A computer program is a collection of instructions that can be executed by a computer to perform a specific task.
A computer program is usually written by a computer programmer in a programming language. From the program in its human-readable form of source code, a compiler or assembler can derive machine code—a form consisting of instructions that the computer can directly execute. Alternatively, a computer program may be executed with the aid of an interpreter.
A collection of computer programs, libraries, and related data are referred to as software. Computer programs may be categorized along functional lines, such as application software and system software. The underlying method used for some calculation or manipulation is known as an algorithm. The way data is organized is referred to data structures.
Our NGO is looking for passionate trainers and mentors to support a program empowering visually impaired youth with digital, workplace and entrepreneurship skills.
We are looking for experts in:
• Career development & goal setting
• CV & cover letter writing
• Presentation skills & interview...
Sikutegemea kabisa kwa zama hizi kama serikali ingekuja na aina hii ya kuficha shahidi kwenye kiboksi cha plywood.
Teknologia imekua sana huwezi kutumia kisanduku cha maboksi kumficha mtu, sauti yake ikirekodiwa inatosha kabisa kumtambua mtu anayeongea.
Kuna programu nyingi za kutambua sauti...
DORIS MOLLEL FOUNDATION
Organization Overview
The Doris Mollel Foundation (DMF) is a Non-Profit Organization registered under the Laws of Tanzania (Registration No. 00NGO/R2/00079), dedicated to ending maternal and newborn deaths and advancing adolescent reproductive health in East Africa...
Wakuu habari
Nimekuwa nikutumia hii program kwa muda kidogo baada ya kukutana na threads kadhaa humu JF nami nika-download na nikaanza kutumia kama kawaidia.
Nilikuja kushangaa kuona program inanipa ushauri kuhusu biashara yangu mfano leo inaniambia kuwa 'nipungunze kulipa madeni kutokana na...
Serikali ya Singapore na Tanzania zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kimaendeleo na kiuchumi kupitia sekta mbalimbali ikiwemo uendeshaji wa bandari, utalii, sekta ya fedha, usafirishaji, biashara na uwekezaji, elimu na kilimo ili kuchochea kasi ya maendeleo ya Taifa na wananchi wake...
Kama umechoka kuandika kila kitu kwenye daftari, unakosea bei kila siku, au hujui biashara yako ina faida au hasara – hii software ni yako!
Inaweza Nini?
Inaangalia biashara yako mwanzo hadi mwisho:
Unauza bidhaa
Unaweka madeni na mikopo
Unajua faida yako muda huo huo
Unachapisha risiti...
Wakuu kwema?
Mimi nina rafiki yangu ni mwalimu wa masomo ya Chemistry na Biology.
Anawezaje kupata scholarship ya kusoma masters? Mwenye uzoefu, anawezaje kupambana kupata full funded scholarship?
NB: Preference yake ni Nelson Mandela Institution of Science and Technology(Arusha)
Asanteni^
Taarifa ya vyombo vya Intelijensia vya Marekani imesema kuwa Shambulio la Marekani huko Fordow limerudisha mpango wa Iran wa Nyukilia miezi michache nyuma.
Imesema kuwa yale mabomu hayakupenya ipasvyo na kugusa chini kabisa ndani ya mlima
Taarifa zaidi unaweza kuipata hapa...
Ninaomba kazi za Data entry, analysis...
Kutoa huduma za simu na pesa na internet
Graphics designing
Supermarket na security checking and approval.
Ninakuhakikishia nitakufanyia kazi yako kwa uhakika umakini na kwa wakati unaotakiwa.
Mwaminifu na NAMUOGOPA MOLA WANGU...my friend nakuhakikishia...
PROGRAM OFFICER
LOCATION: ZANZIBAR
About the role
The Program Officer will support ongoing initiatives to strengthen Zanzibar’s healthcare system, including health financing, quality improvement, digital health, non-communicable diseases, and maternal care. The role involves collaborating with...
Watu wengi wameeleza kushindwa kuichangia CHADEMA kupitia mtandao wa Mpesa/Vodacom.
Baadhi ya waliojaribu kuwasiliana na Vodacom huduma kwawateja, wameambiwa kuwa eti akaunti hiyo ya CHADEMA imejaa pesa, na hivyo haiwezi kupokea hela zaidi. Wakati kwenye makubaliano kati ya CHADEMA na Vodacom...
Kwa:
Meneja wa Bongo Star Search (BSS)
Dar es Salaam, Tanzania
Yah: Kuanzisha Programu ya Kuwapeleka Washindi wa BSS Kushiriki Mashindano ya America’s Got Talent (AGT)
Natumai barua hii inakufikia ukiwa na afya njema na unaendelea vyema na juhudi za kukuza vipaji vya muziki na sanaa kupitia...
Majuzi nilikuwa matembezini zanzibar, nilichokishuhudia ardhi yao si ya kutosha kwa kilimo kikubwa kile cha kimkakati, ambacho unaweza kuita kama kilimo haswa,
Nikatafakari je haiwezekani kukapatikana vijana 300-500 wa kizanzibar wakaanzishiwa program ya kilimo, aidha Mkoani Morogoro au Tabora...
https://feminahip.or.tz/
FEMINA HIP mmepotelea wapi ndugu zetu? Zamani mlitoa elimu kwa vijana juu ya maambukizi ya magonjwa ya ngono, mimba za utotoni nakadhalika. Vijana wengi tulivutiwa sana na Magazine za Femina Hip kwasababu tulifahamu njia zote mbaya za kutuingiza kwenye vishawishi vibaya...
Nimeshangazwa na chama cha ACT-WAZALENDO siku ya kesho wanaenda kuzindua ilani ya chama chao kwajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa kwa uchaguzi upi? Kwa wagombea wepi?
Katika jukwaa ili kuna mtu aliwahi kusema siasa ambazo wanafanya ACT-WAZALENDO ni siasa ambazo wanajiona kama wapo ndani ya...
Want to work for one of the largest charities of its kind in Africa? Are you an Artistic and creative person? Are you an excellent communicator? Do you enjoy working with International visitors? Would you call yourself a master planner and attentive to details? Does it sound like we’re talking...
Kabla ya kufungua jalada 'File' lolote ulilopakua 'download' au kutumiwa, kumbuka ku-scan na programu ya Antivirus ili kuhakiki kama ni salama na halina virusi au 'malware'.
Pia, kumbuka kupakua programu au File kutoka vyanzo vinavyoaminika.
Kupakua programu au faili kutoka tovuti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.