pumba

Timon and Pumbaa are an animated meerkat and warthog duo introduced in Disney's 1994 animated film The Lion King and its franchise. Timon was portrayed through his many appearances by Nathan Lane (in all three films and early episodes of the show), Max Casella (the original actor in Broadway musical), Kevin Schon (in certain episodes of the show), Quinton Flynn (in certain episodes of the show), Bruce Lanoil in the Wild About Safety shorts and Kingdom Hearts II, and while Pumbaa is voiced by Ernie Sabella (in all of his traditionally animated speaking appearances), and was portrayed by Tom Alan Robbins in the original cast of the Broadway musical. In the CGI remake, the characters are portrayed by Billy Eichner and Seth Rogen, respectively. Nathan Lane and Ernie Sabella first came to audition for the roles of the hyenas, but when the producers saw how well they worked together, they decided to cast them as Timon and Pumbaa.
As with many characters in The Lion King, Pumbaa's name derives from the East African language Swahili. In Swahili, pumbaa (v.) means "to be foolish, silly, weakminded, careless, negligent." Timon is one of the few characters whose name has no meaning in Swahili; Timon is a historical Greek name, taken to mean "he who respects." Timon's name may derive from Shakespeare's tragedy Timon of Athens, another Shakespeare reference in a film which derives its plot from Hamlet. A more likely explanation is that he is named after the Greek philosopher Timon, a disciple of Pyrrho, the founder of the school of scepticism.
Timon is a wise-cracking and self-absorbed meerkat who is known for claiming Pumbaa's ideas as his own. Pumbaa has flatulence issues but is also a fierce warrior, charging into battle like a battering ram, and taking great offense if anyone who's not his friend calls him a pig, at which point he exclaims "They call me Mister pig!"—a reference to Sidney Poitier's line "They call me Mister Tibbs!" from the 1967 film In the Heat of the Night and then screams as he charges. Unlike real meerkats, Timon can walk on his hind legs, while in real life, meerkats walk on all four legs and can only stand on their hind ones.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    JamiiForums Tanzania Ukiwa Kiongozi wa umma, jitahidi usiongee PUMBA mwezi mzima

    Kuna kiongozi / viongozi sasa ni zaidi ya miezi anaongea/ wanaongea pumba! Hakuna any meaningful takehome message from his mouth!
  2. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Kauli za Gerson Msigwa zinachochea moto zaidi na kujivua nguo kimataifa vyombo vya kimataifa ni vyombo huru haviingiliwi

    Kauli za Gerson Msigwa zinachochea moto zaidi na kujivua nguo kimataifa vyombo vya kimataifa ni vyombo huru haviingiliwi
  3. emmarki

    JamiiForums Tanzania Naombeni chimbo la pumba Dar

    Kwa dar es salaam wapi ni chimbo la kupata vyakula vya mifugo kama pumba na mashudu kwa wingi?
  4. KING MIDAS

    JamiiForums Tanzania Tujikumbushe kesi ya Magufuli

    Tundu Lissu ailaza chali Jamhuri, kesi ya Dennis Wilson aliyemkashifu Rais Magufuli Tundu Lissu, Mwanasheria Mkuu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameiangusha Jamhuri katika kesi ya kumkashifu JPM iliyokuwa ikimuhusu Dennis Wilson Wilson, mwanachama wa Chadema alishtakiwa na...
  5. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Kiwanda cha kahawa CMS Mbozi hakidhibiti vumbi la pumba za kahawa, NEMC fuatilieni

    Habari, Hiki kiwanda kipo mji wa Mlowo kina husika na kukoboa kahawa ila cha kushangaza hakidhibiti vumbi la pumba ya kahawa lisiende kwenye makazi ya watu. Hali hii imekuwa ni kero kwetu sisi wakazi na kutusababishia vifua vya mara kwa mara. Tunaomba NEMC mfuatilie na mchukue hatua stahiki
  6. B

    JamiiForums Tanzania Nauza pumba za mahindi

    Niende mojamoja kwenye mada nina Gunia 100 (KULINGANA NA MTAJI WANGU UKIHITAJI NIKUKUSANYIE PIA SAWA) ya pumba za mahindi nauza kg moja sh 80 niko kanda ya ziwa kwa anayehitaji tufanye biashara tuchekiane PM
  7. Amba Samedi

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Pumba za Mahindi na Mashudu ya Alizeti kwa Wingi

    Habari wanaJF, Natumaini mnaendelea vizuri. Leo nimekuja kibiashara zaidi. Kuna tenda mezani. Zinahitajika: Pumba za Mahindi (Tani 74) Mashudu ya Alizeti (Tani 22) Hii ni tenda endelevu, nahitajika kusupply kila robo ya mwaka. Tunasupply kwa mikoa mitano nchini Tanzania, kwa mgawo tofauti...
  8. B

    JamiiForums Tanzania Wapi nitapata soko la pumba za mahindi na mashudu kama unahitaji

    Kama unahitaji kukusanyiwa pumba za mahindi na mashudu kwa bei nafuu sogea tufanye Biashara ASAP
  9. NYOLODO

    JamiiForums Tanzania Kuna watu ni ma"pro" kwenye kuendekeza ujinga! Pumbavu wale

    Wakuu nina imani mnaendelea kupambana. Nimeshangaa sana kukutana na watanzania wachovu kufikiria kama wale. Wale wazee ni watu wa pwani, wamefikishana mahakamani wanagombea mpaka. Eti wamedhulumiana futi tatu kila mmoja anasema ya kwake. Pamoja na zile futi tatu hazina uwezo wa kuhimili ujenzi...
  10. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Nipo mbioni kuanzisha Kozi Maalum ya Kuwafundisha Marais wa dunia namna ya Kuongea Points mbele ya Hadhira na siyo Pumba

