saed kubenea

Saed Ahmed Kubenea is a Tanzanian politician and a member of the CHADEMA political party. He was elected MP representing Ubungo in 2015.

View More On Wikipedia.org
  1. G Sam

    Tetesi: Saed Kubenea kurudi Chadema

    Saed Kubenea wiki ijayo atatambulishwa rasmi Chadema. Yeye pamoja na viongozi wengine waandamizi wa vyama mbalimbali watatangazwa rasmi wiki ijayo kama nilivyodokezwa jioni ya leo.
  2. Waufukweni

    PreGE2025 Kubenea: Zaidi ya asilimia 50 waliosaini waraka wa G-55 wanatoka Kaskazini. Ningekuwa CHADEMA ningewafukuza

    Mbunge wa zamani wa Ubungo kupitia CHADEMA, Saed Kubenea ameyasema hayo akihojiwa na Wasafi FM. Amesema Si kwamba wanatoka Kaskazini sijui Tanga, ila ni Arusha na Kilimanjaro. Ameongeza kuwa G55 ni watu wa Mbowe na bado hawajakubali kama wameshindwa ndio maana wanafanya uhuni. Pia soma >...
  3. Waufukweni

    PreGE2025 Kubenea: Tundu Lissu alishiriki kumkataa Lowassa CHADEMA

    Mbunge wa zamani wa Ubungo (CHADEMA), Saed Kubenea amedai kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu alishiriki kumkataa Hayati Edward Lowassa asimamie Chama hicho.
  4. Waufukweni

    PreGE2025 Kubenea: Mbowe hakutarajia kushindwa na Lissu, nilimshauri asigombee

    Mbunge wa zamani wa Ubungo (CHADEMA), Saed Kubenea kupitia Wasafi FM ameeleza kuwa kuna watu ndani ya CHADEMA mpaka leo hawaamini kama Tundu Lissu ni Mwenyekiti wa Chama na madhara ya kuto kubali matokeo yake ni makundi kuibuka. Ameongeza kuwa hata Freeman Mbowe hakuamini kama anashindwa na...
  5. Valencia_UPV

    Kubenea alisharejea CCM?

    1. Huyu Mheshimiwa Mstaafu yupo wapi siku hizi? 2. Alisharejea au anarejea lini CCM ale mema ya nchi? 3. Daah, Kuna watu wanasahaulika haraka Sana.
  6. Mhafidhina07

    Leo wakati nipo usingizini nimeota namuulizia Saed Kubenea

    Habari zenu Naomba kuleta mada kama inavyojieleza kwenye kichwa habari,nazani alikuwa mbunge machachari katika wakati wake mwenye ushawishi katika upande wa upinzani ila naona amezika kama moto wa kifuu ghafla mjini haonekani au yupo busy na uhariri? Nawasilisha
  7. M

    Miaka 16 imepita haijajulikana nani alimmwagia tindikali Saed Kubenea

    Wapelelezi wapo na wanakula kodi za Watanganyika. Zijui kuhusu za Wazanzibari. Mpaka haijulikani nani alifanya jinai hii ya kumwagia mtu acid usoni. Mbona majambazi wanayakamata kila siku? Miaka 16?
  8. P

    Baada ya Rostam kulinunua Raia Mwema na kumkabidhi Saed Kubenea limekosa mvuto

    Baada ya Rostam kulinunua Raia Mwema na kumkabidhi SAID Kubenea limekosa mvuto. Rostam anapenda sana kununua magazeti critical. Gazeti limekosa mvuto; kila siku kuwashambulia CHADEMA na Magufuli; Tunajua kubenea anachuki na chadema baada ya kukimbilia ACT Wazalendo.
  9. Sifi Leo

    Wako wapi waliokuwa source of information kwa Dkt. Slaa na Saed Kubenea enzi za Mwanahalisi?

    Moja ya vitu vilivyokuwa vikinivutia enzi hizo nikiwa nasoma,ni uhandishi wa habari za uchunguzi ULIOKUWA unafanywa na Said Kubenea KUPITIA GAZETI lake la Mwanahalisi. Nakumbuka enzi hizo nikiwa nafanya field Kwenye ofisi za GAZETI la Mwanahalisi pale kinondoni nawakumbuka washikaji fulani...
  10. Erythrocyte

    Uamuzi wa Kesi inayomkabili Makonda iliyofunguliwa na Kubenea kutolewa leo

    Mahakama ya Kinondoni leo itatoa uamuzi wa mapingamizi yaliyowekwa na DPP ya kuzuia Kesi ya Matumizi mabaya ya Madaraka inayomkabili Paulo Makonda. Kesi hiyo Kabambe ambayo imefunguliwa na Mbunge wa zamani wa Ubungo Saed Kubenea imeamsha hisia za wananchi, huku wengi wakiitaka ipewe nafasi ya...
  11. GENTAMYCINE

    Saed Kubenea kwenye hili la Kumshtaki Paul Makonda wala usituchoshe 'Werevu' kwani 'Unafiki' wako unajulikana na wala haujifichi

