picha

Jean-Paul "Picha" Walravens (Brussels, Belgium, 2 July 1942) is a Belgian cartoonist, comics artist, animator and film director. He is most famous for his adult animated films, such as Tarzoon: Shame of the Jungle.

View More On Wikipedia.org
  1. usedphotocopytz

    Badilisha Kaseti na Negative picha za zamani kuwa Digital.

    Karibu Tunapatikana Ilala Amana Karibia na Hospital Ya amana. Wakazi wa dsm tunaweza kukufata wa mikoani unatuma kwetu. Malipo Baada ya Kazi. 0715331233 Piga au sms au whatsapp
  2. U

    Uzi maalumu picha mbalimbali za viatu moccasins kali za kisasa

    Moderator nikuombe usiunganishe Uzi huu kwingineko Wadau hamjamboni? Tafadhali tupia picha ya moccasin kali ya ukweli, weka Bei zake na sema wapi vinapatikana
  3. Magical power

    Umeelewa nini katika picha hii ya mchoro?

    Itazame vizuri hiyo picha ya mchoro, halafu niambie umeelewa nini. Nasoma comments zote.
  4. W

    Fahamu madhara unayoweza kupata kwa kuweka mtandaoni picha ya tiketi yako ya ndege?

    Kumbuka kila unapo post Ticket yako ya Ndege unahatarisha usalama wako kama ifuatavyo a. Kwa kutumia Msimbo Pau (Barcode) ya tiketi, Wadukuzi wanaweza kupata taarifa zako na kuzitumia kukufanyia Ulaghai (Phishing). b. Ni rahisi mtu kubadilisha au kuahirisha safari yako kwani anahitaji jina na...
  5. Ritz

    Picha zilizovuja za "Mateka" 6 wa Kiisraeli ambao miili yao ilipatikana katika Ukanda wa Gaza

    Wanaukumbi. Video hii ilitolewa mwezi Aprili na Hamas ikiwa na ujumbe ufuatao, kutoka mwa mateka wa Israel kwa kwa serikali ya Israel "Fanya kile kinachotarajiwa kwako na uturudishe nyumbani mara moja, au hii imekuwa kubwa sana kwako?" Baada ya muda huyo mateka na wenzake 5 waliuliwa na IDF...
  6. JamiiCheck

    KWELI Picha hizi za milima moja imetumia Akili Mnemba na Nyingine ni picha halisi

    PICHA A PICHA B
  7. R

    LIBERIA 1980: Picha hizi zinatia huruma sana, waafrika tu wanyama! Why all this?

    LIBERIA 1980 Cabinet ministers lined up for execution after a coup d'état in Liberia, 1980 A Liberian army soldier stands ready to execute a former cabinet minister following the 1980 coup. The minister in the photo: Cecil Dennis. On April 12, 1980, Samuel Doe led a military coup, killing...
  8. Metronidazole 400mg

    Mwanawake: Kwani haiwezekani kupiga Picha bila kuonesha makalio?

    Kila nikipita kwenye mitandao kuanzia Instagram, Twitter ( X ), Facebook n.k kote huko kwa asilimia kubwa unakuta Picha au clip ya demu akionesha makalio bila aibu Sasa najiuliza ni matangazo au ni Nini???, au ndio Dunia unaelekea mwishoni??? Wengine mpk skuizi wanaenda kufanya upasuaji (...
  9. L

    Tazama katika Picha, Ofisi ya CHADEMA Mkoani Mbeya

    Ndugu zangu Watanzania, Tuseme nini muelewe ya kuwa CHADEMA ni chama cha kitapeli na ubabaishaji? Tuwaonyeshe nini muelewe ya kuwa CHADEMA ni genge la wasaka Tonge na wachumia tumbo? Tuongee na kuzungumza nini muelewe ya kuwa hiki ni chama cha madalali wa kisiasa tu wasio na mipango wala...
  10. R

    Tangazo la Kazi: Content Creator kwa Video na Picha

    Tangazo la Kazi: Content Creator kwa Video na Picha Tunatafuta mtu mwenye kipaji na ubunifu kwa ajili ya nafasi ya Content Creator wa Video na Picha. Kazi hii inahitaji mtu mwenye ujuzi wa kuunda na kuhariri maudhui ya kuvutia kwa njia ya video na picha. Mahitaji: Uzoefu katika kurekodi na...
  11. L

    PreGE2025 Mchungaji Msigwa Awakaanga CHADEMA kwa Ujumbe wa Picha

    Ndugu zangu Watanzania, Mchungaji peter Msigwa anaendelea kufurahia maisha mapya ndani ya CCM,hali inayomfanya aendelee kujuta kwanini alipoteza muda kwenye chama cha CHADEMA kilichokosa muelekeo,Dira na hata sera zenye kugusa maisha ya watanzania. Chama ambacho kimejaa udikiteta na kuendeshwa...
  12. Midekoo

    Uzi maalumu wa picha za misemo mbalimbali ya kwenye magari

  13. L

    Tazama katika picha hii Namna wanajeshi wetu walivyofurahi na kutabasamu baada ya kuonana na Rais Samia

    Ndugu zangu Watanzania, Kwa hakika Mama yetu na Rais wetu mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan anastahili kabisa kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili. Sijawahi kuona Binadamu wa namna hii aina ya Rais Samia ambaye kila mtu anatamani walau hata kugusa tu picha...
  14. The Dictator

    Kama umeielewa hii picha ndani ya sec 3, haraka mrudie Mungu wako!

  15. Kalaga Baho Nongwa

    Unajifunza nini kupitia picha hii?

    Asee 🤔 Tupia neno moja kwa kuangalia picha hii.. kuna mengi sana yamejificha hapo.
  16. EddyArt

    Karibuni mjipatie picha za kuchora

    Kwa bei nafuu sana unajipatia picha ya kuchora ya kitu au mtu yeyote umpendaye.Kwa mawasiliano: 0685069818 Karibuni mabosi 🙂
  17. Mjanja M1

    Umeelewa nini kuhusu hii picha?

  18. K

    PreGE2025 Mbona CHADEMA hawajipangi ngazi za chini (grass root) kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa?

    Waziri mwenye dhamana ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ametangaza kuwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa utafanyika Novemba, 2024. Jinsi muda unavyoyoyoma kuelekea uchaguzi huo ninaona kabisa CHADEMA hawajijipanga kabisa kwa Uchaguzi huu. Wenzenu CCM wanapita nyumba kwa nyumba wakiomba kura...
  19. Li ngunda ngali

    Hiyo picha itafukuzisha kazi mtu. Ni suala la wakati tu…

    Kupitia hiyo picha kuna mtu atasagiwa kunguni na wapenzi wa boss lady na atafutwa kazi. Mda utaongea.
  20. Idugunde

    Picha: Kipenzi cha vijana wa CHADEMA. (BAVICHA) Wanamkubali kinyama.

Back
Top Bottom