pccb

  1. K

    Ni wakati sasa kwa TAKUKURU kuanzisha uchunguzi dhidi ya Bw. Wallace Karia

    Ikiwa TAKUKURU ni taasisi huru, tafadhali chukueni hatua juu ya malalamiko yanayoendelea kuibuka, kwani watu wengi hawaridhishwi na namna Bw. Wallace Karia anavyosimamia rasilimali fedha za TFF. Aidha, mtu huyo anaonekana kuwa na upendeleo mkubwa katika maamuzi yake. === If PCCB is independent...
  2. Doctor Mama Amon

    Taarifa kwa Askofu Ruwaichi: Unajua kuwa NSSF, DCI, DPP na PCCB wanatumia Msimbazi Center kama "Kidnapping Center" ya wadeni wa NSSF tangu jana?

    Askofu Jude Thadeus Ruwaichi, JImbo Kuu la Dar es Salaam kilipo Kituo cha Msimbazi Nchini Tanzania, utekaji haramu ni kosa la jinai chini ya kifungu cha 253 cha Sheria ya Makosa ya Jinai, Sura ya 16, Toleo la 2022. Kifungu hiki kinasema kwamba: “Mtu yeyote ambaye anamteka mtu mwingine kinyume...
  3. Valencia_UPV

    Elon Musk apewe tenda kuibadili PCCB kwa miezi 3!

    Mwamba apewe kazi ya kuibadili PCCB kiufanisi kama hatujafanya uchaguzi Mkuu upya kila baada mwezi. Ufanisi utavuka 100%
  4. D

    PCCB wanazidi kuvuliwa nguo tu kwamba hakuna wanachofanya zaidi ya kukaa ofisini tu na kungoja wizi wa kuku

    Rushwa kwa sasa tanzania ipo nje nje na tena inasemwa hadharani as if hatuna takukuru tena. Ona chama cha chadema kinavyojaa rushwa tena nyingine kutika kwa abdul lakini takukuru kimya. Rushwa iko wazi wazi lakini takukuru kimya. Lisu anaonesha mpaka mifano ya rushwa ndani ya chama lakini...
  5. K

    PCCB mko wapi nilitegemea kuona mnalifanyia kazi maana hapa Tanzania kuna utawala wa sheria ( rule of law)

  6. Mindyou

    PostGE2025 Shinyanga: PCCB uncovers a bloody bribery scandal in the ongoing Local Government Elections in Kahama

    The Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) in Kahama District, Shinyanga Region, has uncovered that some political party leaders are offering bribes to candidates to encourage them to withdraw and allow their own candidates to run unopposed. This situation has been said to lead to...
  7. JanguKamaJangu

    PCCB among top 10 most responsive Public Institutions on Digital Platforms

    The anti-corruption watchdog, along with nine other institutions, was recognized as one of the most responsive government bodies during the ‘Stories of Change 2024’ gala, held over the weekend in Dar es Salaam where the PCCB received the ‘Champion of Citizen Engagement’ award. PCCB has been...
  8. Travis Kitengo

    DOKEZO PCCB wilayani Bunda mfuatilieni kijana huyu anayekagua leseni za biashara

    Hii ikufikie Boss wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (PCCB) wilaya ya Bunda mkoani Mara. Wiki hii Kuna kijana mmoja ambaye kaanzisha operation ya kupita kwa baadhi ya maduka ya wafanyabiashara na kuwaulizia kama tayari washalipa leseni za biashara au la. Inajulikana wazi...
  9. M

    DOKEZO Rais Samia ingilia kati rushwa zinazofanywa na hakimu wa wilaya Chato. Mkurugenzi wa PCCB amefeli kuchukua hatua. Ni juu ya uvuvi haramu Rubondo

    Kuna mfanyabiashara mmoja anaitwa Kaburu. Mkazi wa Mganza anajitapa hadharani kuwa yeye hupeleka rushwa kwa huyu hakimu. Na sababu wote ni kabila moja la wachaga basi humsikiliza kwa lolote. Rushwa zinafanyika hadharani. Kaburu ndio wakala wa huyu hakimu mfawidhi. Wavuvi haramu wanaoingia...
  10. Stuxnet

    DPP, IGP, DG TISS, DG- PCCB nyie ndiyo mnapaswa kuchukua hatua dhidi ya ufisadi

    Tumesikia namna Rais anavyolalamika kuhusu ufisadi sehemu mbalimbali. Hata PM Majaliwa naye tulimsikia last week akiwa ziaranya mkoa wa Mara. Nauliza DPP, IGP, DG-TISS na DG TAKUKURU mnasubiri nini kuchukua hatua sitahiki dhidi ya watumishi ambao wametajwa kwenye hizo tuhuma?
  11. Jamii Opportunities

