Hapana dunia inawachezaji wengi mno waliobora, sema selection ilikuwa ndogo mno hadi kutoboa kwenda ulaya umekiona cha moto, ilikuwa inafikia wachezaji wengi kudanganya umri maana muda mwingi wametumia kutafa kuzamia ulaya.Inaweza kuwa mzaha mzaha..lakini ikaja shangaza huko mbele!!! EPL inabidi ibadilike kwenye malipo ya mishahara..Dunia sasa hivi inaonesha mabadiliko kila sehemu..ukibaki unajiamini we ni bora siku zote na na hautaki kubadilika..kupotea ni rahisi
Hilo unalosema haliwezekani.Inaweza kuwa mzaha mzaha..lakini ikaja shangaza huko mbele!!! EPL inabidi ibadilike kwenye malipo ya mishahara..Dunia sasa hivi inaonesha mabadiliko kila sehemu..ukibaki unajiamini we ni bora siku zote na na hautaki kubadilika..kupotea ni rahisi
Waliziua ligi nyingine kwa kisingizio cha kuleta FFP, kwa sababu ligi ya uingereza ilikuwa na udhamini mkubwa ligi nyingine taratibu zikaanza kushuka Ila waarabu wamesaidia kubadili uelekeo.Miaka ya 50's hadi 70's ligi bora ilikuwa Brazil, kuanzia 70's kuja 2007 ligi bora ilikuwa Italy, 2007 hadi 2017 ligi bora ilikuwa Spain, 2018 hadi 20... ligi bora ni Epl.
Kwa hoja hiyo, usishangae baada ya miaka 10 ligi bora ikawa ya Saudia.
Ila me naona ligi nyingi zikiwa bora katika mabara tofauti tutapata radha bora zaid kama zamani ...Hapana dunia inawachezaji wengi mno waliobora, sema selection ilikuwa ndogo mno hadi kutoboa kwenda ulaya umekiona cha moto, ilikuwa inafikia wachezaji wengi kudanganya umri maana muda mwingi wametumia kutafa kuzamia ulaya.
Ila hivi sasa ni muda wa vipaji kung'aa maana nchi zimeongezeka siyo ulaya tu bali hadi uarabuni tena pote kuna pesa ya kukufanya kuishi maisha bora, hao waarabu ni upepo wa ghafla tu ila watarudi relini baada ya kuona vipaji vilivyojaa hapa duniani.
Kwa waarabu sio kitu. Wana target zao hao jamaa. Ligi haiwez kujitangaza yenyewe kama hakuna majina makubwa ya wachezaji duniani.Saud arabia watalipa mapesa baadae watachoka
Football is more than money
Miaka mitatu ijayo utanuambia
Hii umejibumbia au umetoa kwenye source gani? Tupe chanzo/source za hii taarifaMiaka ya 50's hadi 70's ligi bora ilikuwa Brazil, kuanzia 70's kuja 2007 ligi bora ilikuwa Italy, 2007 hadi 2017 ligi bora ilikuwa Spain, 2018 hadi 20... ligi bora ni Epl.
Kwa hoja hiyo, usishangae baada ya miaka 10 ligi bora ikawa ya Saudia.
Kitu usichokijua kuhusu wachina. Wao plan yao ni miaka 50 walichokua wanakifanya kipindi kile ni kujaribu kuwahamasisha vijana kuupenda mpira wao kwa kuwasajili mastaa kutoka ligi kubwa hivyo ni hamasa kwa watoto na vijana wanaochipukia. Kwahiyo kwa sasa bado wanaendelea na project yao na ni mapema sana kusema wamefeli.Waarabu sidhani kama wana mikakati ya muda mrefu. Wasije wakakata moto haraka kama wachina.
Nao walikuja kwa kasi sana naona sahivi wamekata moto.