Hii sasa ni kufuru ya Pesa: Mohamed Salah apewa offer ya mshahara wa Pound 2.45M kwa wiki na Al Ittihad ya Saudi Arabia!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
13,663
18,037
Huko Saudi Arabia waarabu wameamua kumwaga pesa kama mawe!! Timu ya Al Ittihad ambao ni mabingwa wa Saudi Arabia wamempandia dau Mohamed Salah la kufa mtu. Kwanza wametoa offer ya uhamisho kutoka liverpool ambayo ni rekodi mpya ya dunia., offer ya USD 270M. Awali Liverpool walikataa offer ya USD 189M. Ndo matajiri wa Saudia wakaja tena na offer iliyoboreshwa hapo jana. Lengo ni kwamba wamng'oe leo tarehe 7/9/2023 ambapo ndiyo mwisho wa dirisha la uhamisho huko uarabuni!!

Salah mwenyewe amepewa offer ya mshahara wa Pound 2.45M kwa wiki (USD 3.06M), ambazo ni sawa na Tsh bilioni 7.66 kwa wiki nakwa mwezi ni zaidi ya bilioni 30!!

Je Salah atakubali kuipoteza fursa hiyo kama liverpool watamkatalia?

Al Ittihad offer Liverpool world record fee for Mohamed Salah: Report​

The Sun reports that officials from the Saudi club are in the UK to make a $270m offer for the Egyptian superstar.
Saudi Pro League champions Al Ittihad are making a new attempt to land Liverpool star Mohamed Salah by tabling a world record 215 million-pound ($270m) offer, according to The Sun.


The Sun reported that Salah, the world’s highest profile Arab footballer, has been offered a Saudi Pro League record salary of £2.45m a week.

It also reported Salah had been also offered a significant percentage of shirt sales, a £55,000 win bonus, and ambassadorial roles with at least three major Saudi companies for the duration of his contract.

Ila pesa zikiwa nyingi hivyo nadhani zinakosa hata utamu wake!!
 
Imekuwa ni ndoto ya kila mchezaji mzuri duniani kuweza kucheza soka barani ulaya!! Lakini mambo yakiendelea hivi kwa kasi hii ya pesa za waarabu, naona upepo ukibadilika na ndoto za wachezaji wengi kuhamia ligi kuu ya Saudi Arabia!! Nani asiyependa fedha?
 
INSHORT kama dili likienda sawa atalkpwa BILIONI 1 ya kitanzania kwa siku.

Bado posho na Malupulupu.

Natamani mtoto wangu acheze Mpira nimpeleke Lamasia.
Lakini hapana.
 
Imekuwa ni ndoto ya kila mchezaji mzuri duniani kuweza kucheza soka barani ulaya!! Lakini mambo yakiendelea hivi kwa kasi hii ya pesa za waarabu, naona upepo ukibadilika na ndoto za wachezaji wengi kuhamia ligi kuu ya Saudi Arabia!! Nani asiyependa fedha?
Mbona Messi aligoma kwenda


Mbona mbape kagoma kwenda
 
Mchezaji ana miaka 30+
Kashinda kila kitu (EPL, UEFA, Super Cup, Club World Cup, n.k.), hakuna anaemdai.
Vile vile ni muafrika.

Inakuja ofa nono namna hiyo ya £200 mil kwa club na mshahara mnono kwa mchezaji, halafu club inambania!
Mashabiki nao wanabana!

Hapo ndipo ninapoona mpira ni mchezo wa ajabu aisee!
 
Huko Saudi Arabia waarabu wameamua kumwaga pesa kama mawe!! Timu ya Al Ittihad ambao ni mabingwa wa Saudi Arabia wamempandia dau Mohamed Salah la kufa mtu. Kwanza wametoa offer ya uhamisho kutoka liverpool ambayo ni rekodi mpya ya dunia., offer ya USD 270M. Awali Liverpool walikataa offer ya USD 189M. Ndo matajiri wa Saudia wakaja tena na offer iliyoboreshwa hapo jana. Lengo ni kwamba wamng'oe leo tarehe 7/9/2023 ambapo ndiyo mwisho wa dirisha la uhamisho huko uarabuni!!

Salah mwenyewe amepewa offer ya mshahara wa Pound 2.45M kwa wiki (USD 3.06M), ambazo ni sawa na Tsh bilioni 7.66 kwa wiki nakwa mwezi ni zaidi ya bilioni 30!!

Je Salah atakubali kuipoteza fursa hiyo kama liverpool watamkatalia?

Al Ittihad offer Liverpool world record fee for Mohamed Salah: Report​

The Sun reports that officials from the Saudi club are in the UK to make a $270m offer for the Egyptian superstar.
Saudi Pro League champions Al Ittihad are making a new attempt to land Liverpool star Mohamed Salah by tabling a world record 215 million-pound ($270m) offer, according to The Sun.


The Sun reported that Salah, the world’s highest profile Arab footballer, has been offered a Saudi Pro League record salary of £2.45m a week.

It also reported Salah had been also offered a significant percentage of shirt sales, a £55,000 win bonus, and ambassadorial roles with at least three major Saudi companies for the duration of his contract.

Ila pesa zikiwa nyingi hivyo nadhani zinakosa hata utamu wake!!
Wewe acha kuita vipato vya watu kufuru..!!
 
Hawa warabu wanataka kuharibu mpira wasipo dhibitiwa wataleta kilio kwenye football ya Europe
Hao wa Europe ndio wanaharibu mpira kwa kuchukua wachezaji South America na kuwaweka bench Europe ili Ligi zao ziendelee kutawala Dunia,European clubs do it to South American clubs all the time,hakuna maajabu,Footbal ni mchezo wa Dunia nzima na sio Europe tu.
 
Aache ujinga! Aende akale hela za ndugu zake Waarabu. Asimuige yule dogo Kylian Mbape. Atakuja kunutia hiyo nafasi aisee. Tayari ana miaka 30! Muda si mrefu atakuwa Veteran.
 
Back
Top Bottom