    Na gharama yake itakuwa ni Nafuu sana kwa kila Rais ila kutakuwa na Sharti Kubwa kidogo la Kwanza kutaka kuijua Elimu ya Rais husika, Chuo chake alichosoma na kama Alifaulu vyema huko kisha mwisho atapimwa Akili kama zinamtosha sawa sawa na pia kuangalia kama ama havuti Bangi au si Mlevi wa...
  11. L

    JamiiForums Tanzania CPA ya Issa Masoud Simba ichunguzwe kwa kuongea pumba, utumbo, ujinga na kukosa weledi

    Jana usiku, nilikuwa mmoja wa watu niliobahatika kuona mahojiano ya baadhi ya wajumbe wa bodi ya wakurugenzi wa Simba kwenye social media moja, nilisikiliza sana hoja za mjumbe anajiita CPA Issa Masoud Simba. Ndugu zangu, taaluma ya CPA inayotolewa na NBAAA sio mchezo, hii ni body ya wakaguzi...
  12. D

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua bei ya pumba huko uliko

    Asalaam, Well, mimi ni mfanyabiashara ambaye nina milling machine nyingi kiasi. Sasa saivi natafuta masoko ya pumba sehemu mbalimbali nchini. Nisaidieni wafugaji kuniambia bei za pumba huko kwenu inafikia kiasi gani nione kama kuna uwezo wa kufanya business expansion kidogo. Natanguliza...
  13. U

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa namna bora ya kuhifadhi pumba ya mahindi

    Wanajf Mimi ni mfugaji mdogo wa kuku! Msimu huu nimebahatika kupata pumba ya kutosha! Ninaomba anayejua namna nzuri ya kuihifadhi ili niitumie au hata kuiuza hapo baadae ninaomba anijuze! Lengo ni ili isiharibike! Msaada tafadhali
  14. Petro E. Mselewa

    JamiiForums Tanzania AFL: Pumba zote zimeshajitenga na mchele

    Kabla ya kuanza mashindano haya, wapo waliohoji vigezo vilivyotumika kuwapata washiriki. Pamoja na kusemwa kuwa washiriki walipatwa kwa kutazama mafanikio ya timu hizo kwa miaka mitano kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika, waliokosoa hawakukosea. Wakosoaji, ambao sasa wameonekana ni wakweli...
  15. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kwa Press Release ya TANESCO ya jana ilivyo na Pumba nyingi nimeamini Tanzania ina Wasomi wengi ila wasio na Akili

    GENTAMYCINE namuomba huyo Mtu wao wa PR / Communication aachie Ngazi kwa Taarifa ile ya Kipuuzi yenye Pumba nyingi na iliyotuachia Maswali mengi Sisi Great Thinkers wa Kutukuka.
  16. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Lililoitwa Sakata la Bandari: Pumba zimeanza kujitenga na Mchele

    Wataalamu wa siasa za nchi hii tuliposimama na Rais Samia kutetea uwekezaji wa Bandarini tulionekana sie ni machawa na tukasemwa sana. Tuliposema kuwa hizi kelele za Bandari kuuzwa sijui nchi imeuzwa ni maneno ya chuki na uzandiki kukwamisha mipango mizuri ya Rais wetu kwenye uchumi wetu ili...
  17. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Waziri Abdallah Ulega: Nilishindwa kupinga maamuzi ya Luhaga Mpina kupima samaki kwa rula kwenye migahawa

    Naona Wabunge na Mawaziri kutoka chama cha mapinduzi bado wanapeleka moto kwa Luhaga Mpina baada ya kuonesha kuwa-challenge kwenye masuala mbalimbali. Akichangia Bungeni, Waziri wa Mifugo na Uvuvi ametupa dongo kwa Boss wake wa zamani kwenye Wizara hiyo kuwa hakutumia busara kupima samaki ambao...
  18. N

    JamiiForums Tanzania Matumizi ya pumba za mpunga katika shamba la mahindi

    Awali ya yote napenda kumshukuru mwenyez mungu mwingi wa rehema, pia natoa pole Kwa wakulima wenzangu waliokumbwa na ukame katika msimu huu wa kilimo. Jambo lililonileta kwenu nikutaka kujua uhalisia wa mbolea za pumba ya mpunga ufanyaji KAZI wake pindi iwekwapo katika shamban la mahindi...
  19. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Muhuni akopa milioni 50 CRDB awaachia pumba likidhaniwa ni duka la nafaka

    Muhuni akili mingi inadaiwa kama inavyoonekana kwenye video kuwa amekopa milioni 50 CRDB kwa kuwa alijua lazima wakague biashara yake, aliweka magunia mengi yakionekana yana nafaka kumbe ni uchafu tu, na yeye ametokomea yaani ameyeya.
  20. B

    JamiiForums Tanzania Kuna Soko la pumba Moshi na Arusha?

    Habari za majukumu ndugu zangu, Naomba kufahamu na connection ya soko la pumba Kwa mikoa ya Arusha na Moshi. Ni pumba laini kabisa za maindi na mpunga Mimi na pumba ya kutosha nipo tabora. Mawasiliano zaidi 0658644485
Back
Top Bottom