Salah (Arabic: ٱلصَّلَاة aṣ-ṣalāh, Arabic: ٱلصَّلَوَات aṣ-ṣalawāt, meaning "prayer" or "invocation") is the second of the Five Pillars in the Islamic faith, and an obligatory religious duty for every Muslim. It is a physical, mental, and spiritual act of worship that is observed five times every day at prescribed times. While facing towards the Kaaba in Mecca, the holy city of Muslims, one stands, bows, prostrates oneself, and concludes with sitting on the ground. During each posture one reads certain verses, phrases, and prayers. Ritual purity is a precondition.
Salah consists of the repetition of a unit called a rakʿah, a sequence of prescribed actions and words. The number of rakaʿahs varies according to the time of day.
Dunia ingekuwa mahali salama kama sote tutaweka chuki pembeni na kuonyesha upendo.
MUNGU ANGETAKA TUWE WA DINI MOJA ASINGESHINDWA. LEO HII MKRISTO ANADUNDA, MUISLAMU ANADUNDA, HATA WASIOMUAMINI NAO WANADUNDA PIA.
Maaka 2019 Alaah Salah alikuwa na umri wa miaka 22 huku akiwa mwanafunzi wa mwaka wa 2 pale University of Sudan. Aliongoza na kuhamasisha maandamano yaliyomtoa Omar Bashir madarakani. Mpaka sasa Omar Bashir yuko kifungoni akitumikia adhabu ya makosa ya jinai aliyotenda.
Hapo awali Sudan...
Mshambuliaji Mohamed Salah hatimaye amesaini mkataba mpya kuendelea kubaki Liverpool kwa mshahara wa Pauni 350,000 kwa wiki baada ya mvutano wa muda mrefu kuhusu suala la Mkataba wake ambao ulitarajiwa kumalizika Juni 2025.
Baada ya kusaini amesema “Nimefurahi, tuna timu nzuri, tuna nafasi ya...
Hat-trick ya Bruno Fernandes dhidi ya Real Sociedad ni ya kwanza kwa Manchester United katika Michuano ya Ulaya tangu Marcus Rashford alivyofunga vs. RB Leipzig (2020), pia ni ya kwanza Europa League tangu Zlatan alivyofunga vs. St-Etienne (2016)
Raheem Sterling ni Mchezaji wa Kwanza wa...
Nguli wa soka Thierry Henry amesema kuhusu Tuzo zijazo za Ballon d'Or, Mbrazil wa Barcelona FC, Raphinha ana nafasi kubwa kutokana na takwimu nzuri na ameonyesha kiwango Bora zaidi ya Mohamed Salah wa Liverpool
Amesema "Raphinha ana Magoli 11 katika UEFA Champions League, anafanya vizuri katika...
Wachezaji wawili wa Liverpool, Mohamed Salah “Mo Salah” na Trent Alexander-Arnold wameonekana wakirushiana maneno hali iliyofanya wenzao kadhaa kuingilia kati na kuwatenganisha wakati wakisogeleana wakati walipokuwa kwenye Uwanja wa Mazoezi.
Tukio hilo limetokea muda mfupi kuelekea mchezo wa 16...
Ni dhahiri dalili ya mvua ni mawingu, kwa takwimu za Egyptian Talisman Mohamed salah namuona akienda kuibuka kidedea mshindi wa tuzo ya Ballon D'or mwaka huu 2025.
Bila shaka, naamini Liverpool atashinda kombe la Ligi kuu EPL 2025.
Bila wasiwasi, naamini Liverpool atashinda Final ya kombe la...
Kama member mmoja humu anaitwa Eli Cohen anapenda kusema kuwa "itikadi yenu sio ya harakati ya haki wala ukombozi, ila ni ya harakati za kitapeli"
Mengine nawaachia
FaizaFoxy alishaandika akifurahi sana kuwa CR. Kasilimu. Several times tumekuwa tukifurahia kuwa tumepata bonge la mtu katika uislamu. Lakini namwona bado anasheherekea Christmas na familia yake. Hii inakuaje? Mi nashindwa kuelewa kabisa. Hii imekaaje kaaje?
Huyu Mo. Salah ni muislamu kabisa...
Suala la afya ya Mohamed Salah limesababisha mvutano baina ya Chama cha Soka cha Misri (EFA) dhidi ya Klabu ya mchezaji huyo, Liverpool ambapo kila upande unavuta upande wake ukiona una haki ya kumtumia na kujua maendeleo ya majeraha yake.
Liverpool imedai afya ya mchezaji haijakaa sawa tangu...
Uongozi wa Timu ya Taifa ya Misri umethibitisha kuwa mshambuliaji wao Mohamed Salah (31) amerejea katika klabu yake kupatiwa matibabu zaidi baada ya kuumia misuli ya paja katika mchezo dhidi ya Ghana kwenye Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).
Salah au Mo Salah ataukosa mchezo wa leo Januari 22...
Mchezaji wa timu ya taifa ya Misri, Mo Salah amejiwa juu na Waislamu baada ya kuwatakia mashabiki zake heri ya sikukuu ya Christmas.
Watu wametuma maoni ya kukebei na kusema kuwa hatakiwi kuwatakia Watu heri ya Christmas kwa sababu yeye ni Muislamu...
Tumeona wachezaji kadhaa waliojitokeza kulaani mauaji ya Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza wakitishiwa kufukuzwa kwenye klabu zao na kusimamishwa, haswa Ujerumani ambapo zaidi ya wachezaji watatu wameshasimaishwa.
Mchezaji mahiri na mashuhuri Duniani anaechezea Liverpool amejitokeza rasmi...
Huko Saudi Arabia waarabu wameamua kumwaga pesa kama mawe!! Timu ya Al Ittihad ambao ni mabingwa wa Saudi Arabia wamempandia dau Mohamed Salah la kufa mtu. Kwanza wametoa offer ya uhamisho kutoka liverpool ambayo ni rekodi mpya ya dunia., offer ya USD 270M. Awali Liverpool walikataa offer ya USD...
Inaweza kuwa mzaha mzaha..lakini ikaja shangaza huko mbele!!! EPL inabidi ibadilike kwenye malipo ya mishahara.
Dunia sasa hivi inaonesha mabadiliko kila sehemu.
Ukibaki unajiamini we ni bora siku zote na na hautaki kubadilika..kupotea ni rahisi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.