beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Aliyekuwa Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea amefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha leo na ameachiwa kwa dhamana
Kubenea alikamatwa Septemba 07, 2020 na kutuhumiwa kwa makosa mbalimbali ikiwemo utakatishaji fedha, kukiuka Sheria za kuvuka mpaka kwenda Kenya na kurejea nchini kwa kutumia njia zisizo rasmi
Baada ya kukamatwa alifikishwa Mahakamani na kisha kurudishwa rumande kutokana na makosa ya utakatishaji fedha kutokuwa na dhamana
Pia, Soma: Saed Kubenea atiwa mbaroni. Afikishwa Mahakamani kwa kuingia nchini kinyume na Sheria, utakatishaji fedha na kupelekwa rumande