pete

Polyethylene terephthalate (sometimes written poly(ethylene terephthalate)), commonly abbreviated PET, PETE, or the obsolete PETP or PET-P, is the most common thermoplastic polymer resin of the polyester family and is used in fibres for clothing, containers for liquids and foods, and thermoforming for manufacturing, and in combination with glass fibre for engineering resins.
It may also be referred to by the brand names Terylene in the UK, Lavsan in Russia and the former Soviet Union, and Dacron in the US.
Bio-PET is the bio-based counterpart of PET.The majority of the world's PET production is for synthetic fibres (in excess of 60%), with bottle production accounting for about 30% of global demand. In the context of textile applications, PET is referred to by its common name, polyester, whereas the acronym PET is generally used in relation to packaging. Polyester makes up about 18% of world polymer production and is the fourth-most-produced polymer after polyethylene (PE), polypropylene (PP) and polyvinyl chloride (PVC).
PET consists of polymerized units of the monomer ethylene terephthalate, with repeating (C10H8O4) units. PET is commonly recycled, and has the number "1" as its resin identification code (RIC).
Depending on its processing and thermal history, polyethylene terephthalate may exist both as an amorphous (transparent) and as a semi-crystalline polymer. The semicrystalline material might appear transparent (particle size less than 500 nm) or opaque and white (particle size up to a few micrometers) depending on its crystal structure and particle size.
The monomer bis(2-hydroxyethyl) terephthalate can be synthesized by the esterification reaction between terephthalic acid and ethylene glycol with water as a byproduct (this is also known as a condensation reaction), or by transesterification reaction between ethylene glycol and dimethyl terephthalate (DMT) with methanol as a byproduct. Polymerization is through a polycondensation reaction of the monomers (done immediately after esterification/transesterification) with water as the byproduct.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza pete ya Tanzanite

    Habarini, wapendwa nilipata shida kidogo nilikuwa nataka kujua wapi naweza uza pete ya Tanzanite kwa Dar es salaam?
  2. Mlaleo

    JamiiForums Tanzania Pete ya Nasrallah kuuzwa kwa Mnada kwa yeyete Bei ya kuanzia mnada ni USD 113,000$ = na TZS Milion 300 na ushee

    Iranian network announces auction of Nasrallah's ring to aid Lebanese people, starting bid at $113,000 Lebanon News 2024-10-23 | 17:28 Mtandao wa "Ofogh" wa Iran ulitangaza kwenye akaunti yake ya X kwamba unapanga kupiga mnada pete ya Gaidi katibu mkuu wa zamani wa Hezbollah, Hassan Nasrallah...
  3. D

    JamiiForums Tanzania Pete za Maulamaa

    Zina kinga kubwa sana hizi
  4. Pdidy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuwa makini sana unapomvalisha mwenzio pete kanisani ama kokote ikadondoka usidharau

    Mkutoka hapo mkafunge mkaombee sio jambo la kawaida nawashauri Na ishahidi wengi yaliyowatokea wamelia kwenye ndoaa nami nataka wewe unaejiandaa kwa ndoa usiogope Ikikutokea hiili nendeni mkakemeee mkaombe tobacco na rehema kuna rohoo mmetupiwaa Msisahauu kutoa sadaka kwa ajili yahayo maombi...
  5. Natafuta Ajira

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usimpigie magoti mwanamke unapomvalisha pete

    Ni upumbavu kwa mwanaume kumpigia goti mwanamke kwa sababu yoyote ile ikiwemo kumvalisha pete ya uchumba. Ukishajiwekea akili kwamba mwanamke anakufanyia favour kukubali kuolewa na wewe basi wewe ni mjinga. Ndoa inamgharimu mwanaume kuliko mwanamke, ndoa ni mafanikio kwa mwanamke kuliko...
  6. Morning_star

    JamiiForums Tanzania Anavalishwa pete ya ndoa na mamsapu wake lakini! Mmmmm! Mimi sijamsoma

  7. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtoto wa mchungaji Christina shusho avishwa Pete ya uchumba

    Mtoto wa mchungaji Christina shusho avishwa Pete ya uchumba
  8. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtoto wa mchungaji Christina shusho avishwa Pete ya uchumba

    Mpenzi nilienae Kila siku ana matatizo jamani Kila siku yeye hasara yeye , kikosa ajira yeye ...Kila siku ananipa hbr mbaya nahisi ana mikosi
  9. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pete na uaminifu😂😂😂😂

    Kwa nini watu fulani wanaamini kwamba kuvaa pete kwenye kidole cha pete itawafanya wapenzi wao wasiwe waaminifu?
  10. T

