Mchungaji Paul Mackenzie ashtakiwa kwa Mauaji ya Kutokusudia

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,119
KENYA: Siku chache baada ya kushtakiwa kwa Makosa ya Ugaidi, Mchungaji Paul Nthenge Mackenzie, mke wake pamoja na Wasaidizi wake 94 wameshtakiwa kwa mauaji ya kutokusudia ya Watu zaidi ya 400 anaodaiwa kuwataka Wafunge kula hadi wafe ili wakutane na Yesu.

Hatua hizo zinafuatia Uchunguzi uliofanywa kupitia Miili ya Watu iliyobainika katika Msitu wa Shakahola ambapo Maiti 429 wakiwemo Watoto, zilionesha sababu za Vifo vilivyotokea kati ya Januari 2021 hadi Septemba 2023 vilitokana na Njaa, Kunyongwa, Kukosa Hewa au Kupigwa.

Licha ya mashtaka hyo, Mchungaji huyo amekutwa hana hatia katika Makosa 238 likiwemo la Ugaidi, na hivi karibuni atapimwa Afya ya Akili ili kubaini kama anaweza kuanza kujibu Mashtaka ya Mauaji hayo katika Mahakama nyingine.

Tangu kuibuka kwa sakata hilo, Serikali ya Kenya inayokadiriwa kuwa na Makanisa zaidi ya 4,000 yenye usajili ilianzam kuweka udhibiti mkali wa taratibu za Uendeshaji wa Madhehebu ya Dini.

===========

AFP2344422774738482127146186190375292826980---1.jpg

Self-proclaimed pastor Paul Nthenge Mackenzie (C) is alleged to have incited his acolytes to starve to death in order to "meet Jesus"​


A Kenyan court on Tuesday charged a cult leader and dozens of suspected accomplices with manslaughter over the deaths of more than 200 people.

Self-proclaimed pastor Paul Nthenge Mackenzie and 94 other suspects, including his wife, pleaded not guilty to 238 counts of manslaughter, according to documents from the Mombasa court seen by AFP.

Mackenzie, who was also charged with terrorism last week, is alleged to have incited his acolytes to starve to death in order to "meet Jesus" in a case that provoked horror across the world.

He was arrested last April after bodies were discovered in the Shakahola forest near the Indian Ocean.

Autopsies revealed that the majority of the 429 victims had died of hunger.

But others, including children, appeared to have been strangled, beaten or suffocated.

The 238 victims mentioned in Tuesday's hearing were killed "on an unknown date between January 2021 and September 2023 at Shakahola", court documents said.

Mackenzie pleaded not guilty to terrorism at another hearing last week in the port city of Mombasa.

He is also due to undergo a mental health assessment to establish if he is fit to stand trial for murder at another court in the coastal town of Malindi.

A largely Christian nation, Kenya has struggled to regulate unscrupulous churches and cults that dabble in criminality.

AFP2344422774738482127146186190375292826980---2.jpg

The grisly case has been dubbed the "Shakahola forest massacre"​

The grisly case, dubbed the "Shakahola forest massacre", led the government to flag the need for tighter control of fringe denominations.

Questions have been raised about how Mackenzie managed to evade law enforcement despite a history of extremism and previous legal cases. A Senate commission of inquiry reported in October that the father of seven had faced charges in 2017 for extreme preaching.

He was acquitted of charges of radicalisation in 2017 for illegally providing school teaching after rejecting the formal educational system that he claimed was not in line with the Bible.

In 2019, he was also accused of links to the death of two children believed to have been starved, suffocated and then buried in a shallow grave in Shakahola. He was released on bail pending that trial, which is ongoing.
There are more than 4,000 churches registered in the East African country of 53 million people, according to government figures.
 
