polepole

Humphrey Polepole is a Tanzanian politician serving as the Chama Cha Mapinduzi's Ideology and Publicity Secretary and Member of Parliament appointed by President John Magufuli. Before being appointed Humphrey Polepole was a District Commissioner for Ubungo district for five months and earlier Polepole also served as District Commissioner for Musoma District for two months.

View More On Wikipedia.org
  1. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania BAWACHA yamtaka Polepole amtaje aliyempiga Lissu risasi

    Swali gumu la BAWACHA kwa Polepole, "Tutajie pia waliompiga Lissu risasi, tunakushukuru kwa mambo mengi unayotuambia" === Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA (BAWACHA) Taifa, Sharifa Suleiman, amemshambulia vikali aliyekuwa Katibu Mwenezi wa CCM Taifa na Balozi wa Tanzania nchini Cuba...
  2. P

    JamiiForums Tanzania Polepole apuuzwe kuhusu gesi

    Polepople Apuuzwe: Cuba mtungi wa gesi wa kilo 20 unauzwa TZS 2,000/=. Tanzania unauzwa 55,000/= TZS.: 1.Cuba ni nchi ya kijamaa(socialist) hivyo serikali hutenga ruzuku kubwa kwa ajili ya manunuzi na kuendeleza miundombinu ya gasi,ila tanzania bei elekezi hutegemea zaid soko la dunia (market...
  3. Emanueli misalaba

    JamiiForums Tanzania Je, hakuna uwezekano wa kuwa na team ya wataalamu wa ndani na wa nje ili kuufanya uchunguzi wa Rais wa awamu ya Tano

    Ndugu wana JF na Watanzania wenzangu, Amani ya Mwenye Enzi Mungu iwe juu yenu! Nimemsikiliza Mh; Balozi Hamphrey Polepole maelekezo yake leo 29-08-2025, ikiwemo kuhusiana na kifo cha mpendwa wetu Rais wa JMT wa awamu ya Tano, Nina jiuliza je ili kudhibitisha hili kwamba Mh; Rais kifo chake...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Polepole kamilisha kazi ya chuma, tuletee majina halisi ya wauza sembe nchini

    Polepole Polepole Polepole nimekuita mara tatu. Unakumbuka vizuri chuma mwanzoni mwa uongozi wake alitikisa watu kwa kuibua list ya wauza sembe nchini. Wengi walitajwa, na bila shaka chuma aliamua kusitisha ile operesheni. Sasa hebu tuletee list ya wauza Sembe ili Jamii iwaepuke, iwaogope...
  5. Membe S K

    JamiiForums Tanzania Nitajibu upotoshaji wa ndugu Polepole juu ya uhusika wa hayati Bernard Membe (RIP) kwenye kifo cha hayati John Magufuli (RIP)

    Upotoshaji wa aina ya Polepole unatakiwa ujibiwe ndani ya masaa 48. Stay tuned as I take him for a task.
  6. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Polepole anachofanya ni kuwachonganisha Wanamtandao na Usalama wa Taifa na jeshi. Usalama wao utakuwa mdogo siku zijazo; wao na familia zao

    Habari za Sabato! Nimemsikia Polepole kwa undani kabisa. Kitu anachokifanya sikukielewa mapema lakini kwa hotuba yake ya leo nimeona mbegu anayoipanda imelenga kuotea wapi na kuzaa kitu gani Ni wazi wananchi wa nchi hii hawana chochote cha kufanya kinachotokana na kile anachosema Polepole...
  7. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Ni Mwenyekiti gani wa CCM "B" aliyetajwa na Polepole?

    Kwenye maelezo yake ya Leo, Humphrey Polepole amesema kuwa Kuna watu walikuwa wanabadilishana taarifa kwa mfumo wa mafumbo (CODES) na mmojawapo akasema ni Mwenyekiti Mstaafu wa CCM B. Wajuzi wa codes hebu fungueni tumjue huyo ambaye Polepole alimkusudia!
  8. Yoda

    JamiiForums Tanzania Polepole ameanza kuongea mambo ya maana ya maslahi ya nchi, sasa anaweza kutiliwa maanani

    Japo hajatubu kwa kushiriki kufinyanga demokrasia wakati wa jiwe lakini mengi anayoongea sasa yana maslahi ya taifa zaidi na sio maslahi ya chama kama ilivyokuwa mwanzo. Kwa sasa Polepole ameanza kuitanguliza nchi mbele badala ya chama, huenda huu ukawa pia ni muelekeo wa kukitelekeza kabisa...
  9. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Polepole: Pesa za Corona zilitafunwa

    Pesa za Corona mwaka 2021 wewe Kikwete ulikuwa rais mstaafu na kuheshimu sana ila mimi ndiye niliyekuwa mwenyekiti wa kamati ya utawala na Serikali ya mitaa ndio nilipitisha kwa mkono wangu pale bungeni Trilion 4 halafu hela ya Corona ilipokuja Trilion 1.3 mkatumia nje ya bajati kwa matumizi...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Ukimsikiliza Polepole, lazima utajiuliza Vyombo vya Ulinzi na Usalama katika nchi vinafanya nini?