    Investigation Officers II (250 Posts) at PCCB / TAKUKURU February, 2024

    Position: Investigation Officers II (250 Posts) Required Qualifications: Academic Qualifications: Applicants should possess three years Advanced Diploma or Undergraduate degree from recognized learning institutions in any of the following fields; Civil Engineering, Building...
  12. Jamii Opportunities

    Assistant Investigators III (100 Posts) at PCCB / TAKUKURU February, 2024

    Assistant Investigators III (100 Posts) Required Qualifications: Academic Qualifications: Applicants should possess Certificate of Secondary (CSE), Basic Technician certificate, or Diploma from a recognized learning institution in one of the following categories; National Service’s...
  13. S

    Mishahara na kazi za PCCB Tanzania zipoje kwa elimu ya form VI

    ni kwann pccb wanalipwa hela nyingi sana
  14. BARD AI

    Shigongo aomba Bunge limpe kinga ya Katiba Mkurugenzi wa PCCB

    Eric Shigongo Mbunge wa Buchosa, amesema Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) amewekewa kinga ya kustaafu kazi yake atakapotimiza umri wa miaka 60, ila anashangaa kwa nini Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU) hana kinga yoyote kwenye Katiba ya Jamhuri ya...
  15. MAHANJU

    CCM HQ, PCCB na Vyombo vingine mko wapi Pesa za Mfuko wa jimbo zinatafunwa-Singida Magharibi?

    Na Gregory J.Mahanju; Kimekua ni kilio cha muda mrefu sana toka kwa wananchi wa jimbo la Singida Magharibi kuomba ufafanuzi na mchanganuo wa Matumizi ya pesa za mfuko wa jimbo lakini wamekua wakiambulia patupu na majibu ya kejeli kutoka ofisi ya mbunge. Kuna tetesi kua Mhe Mbunge kama...
  16. Dalton elijah

    Kassim Majaliwa ordered PCCB to investigate Eric Rutamirwa

    Prime Minister Kassim Majaliwa has ordered the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) to investigate the allegations facing Sumbawanga Teachers College Accountant Eric Rutamirwa and Instructor Godfrey Msenuka for burning government documents. According to the Prime Minister, the...
  17. B

    Kwa rushwa ilivyotamalaki, PCCB na wengine wa hivyo wana umuhimu gani kuendelea kuwapo?

    Nilileta uzi huu: Aibu! Boda ya Rusumo Mgeni haingii nchini bila rushwa Nimetembelea boda nyingine mkoani Kagera, kote ni mwendo mdundo! Watu wanakula kwa urefu wa kamba zao. Hata hivyo wapi au idara ipi yenye ahueni? Polisi? Wapelelezi, trafiki nk? Rushwa si ni sehemu ya malipo yao halali...
  18. plagiarism

    Ongezeko la Rushwa nchini

    Rushwa ni mwenendo usio faa anao ufanya mtu kwa manufaa yake binafsi. Kuna Aina nyinginza rushwa Kama rushwa ya fedha, ngono, Mali n.k Sababu za kuongezeka kwa rushwa nchini. Ongezeko la umaskini nchini hupelekea kutoa rushwa kwa lengo la kujipatia kitu flani mfano kazi. Ubinafsishaji...
  19. M

    Mtwara PCCB don't be overwhelmed by the Principal of Mtawanya College FDC

    Mtwara Municipal. The Principle of Mtawanya FDC Development College known as Halfan Mshana has so far been accused of embezzling Government funds for the Mtawanya Project For Capacity Building to the students. He has prepared a letter which he, himself has signed to approve Tsh. 20, 350,000...
  20. Roving Journalist

    DPP Mwakitalu: Uhalifu haulipi, Ukikamatwa na TAKUKURU tunakupa adhabu na Mali zako zinataifishwa

    MKURUGENZI wa Mashitaka nchini ( DPP), Sylvester Mwakitalu, amesema kwa sasa hakuna mwalifu atakayenufaika na mapato ambayo ameyapata kwa njia ya rushwa au uharifu, kwa maana hiyo fedha na mali zitataifishwa. Amesema Rushwa ni janga kubwa na athari zake zinaonekana katika ngazi ya taifa na...
Back
Top Bottom