paul mackenzie

Paul B. Mackenzie (born 1950) is a theoretical physicist at the Fermi National Accelerator Laboratory. He did graduate work in physics at Cornell University where he was a student of G. Peter Lepage. He is an expert on Lattice Gauge Theory. He is the chair of the Executive Committee of USQCD, the US collaboration for developing the necessary supercomputing hardware and software for quantum chromodynamics formulated on a lattice.

View More On Wikipedia.org
  1. BARD AI

    Mchungaji Paul Mackenzie ashtakiwa kwa Mauaji ya Kutokusudia

    KENYA: Siku chache baada ya kushtakiwa kwa Makosa ya Ugaidi, Mchungaji Paul Nthenge Mackenzie, mke wake pamoja na Wasaidizi wake 94 wameshtakiwa kwa mauaji ya kutokusudia ya Watu zaidi ya 400 anaodaiwa kuwataka Wafunge kula hadi wafe ili wakutane na Yesu. Hatua hizo zinafuatia Uchunguzi...
  2. H

    Mchungaji Paul Mackenzie -Shakahola!

    Nimemkumbuka huyu Mchungaji aliyeweza kufundisha mafundisho yaliyopelekea wafuasi wake wa kukaribia 1000 kujiua/kuuwawa hapo Kenya mwaka jana Hii inafafa na Mchungaji Kibwetere wa Uganda naye aliua waumi wake karibia idadi hiyo hiyo hapo Uganda Kwa kipindi hiki nafikiri waumini wanatakiwa wawe...
  3. Wadiz

    Wenye kujua zaidi kuhusu Pastor Paul Mackenzie na Maiti za Msitu wa Shakahola huko Kenya atuambie hapa

    Wasalaam nyote, Tafadhari kama rejea ya kichwa Cha habari kiilivyo. Mwenye mtiririko mzima wa namna waumini mania Kwa mamia walivyokufa na kuzikwa huko Msitu wa Shakahola huko Kenya. Haileweki ni vifo vya halaiki, na walikufa kimafingu, walikufaje, hili Pepo liitwalo Pastor Paul Mackenzie...
  4. jastertz

    Mhubiri Paul MacKenzie alianzaje safari tata ya kuwashawishi watu kufunga hadi kufa?

    Ulianza kama ufichuzi ambao ungeyeyuka baada ya muda mfupi wa mihemko na lalama. Lakini kilichoanzia kati kati ya msitu eneo la Malindi Pwani ya Kenya wiki moja iliyopita sasa kinageuka kuwa donda ambalo kumbukumbu zake hazitafifia hivi karibuni. Kufukuliwa kwa makaburi ya kina kifupi ambayo...
Back
Top Bottom