ruto

Ruto, or Rutto, is a surname of Kenyan origin that may refer to:

Evans Rutto (born 1978), Kenyan marathon runner and two-time winner of the Chicago Marathon
Isaac Ruto, Kenyan politician for the United Republican Party
Paul Ruto (born 1960), Kenyan middle-distance runner and 1993 world champion
Ronald Kipchumba Rutto (born 1987), Kenyan steeplechase and marathon runner
William Ruto (born 1966), Kenyan politician and Deputy President of Kenya

View More On Wikipedia.org
  1. O

    JamiiForums Kenya Charlene Ruto Afanya Sherehe ya Koito na Mchumba Wake Mtanzania Isaya Yunge

    Binti wa Rais William Ruto, Charlene Ruto, amefanya sherehe ya jadi ya Koito na mchumba wake, Isaya Yunge, mjasiriamali wa teknolojia kutoka Tanzania. Sherehe hiyo ilifanyika Jumamosi, Agosti 8, 2026, katika Intonna Heritage Farm, Kilgoris, Narok County, huku familia za Charlene na Yunge...
  2. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Isaiah Yunge, ametoa shilling billion 7 za kenya ili kufanikisha ndoa yake charlene Ruto

    Kumekuwa na machapisho kadhaa yanayosambaa kwenye mitandao ya kijamii nchini Kenya na Tanzania, yakidai kuwa kijana Mtanzania, Isaiah Yunge, ametoa zaidi ya shilling billion 7 za Kenya ili kufanikisha ndoa yake na bintiye William ruto huko nchini Kenya Miongoni mwa machapisho hayo kuna ujumbe...
  3. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Watoto wa Ruto hawaolewi Kenya

    Wakenya mnachekesha sana,kelele ni nyingi kwakuwa mtoto wa Ruto kaolewa Tanzani,hivi hamjui kuwa June Ruto kaolewa Nigeria na Dr Alexander Ezenagu?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Isaya Yunge, Kijana kutoka Mwanza, anamuoa binti wa Rais wa Kenya, Charlene Ruto, Hii hapa Cv Yake

    Leo Agosti 8, nchini Kenya tukio kubwa ni engagement ya Charlene Ruto ambaye ni binti wa Rais Ruto. Katika tukio hilo, ametambulisha mumewe mtarajiwa ambaye ni Mtanzania Isaya Yunge. Historia yake si kubwa sana mtandaoni ila nimepata hints hizi. Kwanza jamaa kasoma IFM Bachelor of Science Degree...
  5. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania MTANZANIA kumuoa mtoto wa rais Ruto wa Kenya

    Kijana wa kitanzania issaya yunge, ametambulishwa rasmi kama mchumba wake na Charlene ruto, mtoto wa muheshimiwa William ruto, rais wa kenya. Za chini chini inasemekana kijana huyu, ni mhitimi WA CHUO cha IFM, ni mjasiriamali, na ndio miliki wa soma app. Naendelea kufatilia wadhifa wake na...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kijana Kitanzania kumvisha pete Mtoto wa Rais wa Kenya,Charlene Ruto

    Kijana wa Kitanzania na mwanzilishi wa application ya SomaApp aitwaye Isaiah Yunk(g)e anatarajia kumvisha pete ya uchumba Charlene Ruto katika sherehe ya kimila( Koito ak chaik) itakayofanyika leo Jumamosi huko Narok, Kenya. Miongoni mwa wageni wanaotarajiwa kuhudhuria ni pamoja na wazazi wa...
  7. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ruto, Uhuru na Walinzi: Je, Historia Inajirudia?

    Rais William Ruto jana, Agosti 6, 2026, aliwakutana na maafisa wa usalama binafsi zaidi ya 5,000 State House, ambapo aliahidi kubadilisha matumizi ya majina “watchman” na “guard” na kuwatambua rasmi kama Private Security Officers (PSOs). Ruto pia alizungumzia kuboresha mishahara, heshima na...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Raisi Ruto awafikia wale Msioamini uwepo wa Mungu (Atheists)

    Habari kwenu. Raisi wa Kenya William Ruto amewapa salamu wale wasioamini uwepo wa Mungu kwamba hawana utofauti na Wanyama. Najua hili linawagusa sana hasa wale wanaoishi nga'mbo au ugaibuni kwani wao baada ya kufika huko wengi wao wamempa Mungu Kisogo na ndio maana wengi wao wanishi kwa msongo...
  9. ChoiceVariable

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais William Ruto: Hata Mkininyima Kura Malaika Wataniongezea, lazima nitashinda Urais

    Harafu unakutana wale wapumbavu huko mtaani wanajazwa upepo na Wapinzani Hadi wanapoteza maisha,wanakuwa vilema nk kisa vurugu za kuwapigania Wanasiasa Kwa ahadi kwamba Katiba Mpya itawapa maisha. Haya kiko wapi? Kinachoitwa Katiba Mpya ni scam ya kuwa fool wajinga na wapumbavu Kwa maslahi ya...
  10. E

