salah

Salah (Arabic: ٱلصَّلَاة‎ aṣ-ṣalāh, Arabic: ٱلصَّلَوَات‎ aṣ-ṣalawāt, meaning "prayer" or "invocation") is the second of the Five Pillars in the Islamic faith, and an obligatory religious duty for every Muslim. It is a physical, mental, and spiritual act of worship that is observed five times every day at prescribed times. While facing towards the Kaaba in Mecca, the holy city of Muslims, one stands, bows, prostrates oneself, and concludes with sitting on the ground. During each posture one reads certain verses, phrases, and prayers. Ritual purity is a precondition.
Salah consists of the repetition of a unit called a rakʿah, a sequence of prescribed actions and words. The number of rakaʿahs varies according to the time of day.

View More On Wikipedia.org
  1. chiembe

    Jeshi la Polisi kuchunguza tukio la Makonda kutishia kumuua Salah

    Polisi wanaingia kazini kuchunguza madai ya Makonda kutishia kumuua Salah.
  2. JanguKamaJangu

    Chama cha soka Misri chavutana na Liverpool kuhusu afya ya Salah

    Suala la afya ya Mohamed Salah limesababisha mvutano baina ya Chama cha Soka cha Misri (EFA) dhidi ya Klabu ya mchezaji huyo, Liverpool ambapo kila upande unavuta upande wake ukiona una haki ya kumtumia na kujua maendeleo ya majeraha yake. Liverpool imedai afya ya mchezaji haijakaa sawa tangu...
  3. JanguKamaJangu

    Majeraha ya paja yamuondoa Mo Salah AFCON, kurejea Liverpool kwenda kutibiwa

    Uongozi wa Timu ya Taifa ya Misri umethibitisha kuwa mshambuliaji wao Mohamed Salah (31) amerejea katika klabu yake kupatiwa matibabu zaidi baada ya kuumia misuli ya paja katika mchezo dhidi ya Ghana kwenye Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON). Salah au Mo Salah ataukosa mchezo wa leo Januari 22...
  4. Mhaya

    Baadhi ya mashabiki wamjia juu Mo Salah baada ya kuwatakia heri ya Christmas mashabiki zake Instagram

    Mchezaji wa timu ya taifa ya Misri, Mo Salah amejiwa juu na Waislamu baada ya kuwatakia mashabiki zake heri ya sikukuu ya Christmas. Watu wametuma maoni ya kukebei na kusema kuwa hatakiwi kuwatakia Watu heri ya Christmas kwa sababu yeye ni Muislamu...
  5. K

    Mohamed Salah wa Liverpool alaani mauaji yanayofanywa na Israel huko Gaza!

    Tumeona wachezaji kadhaa waliojitokeza kulaani mauaji ya Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza wakitishiwa kufukuzwa kwenye klabu zao na kusimamishwa, haswa Ujerumani ambapo zaidi ya wachezaji watatu wameshasimaishwa. Mchezaji mahiri na mashuhuri Duniani anaechezea Liverpool amejitokeza rasmi...
  6. M

    Hii sasa ni kufuru ya Pesa: Mohamed Salah apewa offer ya mshahara wa Pound 2.45M kwa wiki na Al Ittihad ya Saudi Arabia!

    Huko Saudi Arabia waarabu wameamua kumwaga pesa kama mawe!! Timu ya Al Ittihad ambao ni mabingwa wa Saudi Arabia wamempandia dau Mohamed Salah la kufa mtu. Kwanza wametoa offer ya uhamisho kutoka liverpool ambayo ni rekodi mpya ya dunia., offer ya USD 270M. Awali Liverpool walikataa offer ya USD...
  7. ryan riz

    Mo Salah kutimkia Saudia kuungana na Benzema Al-Ittihad. Hii bandu bandu hatari kumaliza gogo

    Inaweza kuwa mzaha mzaha..lakini ikaja shangaza huko mbele!!! EPL inabidi ibadilike kwenye malipo ya mishahara. Dunia sasa hivi inaonesha mabadiliko kila sehemu. Ukibaki unajiamini we ni bora siku zote na na hautaki kubadilika..kupotea ni rahisi
  8. kitonsa

    Mo salah muislamu awatakia wakristo na waislamu merry Christmas

    Katweet hapo,chukueni pongezi kutoka kwa super star namba moja la kiarabu
  9. Notorious thug

    Waislaamu wamjia juu Salah kisa picha ya Christmass!

    Mshambuliaji hatari wa Liverpool Mo Salah amejikuta akipata Comments za kuitwa Msaliti na mtu asiyejua miiko ya Dini ya Kiislamu baada ya kutuma Picha kwenye Mtandao wa kijamii kuwatakia Wafuasi wao heri ya siku tukufu ya Krismasi ambapo wengi wameonekana kutokufurahia kitendo cha Salah kuweka...
  10. TODAYS

    Merry Christmas from Mohamed Salah. Je, anapima upepo? Waislam wamshangaa!

