safari

Safari is a graphical web browser developed by Apple, based on the WebKit engine. First released on desktop in 2003 with Mac OS X Panther, a mobile version has been bundled with iOS devices since the iPhone's introduction in 2007. Safari is the default browser on Apple devices. A Windows version was available from 2007 to 2012.

View More On Wikipedia.org
  1. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Safari ya Trump china kwenda kuomba huruma ya vita

    Je unahisi hapa Raisi Jinping anafikiria nini hapa baada ya kutembelewa na Trump
  2. NassoroTechtz

    JamiiForums Tanzania SAFARI YANGU: Nassoro Hemedi Kilimbite na Mapambano ya Nassoro TechTz – Huduma za Computer, Madishi na Mifumo ya Kidijitali

    Habari za muda huu Wakuu wa JamiiForums. Leo nimeona niingie mtaani kwenu rasmi. Jina langu ni Nassoro Hemedi Kilimbite, kijana wa kitanzania niliyezaliwa mwaka 2000. Mimi ni mmoja wa vijana wanaoamini kuwa teknolojia ndiyo mkombozi wa uchumi wetu wa sasa na chachu ya maendeleo kwa kila...
  3. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania Car4Sale MAFUTA MBUZI SAFARI TEMBO

    Passo AKA KINUSA MAFUTA IMEFIKA PIA 2008 MODEL A VERY CLEAN UNIT, KM 88,000 CC 1000 AT Petrol 2WD 13.9M + Usajili, HII kwa Mafuta Kupanda BEI itakufa sana, Kwa Final Price Na Picha zaidi Contact 0714547598
  4. Kijana Jr

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenda safari na kutalii vya ndanii

    Habari wanaJamiiForums, tunaopenda kusafiri iwe nje au ndani ya mipaka ya tanzania. Kusafiri ni raha sanaa kunaufanya ubongo upate maarifa mapya, mtu anajifunza mengi sana kuanzia kubadirisha mtazamo wa mtu na kujifunza mambo mbali mbali ya ulimwengu. Je ushawahi safiri ndani ya nchi...
  5. A

    JamiiForums Tanzania Nataka kwenda Mtwara, vipi nauli zake na wapi napata basi

    Wakuu nipeni ratiba safari ya Mtwara mimi natokea Zanzibar nataka kwenda Mtwara naishia Mtama ninachotaka kujua bus la Mtwara napandia wapi pia nauli ya bus bei gani?
  6. E

    JamiiForums Tanzania Safari ya Jenerali Ulimwengu kutoka Ngara hadi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

    Kumekuwa na utata wa wasifu wa mwandishi wa habari mkongwe, Jenerali Ulimwengu, hasa baada ya kutakiw akuomba upya uraia, enzi za Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa. Akizungumza katika mahojiano maalum, Jenerali Ulimwengu anasimulia safari yake tangu alipozaliwa wilayani Ngara mkoani...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Safari za SGR siku za weekends. Watu wanachoka sana wakitoka Dsm

    Uzi na Mr Attorney Fanya uchunguzi wa Train za kuja Dar Ijumaa na Jumamosi. Utagundua Manzi za Dodoma huwa wanafuraha saana, snapchat, instagram na Tiktok kwa wingi… Ila Train za Jumapili kurudi DOM huwa ni kisanga sana. Huwa mamanzi wanalala tu, wamechookaa hatariii… wapo hoooii bin Taaban...
  8. A

    JamiiForums Tanzania KERO Abiria kulazimishwa kushuka kwenye vituo vya chakula vyenye bei kubwa wakati wa safari

    Ndugu wana JF, Kuna jambo linazidi kuwa kero kwa wasafiri wengi wa mabasi ya mikoani. Ni hii tabia ya makampuni ya bus kusimamisha safari kwenye vituo maalum vya chakula ambavyo bei zake ziko juu kupita kiasi. Abiria tunashushwa hapo kana kwamba hatuna chaguo lingine, wakati ukweli ni kwamba...
  9. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Iran wanafikiria sasa kujenga ukuta wa zege utakao ziba kabisa safari za meli.

    Kuna taarifa zinasikika kuhusu Iran kwamba wamewapa muda marekani kuondoka hapo walipoweka wao kizuizi la sivyo wataamua kujenga ukuta wa zege kabisa ili iwe kazi kubwa kuufungua hata kama majadiliano yataisha kwa amani
  10. W

    JamiiForums Tanzania Unafahamu kuwa Google imerekodi kila safari yako bila wewe kujua?

