Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kikidai kuwa kada wake Leonard Magere amefichwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamanda wa kanda hiyo, Jumanne Muliro ametaka suala hilo waulizwe Idara ya Uhamiaji.
Magere ambaye ni mtaalamu wa Fedha na Uwekezaji wa CHADEMA...
Ndugu zangu Watanzania,
Hii hapa ni taarifa ya polisi Nchini juu ya kukamatwa kwa mkurungezi wa mawasiliano wa CHADEMA. Ambapo inadaiwa uongo na uchochezi ndio makosa yanayomkabili.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya...
Nimetafakari na kujiuliza kama jeshi la polisi lina utaratibu wa upimaji utendaji kazi wa askari wake.
Vigezo vya kumpandisha cheo ni muda aliohudumu ama afanye tukio tu?
Naomba kufahamu, pengine tunawaonea bure tu kulalamika mambo yetu hayaendi yanapofika kwao.
Wakati Watanzania wakiadhimisha siku ya Sabasaba ikiwa ni maadhimisho ya kimataifa ya Biashara, kwa Wakenya siku hiyo inakumbukwa kuwa ni ya kiharakati, ikienda hadi miaka 1990 ambapo baadhi ya wanasiasa walifanya mkutano wa kihistoria katika uwanja wa Kamkunji jijini Nairobi, kushinikiza...
Barabara zote kuu zinazoelekea jijini Nairobi zimefungwa leo huku hali ya usalama ikimarishwa katika maeneo mbalimbali ya mji, kufuatia maandamano yanayotarajiwa katika maadhimisho ya kumbukumbu ya Saba Saba.
Kulingana na BBC, polisi wameweka vizuizi katika maeneo muhimu, wakizuia magari ya...
Nakumbuka ndo nilikuwa nmemaliza kidato cha nne shule fulani jijini Mwanza.
Iyo siku niliwasiliana na mzee akanambia yupo road anakuja home, mzee hua unabana sana yaani akiwepo home hakuna kutoka nikushinda ndani ikabidi niondoke om nienda kupunguza upwiru mabatini jijini mwanza ilikuwa mida ya...
Wananchi wa Kata ya Terati, jijini Arusha, leo Julai 6 wamefunga barabara ya Mapambazuko wakipinga uteuzi wa mgombea udiwani wa CCM, Julias Lenina, ambaye amemaliza muda wake, lakini jina lake limeteuliwa tena kuwa miongoni mwa watakaopitishwa kuwania nafasi hiyo.
Wakieleza sababu za hatua...
Habari wakuu,
Nipo kwenye tovuti ya polisi ya kuomba hati ya tabia njema, hapa: Police Clearance
Sehemu zote naweza kujaza isipokuwa kwenye sehemu inayodai 'Application letter reference number' na 'application letter reference date'. Hizi ni barua gani na namuandikia nani? Msaada tafadhali.
Wakuu!
Nimewaletea hapa picha ya Bendi ya Jeshi la Polisi Tanzania (brass band) na wenyewe wameshiriki uzinduzi Kanisa la Nabii na Mtume Boniface Mwamposa.
Anaandika Edgar Mwakalebela (Sativa) kupitia ukurasa wake wa X:
Kwamba bila video kusambaa mtandaoni mngekaa kimya na hii taarifa ili mfanye vile mnafanyaga siku zote kwasababu waliofanya huu ukatili ni WATUMISHI WENZENU WA SERIKALI.
Tunaongozwa na WATU waliojaa Damu Za watanzania wasio na...
Kwa chadema kuongea na wananchi pale kariakoo ilikuwa nikukwamisha shughuri za kibiashara japo ilikuwa mkutuno hauzidi Nusu saa .
Ila timu inafanya parade zaidi ya sa 3 na kufunga barabara kariakoo sio inshu kabisa kwenu ..
Doubla standards za hovo kabisa
Wanadai hujaongeza posho yao miaka 10 sasa vilevile posho yao ya maji na umeme imegomewa wizarani. Mh.Rais mwenye nchi ni wewe malalamiko haya wameyawasilisha bungeni mara nyingi na yamepelekwa sehemu husika lkn imeshindikana.
Kila la kheri mh.Rais
Kiongozi wa chama cha Orange Democratic Movement (ODM),Raila Odinga amelaani kauli ya Waziri wa Mambo ya Ndani, Kipchumba Murkomen baada ya kutoa agizo kwa Jeshi la Polisi kuwapiga risasi na kuwaua raia watakaosogelea kituo cha polisi katika maandamno yaliyofanyika Kenya
Akizungumza na wakazi...
Huwezi kuamini mambo haya yanatokea hapa Tanzania. Waumini wanazuiwa kuabudu na kupigwa kama wahalifu!
Cha ajabu ni kiongozi wao askofu Josephat Gwajima kukimbilia ofisi za CCM kwenda kuchukua fomu ya kugombea ubunge kwa ticket ya CCM!!!
Nafikiri kuna kitu sio sawa kwa Gwajima na ndio maana...
Boniface Kariuki, mchuuzi aliyepigwa risasi wakati wa maandamano wiki mbili zilizopita jijini Nairobi, amefariki dunia. Msemaji wa familia, Emily Wanjira, amesema Kariuki alithibitishwa kuwa amefariki saa tisa na robo jana alasiri
Taarifa za awali kutoka kwa Familia ilisema madaktari...
https://youtu.be/EQnhTrDiykk?si=c1X_I-Sskz3-cwZR
Baba Askofu, toka tulipokuona mara ya mwisho tarehe 2/6/2025 siku ya kwanza ya mkesha kanisa kuu ulipotea Lakini leo tumeona picha zimezagaa ukichukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la Kawe
Ni jumapili ya nne mfululizo serikali kupitia jeshi la...
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema kuwa Jeshi la Polisi linawashikilia watu 52 kwa kufanya mkusanyiko usio halali jijini humo.
Amesema leo Juni 29 huko maeneo ya Kibo Ubungo Dar es Salaam, jeshi hilo limewakamata watu hao waliokuwa wakisali kanisa la...
Hii ni series ya matukio yaliyotokea miaka ya 2010-2013.
Ni mtiririko wa matukio ya ujasiri,kushangaza,kufurahisha na kusikitisha. Maisha ya watoto wa Temeke.
Miaka hii ilikuwa ndiyo mwisho mwisho wa uhuni uliokithiri wa watoto wa Temeke. Bhangi,wizi,mauaji, kukimbizana na defender za polisi...
Askari wa Jeshi la Polisi wakivutana na waumini wa kanisa la Ufufuo na Uzima waliokuwa wakisali katika kanisa lililopo pembeni kidogo mwa Barabara ya Morogoro.
Askari walifika jirani na kanisa hilo ambapo waliwakuta waumini wakiwa wanafanya ibada kisha ndipo walipoanza kuwaamuru kutoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.