sababu

The Black Liberation Army (BLA) was an underground Black Power organization that operated in the United States from 1970 to 1981. Composed entirely of Black Panthers (BPP) who served as members of both groups, the organization's program was one of war against the United States government, and its stated goal was to "take up arms for the liberation and self-determination of black people in the United States." The BLA carried out a series of bombings, killings of police officers and drug dealers, robberies (which participants termed "expropriations"), and prison breaks.

View More On Wikipedia.org
  1. DELETED ACCOUNT

    JamiiForums Tanzania Sababu kuu tatu zinazokwamisha Feisal Salum asiende kuchezea Simba

    Mijadala mingi inayohusiana na uhamisho wa Feisal Salum kutoka Azam kwenda Simba imejikita kwenye gharama za uhamisho huo ila ukweli ni kuwa kuna sababu tatu kuu zingine tofauti kabisa zinazokwamisha uhamisho huo. Gharama inayotajwa ya bilioni 2 na ushee siyo pesa nyingi kulinganisha na faida...
  2. Nucky Thompson

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nini sababu ya CCM kumkata Furaha Dominic aliyeongoza kura za maoni Kawe 2020? Ni chuki na Magufuli?

    Kwanini huyu kijana machachari amekatwa jina wakati alishinda kura za maoni 2020 kuashiria kukubalika kwake na wananchi na wana CCM. Kijana huyu ambaye ni mpwa wa Magufuli, Magufuli alimuacha ili apate uzoefu kwenye siasa, sasa uzoefu keshaupata Samia anamkata
  3. Setfree

    JamiiForums Tanzania Heri ninyi mnaolia sasa, kwa sababu mtacheka!

    Dunia hii ina watu wengi waliojaa machozi usoni, huzuni moyoni, na kukosa matumaini. Lakini kwa wale wanaomwamini Yesu Kristo, kuna ahadi yenye thamani kuu: "Heri ninyi mliao sasa, kwa sababu mtacheka." (Luka 6:21) Yesu aliposema maneno hayo, pamoja na kuwafariji walioumizwa, alikuwa...
  4. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 CCM isimpe Mgombea huyu Jimbo la Sikonge, sababu ni hizi

    Wakati vuguvugu la mchujo wa wagombea ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) likizidi kupamba moto, mgombea ubunge wa Jimbo la Sikonge, amejikuta katika hali ngumu baada ya kufichuliwa kwa tuhuma nzito kuhusu mienendo yake, zilizotolewa na watu wa karibu. Akizungumza na mwandishi wetu, mmoja wa...
  5. Nigrastratatract nerve

    JamiiForums Tanzania Mtoto kurudishwa kwa sababu ya kukosa tsh 1500 na kujinyonga ni miongoni mwa matokeo ya uongozi legelege ndani ya CCM unaounda Serikali legelege

    Mwanafunzi wa darasa la saba aliyekuwa anasoma shule ya msingi Mnini iliyopo kata ya Uru Mashariki wilaya ya Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro anayefahamika kwa jina la Izack Mushi (12), amefariki dunia kwa madai kuwa amejinyonga kwa kamba muda mfupi baada ya mwalimu wake katika shule hiyo...
  6. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Mwaka 2022 niliwapekea udsm proposal ya kutengeneza dawa ya Corona wakaikataa- Moja ya sababu iliyoni-inspired kuwa na ndoto za uRais wa Tanzania

    ###Lengo la uzi halina kusudi la kuisema vibaya taasisi ya UDSM bali unaelezea LIFE EXPERIENCE### Corona hiyo inaanza mwaka 2019 mwishoni inaenda weweee zinafanyika jitihada nyingi za kutengeneza dawa mda sisi nchi za afrika tumebakia kama onlookers zinafanikiwa mwaka 2021 Kwanin ilikuwa UDSM...
  7. Muimba SINGELI

    JamiiForums Tanzania Sababu moja wapo kwanini nawapenda wadada vibonge na wenye mashavu manene

    Kitandani 👇 Cc waifu material
  8. R

    JamiiForums Tanzania Huu mkutano wa kufanyikia mitandaoni ni sababu ya ukata?

    Salaam! Hii mikutano ya video conferencing tuliizoea time zile kuna korona, na mara nyinginw vilifanyika kupunguza Gharama. Sasa chama kikubwa namna hii kufanya mkutano mkubwa namna hii kwa video conferencing ni sababu ya ukata? Sitaki ukiamini hili maana ni majuzi tu wamedai kupokea bilioni...
  9. uvugizi

    JamiiForums Tanzania KIOO CHA SIMU ZA ANDROID KUWEKA UFA BILA SABABU

    Tafadhali wadau . Kuna shida gani ya hivi VIOO vya simu ambavyo vinapata crack( ufa) bila hata kuangusha simu ,hasa pale unapoweka kingine .Mimi nashangaa Kila Mara naweka KIOO CHA simu . Ukiangalia kina ufa . Serikali kupitia TBS kwa Nini kuruhusu hizi bidhaa fake. Ukiangalia maduka mengi ya...
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je ni kweli Wanawake wanamchukia sana kijana ambaye hajaoa, ana Mali na Pesa nyingi, ila sio Mjinga wa kuhonga ? Kama kweli nini sababu?