    Ndiyo maana wengine mnapigwa Kofi na Mwenyezi Mungu kwa mambo mengi Maishani mwenu ila hamtaki Kujifunza na hata 'Kutubu' kwa Muumba ili awasamehe. Ni Matumaini yangu makubwa kuwa Hela mlizohongwa ili mbadilishe Maamuzi ya Kisutu zitawafanya mkajitibie 'Magonjwa' yenu mbalimbali ukiwemo ule wa...
  12. C

    Saed Kubenea amburuza Paul Makonda Mahakamani, kupanda kizimbani Desemba 3, 2021 kwa makosa ya jinai

    HABARI Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amefunguliwa kesi ya jinai Mahakamani akituhumiwa kwa mambo mbalimbali ikiwemo matumizi mabaya ya madaraka ikiwemo suala la kuvamia kituo cha televisheni cha Clouds Media, Machi 17 mwaka 2017 Kesi dhidi ya Makonda imewasilishwa...
  13. Erythrocyte

    Mbunge wa zamani wa Ubungo, Saed Kubenea achukua fomu kugombea Urais wa TFF

    Hii ndio taarifa ya sasa kutoka ofisi za TFF , Hata hivyo kabla ya kukabidhiwa fomu yake Kubenea alilalamika kwamba kulikuwa na njama za kumchelewesha makusudi.
  14. Erythrocyte

    Saed Kubenea afika Wizara ya Habari Kuonana na Waziri Bashungwa kuitikia wito wa Rais wa kufungulia vyombo vya habari vilivyofungiwa kibabe

    Leo Saed Kubenea ameonana na Waziri wa Habari kama ilivyoelekezwa na Wizara baada ya Tamko la Mh Rais Samia Suluhu la kuagiza vyombo vya habari vilivyofungiwa kizushi yakiwemo magazeti vifunguliwe . Tuendelee kusubiri yatakayojiri baada ya kikao hiki kufanyika huku tukisubiri Wahariri wengine...
  15. Roving Journalist

    GE2020 Mgombea Ubunge Kinondoni kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Saed Kubenea amesema anatarajia kushinda uchaguzi wa jimbo

    MGOMBEA Ubunge Kinondoni kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Saed Kubenea amesema anataraijia kushinda uchaguzi wa jimbo hilo kwa wastani wa asilimia 52.8 hadi 58.2. Kubenea ametoa kauli hiyo leo tarehe 26 Oktoba 2020 wakati anazungumza na wanahabarii jijini Dar es Salaam, kuhusu mwenendo wa...
  16. Mastamind

    Kubenea amwaga chozi

    Nilijua Kubenea ni Bonge la Mwamba Kumbe Mlaini tu Chozi Alilomwaga Kashindwa Hata Kumalizia Shukrani Zake kwa Waandishi Wenzie wa Habari Waliojitoa Kumkomboa Kweli Sheria ya Utakatishaji Noumer[emoji119] ==== Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha leo imemuachia kwa dhamana Mgombea Ubunge wa...
  17. beth

    Saed Kubenea aachiwa kwa dhamana

    Aliyekuwa Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea amefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha leo na ameachiwa kwa dhamana Kubenea alikamatwa Septemba 07, 2020 na kutuhumiwa kwa makosa mbalimbali ikiwemo utakatishaji fedha, kukiuka Sheria za kuvuka mpaka kwenda Kenya na kurejea nchini kwa kutumia njia...
  18. Informer

    Saed Kubenea atiwa mbaroni. Afikishwa Mahakamani kwa kuingia nchini kinyume na Sheria, utakatishaji fedha na kupelekwa rumande

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI YAH: KUFIKISHWA MAHAKAMANI KWA SAED AHMED KUBENEA Mnamo tarehe 5/9/2020, Jeshi la Polisi Tanzania lilimkamata SAED AHMED KUBENEA akiwa katika gari la abiria lenye namba ya usajili T. 645 DKR akitokea kwenye mpaka wa Tanzania na Kenya, eneo la Namanga akielekea...
  19. Miss Zomboko

    Aliyekuwa Mbunge wa Ubungo kupitia CHADEMA, Saed Kubenea amejiondoa ndani ya chama hicho na kujiunga na ACT-Wazalendo

    MBUNGE wa Ubungo, Dar es Salaam anayemaliza muda wake kupitia Chadema, Saed Kubenea amejiondoa ndani ya chama hicho na kujiunga na chama cha ACT-Wazalendo. Kubenea amejiunga na ACT-Wazalendo leo Jumamosi tarehe 18 Julai 2020 na kupokelewa na Maalim Seif Sharif Hamad, Mwenyekiti wa chama hicho...
  20. Elitwege

    Saed Kubenea awaonya wabunge wanaoshinda mitandaoni wakiitukana Serikali

    Amani iwe nanyi. Leo wakati akichangia bajeti bungeni mbunge wa Ubungo kupitia chama cha democrasia na maendeleo (Chadema) Saed Kubenea amewaonya wote wanaoitukana serikali na kuwataka watambue dhamana kubwa walizopewa na wananchi za kuwa wabunge. Saed Kubenea ametolea mfano kuna baadhi ya...
Back
Top Bottom