Kitabu The Prince, Mwana Mfalme, ni kitabu kilichoandikwa na mwanasias wa kale katika dola la Roma, Niccolo Machiavelli, mwaka 1513. Huyu aliangalia utawala ulivyokuwa, misingi yake, kuendelea au kufifia, na hatimaye akaandika kitabu hiki kama mwongozo kwa watawala wakitaka kudumu.
Moja katika...