Ni makosa kwa kweli, kuyaleta tena mambo ya vurugu za Kibiti, mandamano ya Mwembechai, kashfa ya EPA, kutekwa kwa Mohammed Dewji.
Haya mambo yamejadiliwa zamani yamekwisha, mtu anaweza kuwa na sababu gani ya kuyaleta tena?
Kama mtu anataka kuyajadili tena haya mambo, lazima iweko sababu, ama...