Mourinho amnunue Salah Real Madrid

Mourinho amnunue Salah Real Madrid

loose Nut

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2025
Posts
2,194
Reaction score
4,938
Endapo Mourinho atamnunua Salah Real Madrid msimu ujao kuna uwezekano ndoto yangu ya Mohamed Salah kupata Ballon D'ior ikatimia.

Halafu msimu wa 27-28 iwe zamu ya dogo Lamine Yamal kuisaidia Barca kutwaa UCL na yeye kupewa Ballon D'ior.

Ikitokea hivyo ntafurahi sana.
 
Endapo Mourinho atamnunua Salah Real Madrid msimu ujao kuna uwezekano ndoto yangu ya Mohamed Salah kupata Ballon D'ior ikatimia.

Halafu msimu wa 27-28 iwe zamu ya dogo Lamine Yamal kuisaidia Barca kutwaa UCL na yeye kupewa Ballon D'ior.

Ikitokea hivyo ntafurahi sana.
Kwani morinyo kocha wa madrid?
 
Salah is finished... hawez tena ku-compete kwenye mashindano heavy ... aende huko UAE au Marekani akamalizie soka huku akilipwa hela nyingi... akipata timu ulaya hawatampa mshahara mkubwa
 
Mo Salah hana tofauti na mimi kwa sasa. Yaani akili inataka, halafu mwili unagoma. Mimi namshauri aende kwa ndugu zake akale hela za mafuta na utalii kama ilivyo kwa R7.
 
Hiyo ndoto yako itabaki ndoto tu siku zote.

At 33 Sallah is definitely a spent force and no reasonable manager of any top European side can ever dreamed of engaging him, let him go to middle east to vie for the petrol dollars. That can do.
 
Back
Top Bottom