Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi amesema uchunguzi uliofanywa na vyombo vya ulinzi na usalama umebaini kuwa taharuki iliyozuka nchini ya watu kuibiwa sehemu zao za siri ni uzushi wenye nia ya kuvunja amani ya nchi.
Aidha, ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama kuwachukulia...