    Google imerekodi kila safari yako ya kwenda hospitali mwaka huu, na hata mizunguko yako ya usiku wa manane. Simu yako inatuma taarifa (updates) zako kila baada ya sekunde 96. Simu za Android zinatuma taarifa zako mara 20 zaidi kwenda Google ukilinganisha na jinsi iPhone inavyotuma kwenda Apple...
  11. A

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi wa Mtwara Manispaa tunalia na posho za safari, DED yuko bize na safari

    Watumishi wa Mtwara Manispaa wanadai posho za safari na kazi mbalimbali lakini Mkurugenzi halipi hela zote, anatumia yeye kusafiri kila siku hata muda wa kukaa ofisini hana. Imeumiza sana, watu wanadai hela anadai ofisi haina mapato wakati yeye kila siku safarini na bado anawalipa watu wa...
  12. C

    JamiiForums Tanzania Wiki mbili zijazo nina safari ya kwenda Pennsylvania

    Kutokana na safari yangu ambayo ni wiki mbili zijazo sitaki kwenda mwenyewe nataka nipate mwanadada wa hapa JF ikipendeza awe Mod kama yupo Kwa hiyo wanadada wa huku kama hujawahi au unataka kusafiri kuelekea Pennsylvania kwaajili ya kurefresh kwa siku kadhaa na kurudi Tz, basi utaniambia ili...
  13. A

    JamiiForums Tanzania KERO Abood wametukomesha, safari ya Dar – Mbeya imechukua Saa 24, wana huduma mbovu kwa wateja

    28 FEBRUARY 2026, Basi la Abood lilitoka Mbezi Bus Terminal, kufika chuo cha St Joseph likapata hitilafu, wahusika wakatoa taarifa kuwa Bus imekata Fen Belt, hivyo abiria tuwe wavumilivu fundi anakuja. Tulikaa tangu Saa 1 Usiku hadi Saa 5 Usiku ndio Bus linaanza kutoka tena safari ya kutoka...
  14. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania Trump aipiga mkwara Greenland (Denmark) na NATO kuhusu vita ya Iran. Iran yasema safari hii itailinda NATO

    Niaje waungwana Raisi wa Marekani ndugu Donald Trump ameitishia NATO na EUROPE kwamba hivi punde wajiandae kukikabidhi kisiwa hicho katika mikono yake, kabla hawajakumbana na vifo vya kujitakia kutoka kwenye jeshi la Marekani. Hapo chini ni vitisho vya raisi Trump huku Iran ikiahidi kusimama...
  15. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania ATCL yasitisha safari za Dubai mpaka watakapotangaza tena kutokana na kinachoendelea Mashariki ya Kati

    Wakuu, Baada ya hali ya hewa kuchafuka mashariki ya kati ATCL imetangaza kusimamisha safari zake za kwenda na kurudi kutoka Dubai kwa muda mpaka pale watakapotangaza tena huku ikiendelea kufuatilia hali hiyo kwa ukaribu.
  16. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Air Tanzania yachelewesha safari yake nyingine leo Alhamisi

    Juzi ilikiwa hivyo na leo tena imetokea. ATCL inabidi wabadilike bhana
  17. VN Warehouse Limited

    JamiiForums Tanzania Ukweli Usiosemwa Kuhusu Watu Wako wa Karibu Kwenye Safari ya Mafanikio

    Habari wana JF, Kuna jambo wengi huligundua wakiwa wamechelewa -sio kila mtu wa karibu yako atakuwa tayari kukuona ukipiga hatua kubwa kuliko yeye. Na hapa nisisemee vibaya: Watu wengi wa karibu wanaweza wakawa wanakutakia mema kwa dhati. Wanapenda ufanikiwe. Wanakuombea. Wanakutia moyo...
  18. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania ATCL yaomba radhi kwa kuchelewesha safari ya Mwanza-Dar Februari 21, yasema hali ya hewa ilikuwa mbaya

    Wakuu, ATCL imeomba radhi (hata kama tunajua ni ya mchongo) lakini Msigwa kapata nguvu za kumwambia Zungu mwana ukome:BearLaugh::BearLaugh:. Ila Zungu itakuwa alisahau kuwa serikali/chama kikizingua inabidi useme mitano tena🤣🤣, katoka nje ya script😂😂. Ila ATCL tuambieni, hivi shida ni nini...
  19. VERIFY

    JamiiForums Tanzania Zingatia haya kwenye safari yako

    Maisha ya kijana ni safari ya kujitafuta. Ni kipindi cha ndoto, nguvu, hamu, makosa, maumivu na maamuzi makubwa. Wengi huingia hatua hii wakiwa na matarajio makubwa—lakini hukutana na uhalisia mgumu kuachwa, kukataliwa, kukosa ajira, kukosa fedha, presha za marafiki na tamaa za mwili. Ndipo...
  20. idiomer

    JamiiForums Tanzania Dereva akienda safari 150k kwa siku mwalimu 50k ...Dar life is not fair.....tutegemee elimu ipande kweli ???

    Tuheshimu walimu kwa kweli. Haya ni masihara
Back
Top Bottom