama 'kifuta jasho'. Rais Samia, Mwinyi wagawa bahasha kwa Mrisho Mpoto akitumbuiza kwenye shughuli ya CCM

    Wakuu! Amka! Pesa za walipa Kodi zinatolewa kama 'kifuta jasho' cha Burudani. Rais Samia, Mwinyi wagawa bahasha kwa Mrisho Mpoto baada ya kutumbuiza kwenye shughuli ya CCM huko Dodoma. Soma: Rais Samia kugawa bahasha kwa watumbuizaji ni sawa na kununua watu, anatuonesha hakubaliki bila 'zawadi'?
  10. PreGE2025 Katibu wa Hamasa CCM: Mnaosema bora Magufuli kuliko Samia, tunawapa onyo. Hatutawaunga mkono kwenye Uchaguzi

    Hemedi Hassan Salim, Katibu wa Hamasa Wilaya ya Kinondoni kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) amedai kuwa wapo baadhi ya Wabunge ndani ya Chama hicho wanaita Watu majumbani kwao na kuwaambia kuwa ni heri ya Rais Hayati Magufuli kuliko Rais Samia kitendo ambacho kimemfadhaisha. "Lakini...
  11. Picha: Dkt. Samia Suluhu Hassan aongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM

    Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa iliyoketi jijini Dodoma, leo Jumatatu tarehe 26, Mei 2025.
  12. Rais William Ruto (Kenya) Amjibu Rais Samia Suluhu Hassan (Tanzania) baada ya kutoa kauli ya kuwabagaza na kuwadharau Wakenya..

    https://youtu.be/tarwA0cZbcI?si=Wizm2OyFYriZzJzg https://youtu.be/LI58lCwODxQ?si=3O5x8UYnDDmWtSL7 #Kwa wachunguzi wa mambo, wanaona moja kwa moja kuwa kauli hiI ya Rais Ruto imemlenga kumjibu Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania baada ya kauli yake ya wiki hii iliyoonekana kuwalenga wakenya...
  13. PreGE2025 Walemavu wamchangia fedha Rais Samia na kuahidi kumpa Kura zote Oktoba

    Wakuu! Drama za Uchaguzi zinaendelea...Series hii ni ya Watu wenye Ulemavu Katila Hafla ya uzinduzi wa soko la Nyama Choma la Kumbilamoto wananchi wenye ulemavu wamemchangia Fedha Rais Samia Suluhu Hassan na kumuahidi kumpa kura zote katika uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.
  14. Rais Samia Suluhu Hassan: Tanzania na Namibia zimekubaliana kuongeza juhudi za kukuza ushirikiano wa kiuchumi

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania na Namibia zimekubaliana kuongeza juhudi za kukuza ushirikiano wa kiuchumi kwa kutafuta njia madhubuti za kukuza biashara baina yao, ikiwa ni pamoja na kuwezesha uwepo wa miradi mikubwa ya uwekezaji kutoka...
  15. Ikulu WIki Hii: Muhtasari wa matukio yote muhimu aliyoyafanya Rais Samia Suluhu Hassan katika wiki hii

    #IkuluWIkiHii Tazama muhtasari wa matukio yote muhimu aliyoyafanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika wiki hii.
  16. PreGE2025 Rais Samia kuboresha taarifa zake awamu ya pili inamaanisha yeye mwenyewe haamini kama atatoboa?

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa kutokujitokeza kujiandikisha au kuhuisha taarifa katika Daftari la Kudumu la Mpiga Kura ni sawa na mtu kukataa haki yake ya kikatiba kwa hiari, jambo ambalo siyo uzalendo. Rais Samia ameyasema hayo leo Jumamosi Mei...
  17. PreGE2025 KUMBUKIZI: Kama Tembo ndio wana thamani, Serikali ya Samia ikapigiwe Kura na Tembo porini. Isituone sisi ni mabongolala

    Wakuu! Mwananchi mmoja kutoka mji mdogo wa Lamadi, wilayani Busega, huko Simiyu amevuta hisia kuhusu tofauti kubwa ya thamani inayowekwa kati ya maisha ya binadamu na wanyamapori, hususan Tembo. Masalu Ndunga anadai kuwa mwananchi akiuawa na Tembo, Serikali hutoa pole ya Tsh 50,000/- pekee...
  18. C

    Mambo mazuri aliyofanya Rais Samia Suluhu Hassan

    Rais Samia Suluhu Hassan, tangu alipochukua uongozi wa Tanzania mnamo Machi 2021, amefanikisha mageuzi mbalimbali katika nyanja za uchumi, siasa, miundombinu, afya, elimu, na diplomasia. Hapa chini ni muhtasari wa mafanikio yake hadi Mei 2025: 🏗️ Miundombinu na Uchumi Reli ya Kisasa (SGR)...
  19. PreGE2025 Nusrath Hanje: Mimi sio Msaliti, Watu wajifunze kwetu sisi ni Makamanda. Namsapoti Rais Samia na Naamini Nitarudi Bungeni

    Mbunge wa Viti Maalum Nusrath Hanje amezungumza na Wasafi Media kuhusu mitazamo ya watu kuhusu majimbo Mapya yaliyoanzishwa Katika mazungumzo ambayo amefanya na Carlos Ngonya, Hanje amesema kuwa mara nyingi watu wamekuwa na mitazamo mibaya kwenye mambo mazuri na wanachofikiria baadhi ya watu ni...
  20. Waziri Kombo awasilisha ujumbe wa Rais Samia kwa Museveni

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amewasilisha ujumbe Malumu kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan kwa Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Gen. Yoweri Kaguta Museveni Entebbe, Uganda. Tarehe 13 Mei...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…