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa mchungaji Christina Shusho, Odesia Shusho avishwa Pete ya uchumba

    Mtoto wa mchungaji Christina shusho 'Odesia Shusho' avishwa Pete ya uchumba.
  11. T

    JamiiForums Tanzania Binti mkubwa wa mchungaji shusho"odesia shusho avishwa pete ya uchumba

  12. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Njia za kutoa pete iliyokwama kwenye kidole kilichovimba

    Kwa wale wanaovaa Pete iwe dhahabu au silver au shaba ukijiskia kuitoa halafu ikagoma unaanza kuchanganyikiwa relax usipanic ni hatari lakini ni salama kama iliingia lazima kuna namna ya kuitoa. Na Mara nyingi Pete kugoma husababishwa nakuilazimisha Pete ndogo, au kuivaa Kwa muda mrefu Hatimaye...
  13. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Mwaliko wa Vatican: Je, Mama kumsujudia Papa kwa kuibusu pete yake?

    Mwaliko uliombwa na Hayati Rais John Magufuli ulikubaliwa mwaka 2019 wakati wa COVID 19 ikashindikana Papa kuja Tanzania wala Rais Magufuli kwenda Vatican. Nani aende Vatican baada ya kuondoka kwa Rais Magufuli!? jibu ni Mama. Je, atakwenda kujifunza injili ya Bwana wetu Yesu Kristo!? Je...
  14. Mjanja M1

    JamiiForums Tanzania Video: Manara akimvisha pete Mchumba wake Zailyssa, amtoa machozi

    Jana ilikuwa siku kubwa kwenye safari ya penzi la Haji Manara na Zailyssa. Manara alimvisha Pete ya uchumba mpenzi wake Zailyssa mbele ya umati wa watu walio hudhuria engagement party yao. ANGALIA VIDEO HAPA Written by Mjanja M1 Video from WasafiTv
  15. sinza pazuri

    JamiiForums Tanzania D Voice apewa cheni na pete za million 150

    Moja ya vitu vya thamani alivyopewa na CEO wa WCB Wasafi Diamond Platnumz ni cheni na pete vyenye thamani ya million 150. Mbali na hayo pia amepewa nyumba nzuri ya kuishi Mbezi Beach ni mara tu alipoangusha wino mwanzo mwa huu mwaka 2023.
  16. Suley2019

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nani anatakiwa kupiga goti hapa?

    Salaam Wakuu, Nimekutana na hii clip hapa chini. Je nani anapaswa kupiga goti kati ya mwanaume na mwanamke wanapovalishana pete? Binafsi naona ni tamaduni za watu tu hizi vyoyote ni sawa. Tazama clip hizi hapa chini.
  17. Equation x

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nina mwaka wa sita sijavaa pete ya ndoa, je ni kosa?

    Kutokana na changamoto ya kunenepa vidole, imepelekea pete zetu kuwa ndogo, na kuonekana kama adhabu pale tunapo zivaa. Kwa upande wangu, ni mwaka wa sita huu huwa sivai pete ya ndoa zaidi ya kuishi katika maadili ya ndoa tu. Hii imepelekea wadada kujipitisha pitisha, wakiamini nipo singo; na...
  18. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Lengo la kuvaa pete ya ndoa ni nini wakati ndoa ni yako binafsi?

    Ni utamduni uliozoeleka na bila shaka ni wa kimagharibi zaidi ingawa uko dunia nzima. Swali ni je, kwanini uonyeshe kuwa umeoa au umeolewa? Kuna mahala watu hatambulika kwa ndoa? Kama ni kulinda ndoa, ndio iwe kwa kuvaa pete? Je, hii si mbinu ya kulazimisha watu kuheshimu ndoa? Mfungwa...
  19. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Mariam Birian avalishwa pete, anaolewa siku chache zijazo

    Kama unahisi ushaona kila kitu katika dunia hii basi bado. Mariam Birian ambaye ni mdada mpika birian maeneo ya Tabata na maarufu huko mitandaoni (wengi mnajua umaarufu wake) amevalishwa pete na anakaribia kuolewa. Huyu mwamba aliyemvalisha Mariam pete ni miongoni mwa wanadamu wenye ujasiri...
  20. agudev

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini tunavaa pete ya ndoa mkono wa kushoto?

    Habari zenu wanaJF na hongereni na majukumu ya kuendeleza taifa hili. Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, nimekuwa nikitatizwa na hili swali kichwani na nimejaribu kuuliza watu mbalimbali hasa Wakristo waliooa, majibu niliyopata mpaka sasa kusema kweli hayajaniridhisha kwani inaonekana watu...
Back
Top Bottom