TABAKA LA WAHAFIDHINA LINA MKWAMISHA RAIS MWINYI
Deogratias Mutungi
Nianze Makala haya kwa kurejea viongozi hawa nguli , Hastings Kamuzu Banda rais wa zamani wa Malawi, na Waziri Mkuu wa Zamani wa Uingereza Winston Churchill, Banda wakati fulani aliwai kusema, ” Kiongozi mwenye utashi wa...