Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 217,996
Hii ndio taarifa ya sasa kutoka ofisi za TFF , Hata hivyo kabla ya kukabidhiwa fomu yake Kubenea alilalamika kwamba kulikuwa na njama za kumchelewesha makusudi.
Huwezi kujua labda aweza kuwa striker wa zamani wa Pan AfricaNaona wanatafuta pakuponea hawa makanjanja, Kubenea na mpira wapi na wapi?
Kwahiyo nyinyi yanga ndio mmeamua kuleta majina yenu siyoAungwe mkono tu, ni mwana Yanga mwenzenu huyo.
Abas Tarimba alistahiki ila kuwa kwake kiongozi wa taasisi ya Michezo ya Kubeti (Sportpesa) kunamfanya akose sifa.
Ni zamu yetu kutoa Kiongozi, Asipopitishwa Ally Mayai tutamsapoti KubeneaKwahiyo nyinyi yanga ndio mmeamua kuleta majina yenu siyo
Hili la wanayanga kujazana kuchukua fomu ni bora angekua mgombea mmoja akapewa nguvu kwa pamoja kuliko iuwa na rundo la wagombea lakini wasio na nguvu.Aungwe mkono tu, ni mwana Yanga mwenzetu huyu.
Abas Tarimba alistahiki ila kuwa kwake kiongozi wa taasisi ya Michezo ya Kubeti (Sportpesa) kunamfanya akose sifa.
SidhaniInasemekana kamchukulia mtu fomu
Sio yeye anagombea
alikuwa golikeeper wa timu ya Coast union ya TangaHistoria yake kwenye hii Tasnia inasemaje ? Je ni Mdau wa Game ?
Alikua anamchukulia fomu ALLY SALLEH yule mwandishi wa habari kutokea ZanzibarSidhani
Basi yupo Vizuri kwa upande wa Udau katika Sokaalikuwa golikeeper wa timu ya Coast union ya Tanga
Baadae wote watamuunga mkono mgombea mmojw natabiri vurugu za uchaguziHili la wanayanga kujazana kuchukua fomu ni bora angekua mgombea mmoja akapewa nguvu kwa pamoja kuliko iuwa na rundo la wagombea lakini wasio na nguvu.