Mzee wa shakahola anajiamini balaa,

Alinichekesha sn kipind anahojiwa na wakil wa serikali mahakamani kwann aliwalaghai waumini kua wakifa watamuona mungu,

Akawajibu,
"Mna ushahidi gani kwamba waliokufa hawakumuona Mungu"


Wakili akamwambia athibitishe,jamaa likajibu,

"Kazi ya kuthibisha sio yangu, nyie mlonituhumu nmewalaghai waumini wangu ndio muithibitishie mahakama Hii tukufu kwamba hao waumini wangu waliofariki wote hawakwenda mbinguni"
 
KENYA: Siku chache baada ya kushtakiwa kwa Makosa ya Ugaidi, Mchungaji Paul Nthenge Mackenzie, mke wake pamoja na Wasaidizi wake 94 wameshtakiwa kwa mauaji ya kutokusudia ya Watu zaidi ya 400 anaodaiwa kuwataka Wafunge kula hadi wafe ili wakutane na Yesu.

Hatua hizo zinafuatia Uchunguzi uliofanywa kupitia Miili ya Watu iliyobainika katika Msitu wa Shakahola ambapo Maiti 429 wakiwemo Watoto, zilionesha sababu za Vifo vilivyotokea kati ya Januari 2021 hadi Septemba 2023 vilitokana na Njaa, Kunyongwa, Kukosa Hewa au Kupigwa.

Licha ya mashtaka hyo, Mchungaji huyo amekutwa hana hatia katika Makosa 238 likiwemo la Ugaidi, na hivi karibuni atapimwa Afya ya Akili ili kubaini kama anaweza kuanza kujibu Mashtaka ya Mauaji hayo katika Mahakama nyingine.

Tangu kuibuka kwa sakata hilo, Serikali ya Kenya inayokadiriwa kuwa na Makanisa zaidi ya 4,000 yenye usajili ilianzam kuweka udhibiti mkali wa taratibu za Uendeshaji wa Madhehebu ya Dini.

===========

AFP2344422774738482127146186190375292826980---1.jpg

Self-proclaimed pastor Paul Nthenge Mackenzie (C) is alleged to have incited his acolytes to starve to death in order to "meet Jesus"​


A Kenyan court on Tuesday charged a cult leader and dozens of suspected accomplices with manslaughter over the deaths of more than 200 people.

Self-proclaimed pastor Paul Nthenge Mackenzie and 94 other suspects, including his wife, pleaded not guilty to 238 counts of manslaughter, according to documents from the Mombasa court seen by AFP.

Mackenzie, who was also charged with terrorism last week, is alleged to have incited his acolytes to starve to death in order to "meet Jesus" in a case that provoked horror across the world.

He was arrested last April after bodies were discovered in the Shakahola forest near the Indian Ocean.

Autopsies revealed that the majority of the 429 victims had died of hunger.

But others, including children, appeared to have been strangled, beaten or suffocated.

The 238 victims mentioned in Tuesday's hearing were killed "on an unknown date between January 2021 and September 2023 at Shakahola", court documents said.

Mackenzie pleaded not guilty to terrorism at another hearing last week in the port city of Mombasa.

He is also due to undergo a mental health assessment to establish if he is fit to stand trial for murder at another court in the coastal town of Malindi.

A largely Christian nation, Kenya has struggled to regulate unscrupulous churches and cults that dabble in criminality.

AFP2344422774738482127146186190375292826980---2.jpg

The grisly case has been dubbed the "Shakahola forest massacre"​

The grisly case, dubbed the "Shakahola forest massacre", led the government to flag the need for tighter control of fringe denominations.

Questions have been raised about how Mackenzie managed to evade law enforcement despite a history of extremism and previous legal cases. A Senate commission of inquiry reported in October that the father of seven had faced charges in 2017 for extreme preaching.

He was acquitted of charges of radicalisation in 2017 for illegally providing school teaching after rejecting the formal educational system that he claimed was not in line with the Bible.

In 2019, he was also accused of links to the death of two children believed to have been starved, suffocated and then buried in a shallow grave in Shakahola. He was released on bail pending that trial, which is ongoing.
There are more than 4,000 churches registered in the East African country of 53 million people, according to government figures.

Mimi simlaumu Mackenzie, nailaumu vikali sana serikali ya Uhuru ambayo ilishindwa kujua uhalifu huu wa kiasi cha juu.
 
Back
Top Bottom