    JamiiForums Tanzania Edwin Sifuna: Kutoka kuwa mtetezi wa ODM Sasa tishio jipya kwa Ruto 2027

    Kwa miaka kadhaa, jina la Edwin Watenya Sifuna limekuwa miongoni mwa yanayotajwa zaidi katika siasa za Kenya. Wakati wengi walimfahamu kama Katibu Mkuu wa Orange Democratic Movement (ODM) na mmoja wa watetezi wakubwa wa Raila Odinga, leo anatajwa kama mwanasiasa anayejaribu kujijenga kuwa...
  11. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Macharia Njeru adai Rais Ruto aliitisha viongozi wa IPOA na kutoa vitisho

    Aliyekuwa mwenyekiti wa kwanza wa Mamlaka Huru ya Kusimamia Utendakazi wa Polisi (IPOA), Macharia Njeru, amedai kuwa Rais William Ruto aliwaita viongozi wa IPOA katika Ikulu na kutoa matamshi yaliyolenga kuwashinikiza kuhusu utendaji wao. Kwa mujibu wa Njeru, hatua hiyo inaweza kutafsiriwa kama...
  12. O

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Kalonzo Musyoka amefanya kikao cha siri leo na Rais William Ruto mjini Narok

    Inadaiwa kuwa Kalonzo Musyoka amefanya kikao cha siri leo na Rais William Ruto mjini Narok, ambapo walifikia makubaliano ya kushirikiana kabla ya uchaguzi. Haya yanajiri huku kukiwa na uvumi kwamba upinzani unampendelea Edwin Sifuna kuwa mgombea wao wa urais, akisaidiwa na mgombea mwenza kutoka...
  13. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania ‘Our Son Is Suffering’: Gachagua Asema Ruto Anamlenga Kindiki Kisiasa

    Kiongozi wa chama cha Democracy for Citizens Party (DCP), Rigathi Gachagua, amedai kuwa Rais William Ruto anaendesha mkakati wa kumtenga kisiasa Naibu Rais Kithure Kindiki ndani ya serikali ya Kenya Kwanza. Akizungumza wakati wa mazungumzo na vyombo vya habari, Gachagua alisema Kindiki...
  14. Maseto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania PREDICTION: President William Ruto Will win the 2027 Elections

    As the Kenyan next general elections approach,Ruto is tipped to win as the opposition is fragmented.
  15. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais William Ruto Amteua Charles Owino kuwa Msemaji Mpya wa Serikali, Isaac Mwaura Apandishwa Cheo

    Rais William Ruto amefanya mabadiliko katika uongozi wa Serikali baada ya kumteua aliyekuwa msemaji wa zamani wa Polisi, Charles Owino, kuwa Msemaji mpya wa Serikali akichukua nafasi ya Isaac Mwaura. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Utumishi wa Umma, Felix Koskei, Mwaura...
  16. Waziri Mayai Wa Maradhi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania ODM To Support Ruto In 2027 Re-Election Bid

    The Orange Democratic Movement (ODM) party will not field a presidential candidate in the 2027 general elections, its leader, Oburu Oginga, has said. Instead, the party has resorted to supporting President William Ruto's bid for a second term. According to Oburu, the action is intended to...
  17. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Oburu Says ODM Will Back President William Ruto, Won't Field 2027 Presidential Candidate

    Orange Democratic Movement (ODM) leader Oburu Oginga has announced that the party will not field a presidential candidate in the 2027 General Election and will instead support President William Ruto's bid for a second term. Speaking during ongoing coalition discussions, Oburu said ODM had...
  18. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania President William Ruto Appoints DP Kithure Kindiki to Lead Committee Overseeing Sh2.2 Trillion Lamu Oil Refinery Project

    President William Ruto has appointed Deputy President Kithure Kindiki to chair a high-level government committee tasked with coordinating the implementation of the proposed Sh2.2 trillion East African oil refinery project in Lamu. The appointment follows confirmation by Nigerian industrialist...
  19. Stroke

    JamiiForums Tanzania Je Ruto alikuja kutuchora Watanzania, na Bunge letu??

    Ziara ya Rais ruto naweza ita ni usanii wa kizazi hiki. Alikuja kwa lugha nzuri tukamkaribisha mpaka na Bungeni kwetu. Akatuambia kwamba yeye anataka refinery ijengwe Tanga. Kumbe mwenye mradi anataka ajenge Mombasa. Sasa kwanini alikuja kudanganya Bunge letu. Bunge legu lipitishe hoja ya...
  20. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KHRC Accuses East African Leaders of Criminalizing Dissent

    The Kenya Human Rights Commission (KHRC) has accused the governments of Kenya, Tanzania, and Uganda of orchestrating a regional crackdown on dissent through enforced disappearances, arbitrary arrests, torture, and intimidation of activists, journalists, and government critics. In a strongly...
Back
Top Bottom