    Jamaa ame_tweet hii picha sasa hizo comments kutoka kwa jamii ya kiislam wamegoma kumuelewa jamaa wakidhani anataka kuokoka!.
  11. Bujibuji Simba Nyamaume

    Mo Salah atoa Pounds 3,000,000 za Misri ($156,664) kujenga upya Kanisa lililoungua Giza

    Jamaa kafanya jambo kubwa sana huko kwao. --- Egyptian Liverpool forward Mohamed Salah has donated three million Egyptian pounds ($156,664) to help rebuild a church in Giza where a fire on Sunday killed 41 people and left several others injured. Social media channels in Egypt were full of...
  12. Championship

    Ballon d'or 2022 itaenda kwa Benzema au DeBruyne au Salah

    Benzema simpendi japo kama akibeba ucl na laliga basi anaweza kuchukua. DeBruyne yeye atabeba endapo man city itabeba ucl na epl. Salah naye bado yumo na anaweza kuchukua epl na ucl. Mane naye anaweza akaleta upinzani. Kabeba afcon na anaweza kubeba epl na ucl pia. Wakikosa kabisa...
  13. John Haramba

    Salah, Mane, Firmino wana MABAO 349, ASISTI 155

    Hizi ndiyo takwimu za washambuliaji watatu wa Liverpool, Sadio Mane raia wa Senegal, Mohamed Salah wa Misri na Roberto Firmino wa Brazil. Firmino: 315 games, 94 goals, 66 assists Mané: 245 games, 107 goals, 37 assists Salah: 231 games, 148 goals, 52 assists Una mtazamo gani juu ya safu hii ya...
  14. Labani og

    Mohammed Salah Farao anayejenga Pyramid kwenye ardhi ya Malkia

    Ni takribani kilometa 5,627 kutoka katikati ya mjini mkuu wa misri Cairo mpaka katika jiji kubwa la London pale nchini Uingereza hakika ni umbali mrefu lakini nani anajali kama unaenda kupambana kutafuta maisha. Alitokea katika ardhi yenye historia kubwa zaidi duniani ardhi yenye historia pia...
  15. C

    Edouard Mendy vs Mohamed Salah Mchezaji bora wa Mwaka Afrika nan anastahili?

    NAWEKA MJADALA MEZANI: Bila ya kuweka ushabiki mbele, hivi kati ya Golikipa wa Chelsea Edouard Mendy na mshambuliaji wa Liverpool Mohammed Salah yupi anastahili kupata tuzo ya mchezaji bora wa mwaka katika bara la Afrika 2021?
  16. The Stress Challengerr

    Mohamed Salah anazeeka vibaya

    Inakuwaje wanajamvi! Haiwezekani kabisa huyu jamaa awe na miaka 29. Huyu ni kwenye late 40s. No he can't be 29 na kataa. Wazungu na waarabu siku hizi wanaghushi sana miaka hii katika mpira haikubaliki kabisa. Jamaa achunguzwe.
  17. Greatest Of All Time

    Kati ya Ronaldo na Salah nani alistahili tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Septemba?

    Baada ya Ronaldo kutangazwa leo kuwa ameshinda tuzo ya mchezaji bora Septemba, kumeibuka minong'ono kuwa tuzo hiyo alistahili kutwaa Mohamed Salah wa Liverpool! Hata mchambuzi maarufu wa BBC Match of the day, Gary Lineker amekiri kuwa Salah alitakiwa ndio awe mshindi. Je wewe mchambuzi wa JF...
  18. mugah di matheo

    Mo salah tested positive for Covid19

    Shirikisho la kandanda nchini misri limethibitisha kuwa mshambuliaji wake Mohammed Salah maarufu kama "Mo salah" Amekutikana na ugonjwa wa Covid19 wakati akijiandaa na mechi ya kufuzu afcon Hivyo salah ameondolewa kwenye kambi ya mafarao na tayari amejiweka carantine Source, Supersoport
  19. mugah di matheo

    Mo salah tested positive for Covid19

    Shirikisho la kandanda nchini misri limethibitisha kuwa mshambuliaji wake Mohammed Salah maarufu kama "Mo salah" Amekutikana na ugonjwa wa Covid19 wakati akijiandaa na mechi ya kufuzu afcon Hivyo salah ameondolewa kwenye kambi ya mafarao na tayari amejiweka carantine
  20. The Boss

    Si Samata tu, kushindwa kucheza EPL iliwatokea hata KDB na Mo Salah

    Unless Samata awe umri ndo tatizo Lakini kushindwa au kuonekana kushindwa kucheza EPL imewatokea wachezaji wengi sana Wakiwemo hawa wanaotamba sasa EPL ..mo Salah na KDB.. Mchezaji akienda UK Kwanza wanakumbana na Baridi Kali zaidi ..kuliko nchi zingine za Ulaya..kama Spain n.k.. Pili ligi ni...
Back
Top Bottom