  11. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Fredy Mwanjala: Madereva wasiofuata taratibu ndio sababu ya foleni Kituo cha SGR Morogoro

    Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetoa taarifa kuwa ajali ya treni ya Mjini kwenda Pugu, iliyotokea Stesheni ya KAMATA kwenye makutano ya reli na Barabara ya Kawawa, jana Mei 13, 2025 imejeruhi Watu 10 TRC imesema ajali hiyo iliyohusisha mabehewa 12 yaliyobeba abiria takribani 1,200 na kuwa...
  12. mwanamwana

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais Ruto: Sababu zenu ni zipi za 'Ruto lazima aondoke'?"

    Rais William Ruto amepinga wito unaozidi kumtaka ajiuzulu kupitia nyimbo zinazoongezeka za ‘Ruto Must Go’ katika maandamano ya mitaani na mitandao ya kijamii. Katika hotuba yake katika Soko la Hisa la Nairobi (NSE) Jumatano, Ruto alihoji sababu za wito wa kuondoka kwake mapema, akisema viongozi...
  13. DELETED ACCOUNT

    JamiiForums Tanzania Simba inakosea katika sajili zake kwa sababu imepoteza kujiamini

    Leo nimeona niiongelee kidogo timu yangu ya zamani, Simba SC. Kwa hizi sajili, acha, sajili zinazofanyika kila msimu inaonyesha wazi Simba imepoteza kabisa kujiamini. Viongozi hawajui Simba inataka nini hasa na badala yake wanasajili na kuacha wachezaji tu ili waonekane wamefanya. Wachezaji...
  14. Fbn

    JamiiForums Tanzania Hivi najiuliza kama teknolojia zingekuwa Afrika sizani hata hivi tunavyovitumia vingekuwepo sasa kwa sababu ya tabia zetu kutokubali kukosolewa

    Ni metumia neno teknolojia ila nitabeba mambo mengi ambayo ndio yameleta maendeleo nchi nyingi.Ukiangalia kila siku simu yako janja apps zake au firmware zinaomba update kila siku sababu ya kurekebisha makosa ili uweze kutumia. Kwa mfano huu kama zingekuwa ndio afrika hakuna kitakachofanyika...
  15. jerry spare parts service

    JamiiForums Tanzania Lack of Proper Diagnosis Tools – Sababu Kubwa ya Magari Mapya Kuungua au Kuharibika Mapema

    Moja kati ya sababu kuu zinazochangia magari mapya – hata yale yenye namba mpya kama plate E – kuharibika mapema, ni ukosefu wa vifaa sahihi vya utambuzi wa matatizo (diagnosis tools) kwenye karakana nyingi hapa nchini. Katika miaka ya karibuni, magari mengi yamekuwa ya kisasa zaidi, yakiwa na...
  16. R

    JamiiForums Tanzania Kamanda Mulilo: Ushirikina, Kudaiana ni miongoni mwa sababu za watu kupotea

    MULILO: USHIRIKINA , KUDAIANA MIONGONI MWA SABABU WATU KUPOTEA Mheshimiwa Kamanda Mulilo, Soka et al nao walikuwa wanadaiana? Mdude naye alikuwa anadaiwa, Mawazo naye alikuwa anadaiwa, Kangoye naye alikuwa anadaiwa? Na wengine wa kundi hilo la chadema Pili Mbona wote ni wa Chadema...
  17. Youbettersleep

    JamiiForums Tanzania Kijiweni leo: kwanini hakuna wazee wenye majina ya kelvin?

    Habari tena! Leo kijiweni mzee mjuaji sana (Kamugisha) alikuja na jibu baada ya kuulizwa jana kuwa kwanini hawajawahi kusikia Mzee yeyote anaitwa KELVIN. SABABU! Baada ya mzee kufikiria akaja na jibu kuwa, jina la KELVIN lilikuja Tanzania miaka ya 90's hivyo lilianza kutumika kuanzia mikoa ya...
  18. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Taja sababu iliyokuharibia ukashindwa kuwa na mahusiano na mwanamke uliyompenda kwa dhati

    Hapo vip!! Mimi enzi fulani baada ya kumaliza chuo,nilikutana na msichana mmoja na ikatokea kumpenda sana na ndani ya moyo wangu nikaadhimia kumuoa. Ila sasa kipindi kile nipo kwenye hardtime hivi ila uwezo wa kumpa elfu 20,50 mpaka laki 2 ilikuwa sikosi,akiwa na shida nitapambana mpaka...
  19. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Ellen Degeneres: naenda kuishi uingereza sababu ni Donald Trump

    Mtangazaji wa runinga, mwandishi na muigizaji kutoka marekani Ellen Degeneres ameonekana hadharani kwa mara ya kwanza toka alipoamia nchini uingereza, ameamua kuishi nchini uingereza mara baada ya raisi Donald Trump kuchaguliwa tena kuwa raisi. Mtangazaji huyo ameiambia hadhira huko Cheltenham...
  20. N

    JamiiForums Tanzania Pesa ya mshahara haitoshi kwa watumishi kwa sababu kuu tatu!!

    Habari wakuu watumishi wengi wanalalamika kuwa mshahara hautoshi! Ukiona umeajiriwa iwe sekta binafsi au serikali na mshahara wako hautoshi namanisha take home kuanzia 150k na kuendelea ujue kuwa sababu kuu ni haya maeneo matatu 1: HUTOI FUNGU LA KUMI ( 10% OF YOUR BASIC SALARY) : maisha yapo...
Back
Top Bottom