    Yaani ukumsikiliza Polepole, unajiuliza hawa watu wako kazini kulinda nchi na masilahi ya nchi au ni kulinda masilahi ya watu wachache? Hivi Rostam ana nguvu na Mamlaka kuliko Usalama wa Taifa, TAKUKURU, Jeshi la Polisi na ofisi ya Raisi na Raisi mwenyewe? Kama tuhuma anazotoa Polepole ni za...
  11. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Polepole: Mzee Mangula angekuwa na uthubutu angezungumzia utaratibu wa mgombea Urais CCM. Wazee wa CCM walijisahau wakapinduliwa na wanamtandao

    Polepole: Mzee Mangula angekuwa na uthubutu angezungumzia utaratibu wa mgombea Urais CCM. Wazee wa CCM walijisahau wakapinduliwa na wanamtandao
  12. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Polepole: Rostam alikuja na kamradi ka kusuka suka (Gesi safi) kakachomekwa Serikalini

  13. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Polepole: Bwawa la Mwalimu Nyerere lilipaswa kukamilika 2021. Na sasa kuna mgogoro na tutadaiwa deni kubwa sana

    Polepole: Bwawa la Mwalimu Nyerere lilipaswa kukamilka 2021 lakini kulikuwepo na mchezo pale, yupo waziri pale aliporudi na mkandarasi alikuwa anazungumza naye moja kwa moja anaruka mpaka mshauri tuliomuweka wenyewe. Na pale kuna mgogoro na tutadaiwa deni mkubwa sana
  14. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Polepole: Wanatakatisha pesa kwa kununua magari ya kifahari na kujenga nyumba Masaki

  15. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Polepole: Membe alihusika kusuka mipango ya Rais [Magufuli] kuuawa

    Humphrey Polepole amesema, "Kamati Kuu moja imekaa Lumumba imejadili Membe alihusika kusika mipango ya Rais kuuawa na ndiyo ulikuwa msingi wa kumchulia hatua Membe.."
  16. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Polepole: Angela Kizigha alituhumiwa kwa ufisadi sare za Polisi, sasa hivi yupo ofisi binafsi ya Rais

  17. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Polepole: Kosa moja Magufuli alilolifanya ni kutaka kufanya maridhiano na watu ambao hapaswi kuridhiana nao, mafisadi, wezi

    Polepole: Kosa moja Magufuli alilolifanya ni kutaka kufanya maridhiano na watu ambao hapaswi kuridhiana nao, mafisadi, wezi ni moja kosa kubwa sana alilifanya Magufuli akaamini wataridhia na ni watu ambao walipigana sana mwaka 2020.
  18. Ryan Holiday

    JamiiForums Tanzania Mazungumzo ya Polepole - 29 Agosti 2025: Ufisadi wa Angela Kizigha, Rostam anavyoiibia nchi, Hujuma za Kikwete kwa Magufuli n.k

    1. Ndugu H. Polepole ameanza kwa kuelezea kifo cha Marehemu Raisi J.P.M kilichotokea 2021. Huku akisema Magufuli alianza kuugua baada ya kufanya uzinduzi wa kiwanda cha Rostam kule Morogoro kisha wiki mbili baadae umauti ukamkuta. 2. Namna ambavyo marehemu Bernard Membe alivyosuka mipango yote...
  19. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Watanzania wanasubiri Polepole na Gwajima wawakomboe

    Mimi baada ya kuona wajinga ni wengi sana wamejaa kwenye kapu nikaamua kutoka nje ya kapu. Nilikuwa najua Watanzania wengi ni wajinga lakini sikujua kuwa ni wengi kwa kiasi hichi. Kitendo cha Watanzania wapenda mabadiliko kuanza kuwategea sikio la matumaini Gwajima na Polepole kilitosha kujua...
  20. Heparin

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole: Agosti 29, 2025 nitafafanua mambo kuhusu Kifo cha Magufuli; Rostam na Kikwete, Kashfa mbalimbali, deni la Taifa na wezi wanakoficha pesa

    Miongoni mwa atakayozungumza: 1. Biashara za Rostam Aziz 2. Ziara ya Magufuli Morogoro, na mazungumzo yao kuhusu Rostam 3. Kashfa ya Uniform za Jeshi la Polisi ambayo kesi yake ilikuwa stori nyingine baada ya Magufuli kufariki 4. Wezi wanakoficha pesa 5. Kashfa ya kukomboa ndege Afrika Kusini 6...
Back
Top Bottom