Nilileta uzi huu:
Aibu! Boda ya Rusumo Mgeni haingii nchini bila rushwa
Nimetembelea boda nyingine mkoani Kagera, kote ni mwendo mdundo! Watu wanakula kwa urefu wa kamba zao.
Hata hivyo wapi au idara ipi yenye ahueni?
Polisi? Wapelelezi, trafiki nk? Rushwa si ni sehemu ya malipo yao halali?
Kuingia polisi bure, ila kutoka. Barabarani ndiko uliko uozo halisi. Kuvunja ukimya kwa Mh. Kinana si bure.
Nani asiyejua rushwa inaendeshwaje barabarani? Kwani PCCB au wale wengine hawajui? Kwa nini hawachukui hatua zozote za kusimamisha hali hizi?
Kwani wasemapo usalama wa nchi ni upi basi? Tukidhani si ndiyo huu sasa?
Nani asiyejua rushwa zilivyo Tanesco, Tarura, tanroads, TPA, TRA, mahakamani, nk? Au hata zinavyowezeshwa?
Wananchi wa kawaida wanajua. Ila PCCB, Tiss, Polisi na wenzao walio na dhamana ya kutulinda kama serikali?
Za nini taasisi hizi au watu hawa kama hawawajibiki vilivyo na kwa mujibu wa sheria tu?
Aibu! Boda ya Rusumo Mgeni haingii nchini bila rushwa
Nimetembelea boda nyingine mkoani Kagera, kote ni mwendo mdundo! Watu wanakula kwa urefu wa kamba zao.
Hata hivyo wapi au idara ipi yenye ahueni?
Polisi? Wapelelezi, trafiki nk? Rushwa si ni sehemu ya malipo yao halali?
Kuingia polisi bure, ila kutoka. Barabarani ndiko uliko uozo halisi. Kuvunja ukimya kwa Mh. Kinana si bure.
Nani asiyejua rushwa inaendeshwaje barabarani? Kwani PCCB au wale wengine hawajui? Kwa nini hawachukui hatua zozote za kusimamisha hali hizi?
Kwani wasemapo usalama wa nchi ni upi basi? Tukidhani si ndiyo huu sasa?
Nani asiyejua rushwa zilivyo Tanesco, Tarura, tanroads, TPA, TRA, mahakamani, nk? Au hata zinavyowezeshwa?
Wananchi wa kawaida wanajua. Ila PCCB, Tiss, Polisi na wenzao walio na dhamana ya kutulinda kama serikali?
Za nini taasisi hizi au watu hawa kama hawawajibiki vilivyo na kwa mujibu wa sheria tu?